Elections 2010 Je, Mtanzania gani anafaa kuwa Rais wetu 2010?

Nani anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2010-2015?

  • Jakaya Mrisho Kikwete (CCM)

    Votes: 591 23.9%
  • Willibrod Slaa (CHADEMA)

    Votes: 1,785 72.1%
  • Ibrahim Lipumba (CUF)

    Votes: 89 3.6%
  • Hashim Rungwe (NCCR-Mageuzi)

    Votes: 7 0.3%
  • Mutamwega Mugahywa (TLP)

    Votes: 7 0.3%

  • Total voters
    2,475
  • Poll closed .

Kumbe Dr. Slaa alianza kutayarishwa mapema kiasi hiki! 2007, ndio maana saini za wanafunzi 400 zilipatikana kwa masaa machache tu
 
naomba msaada kwani nimetaka kuutach picha ya kuuzwa kigamboni nimeshindwa
 
Mambo aliyofanya bungeni, ni mwazi, elimu yake, anapinga ufisadi kwa dhati, hana ubaguzi au udini.
Tuke,
kiteto
 
kitila unaogopa kutaja jina?
kwa nini unaogopa kutaja jina
hujiamini au unajiamini ila unaogopa,
anyway ni uhamuzi wa busara pia
 
:smile-big::doh:! Leo ndio leo! Maandiko yatatimia! Anaefaa, sorry atakaechaguliwa kuwa raisi wetu tutamjua!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…