Elections 2010 Je, Mtanzania gani anafaa kuwa Rais wetu 2010?

Elections 2010 Je, Mtanzania gani anafaa kuwa Rais wetu 2010?

Nani anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2010-2015?

  • Jakaya Mrisho Kikwete (CCM)

    Votes: 591 23.9%
  • Willibrod Slaa (CHADEMA)

    Votes: 1,785 72.1%
  • Ibrahim Lipumba (CUF)

    Votes: 89 3.6%
  • Hashim Rungwe (NCCR-Mageuzi)

    Votes: 7 0.3%
  • Mutamwega Mugahywa (TLP)

    Votes: 7 0.3%

  • Total voters
    2,475
  • Poll closed .
so you are judging people without knowing their intention uuh!...

what's wrong with judging? don't we have judges who judge us in courts? who appointed them judges to judge other people? if that's so wroooong....
 
lol sijakupa taw\kwimu za TGNP......

.....unaoana sasa alafu mnataka kutuongoza....


Nolikuwa namueleza yeye ngwaninyami alikuwa anataka tawkimu za hillary nikawa namjibu kuwa sikutana twakwimu bali nilitaka kirefu ch TNGP....Na wewe upo slow sijui hujapata dinner ya usiku?
 
Kila mtu ana standards zake....mimi demu akiwa yuko kwenye myspace...hi5...facebook...tweeter....and whatnot....is a dealbreaker! It's just my standard and it doesn't get lowered! Nope....no way.
 
Kila mtu ana standards zake....mimi demu akiwa yuko kwenye myspace...hi5...facebook...tweeter....and whatnot....is a dealbreaker! It's just my standard and it doesn't get lowered! Nope....no way.

Unacheza wewe..that is social life...mbona wewe uanshinda jf what is the different na hizo network nyingine?.....
 
Unacheza wewe..that is social life...mbona wewe uanshinda jf what is the different na hizo network nyingine?.....

tofauti ni hakuna mapicha hapa yanayoweza kubanduliwa na kupelekwa let's say sehemu kama zeutamu....halafu niko hapa for the intellectual value of the topics discussed....sasa huko facebook na myspace watu wanachofanya ni kubandika mapicha yao na watu ku-hook up and that' why they are called social networking sites.
 
tofauti ni hakuna mapicha hapa yanayoweza kubanduliwa na kupelekwa let's say sehemu kama zeutamu....halafu niko hapa for the intellectual value of the topics discussed....sasa huko facebook na myspace watu wanachofanya ni kubandika mapicha yao na watu ku-hook up and that' why they are called social networking sites.
Kila mtu ana standards zake....mimi demu akiwa yuko kwenye myspace...hi5...facebook...tweeter....and whatnot....is a dealbreaker! It's just my standard and it doesn't get lowered! Nope....no way.

kweri aisee kweri kabisaa....
 
Ndio maana huwezi kunikuta mimi zeutamu na ukinikuta nitajua ni nani kapeleka picha yangu huko....lol
 
Jamani eeeh....anzisheni Free Nyani Ngabu campaign...dang...I miss him
 
tofauti ni hakuna mapicha hapa yanayoweza kubanduliwa na kupelekwa let's say sehemu kama zeutamu....halafu niko hapa for the intellectual value of the topics discussed....sasa huko facebook na myspace watu wanachofanya ni kubandika mapicha yao na watu ku-hook up and that' why they are called social networking sites.

Siyo kila mtu aliyeko kwenye hizo networking has to download their picture if you want yes you can do so...but not necessarily....na wewe umejuaje kama watu wanaweka picha zao kama hauna profile na unachotafuta kwenye site ya zeutamu nini kama siyo udaku...?alafu mnasema mnataka kuongoza nchi? puleaseee

kweri aisee kweri kabisaa....


sasa na wewe unakubaliana naye kwa point ipi?...akikwambia kula mavi na wew eutasema eeh kweli aisee ngoja nile?
 
Siyo kila mtu aliyeko kwenye hizo networking has to download their picture if you want yes you can do so...but not necessarily....na wewe umejuaje kama watu wanaweka picha zao kama hauna profile na unachotafuta kwenye site ya zeutamu nini kama siyo udaku...?alafu mnasema mnataka kuongoza nchi? puleaseee

Kujua kuwa watu wanabandika mapicha yao huko facebook is not complicated logarithm......na baada ya kuisikia sana zeutamu....I became curious.....so I checked it out...and I was like..oh okay...
 
sasa na wewe unakubaliana naye kwa point ipi?...akikwambia kula mavi na wew eutasema eeh kweli aisee ngoja nile?
kumbe husomi kinachoandikwa na wakati huo huo bado mnapigania haki za kuwa viongozi wetu.....
....soma alichokiandika kwa nilicho kiquote ndio ninacho sapoti.....

......
 
sasa na wewe unakubaliana naye kwa point ipi?...akikwambia kula mavi na wew eutasema eeh kweli aisee ngoja nile?

No...ni hivi Kighost Kelly (unaikumbuka hiyo..lol)...anachuja pumba na mchele kwa mujibu wa anavyoona yeye....siyo kwamba anakubaliana na kila kitu..no.
 
Kujua kuwa watu wanabandika mapicha yao huko facebook is not complicated logarithm......na baada ya kuisikia sana zeutamu....I became curious.....so I checked it out...and I was like..oh okay...

come to think about this...Obama ametumia hiyo facebook forhis campaign na imemsaidia sana tuu...facebook kuna watu wanatumia kwa matumizi mabaya lakini ni network nzuri sana....hata Rush Limburgh ana faceboom,myspace,twitter you name it....sema sisi watanzania tunaitumia kwa matumizi mabaya ya kuchafuana...
 
kumbe husomi kinachoandikwa na wakati huo huo bado mnapigania haki za kuwa viongozi wetu.....
....soma alichokiandika kwa nilicho kiquote ndio ninacho sapoti.....

......

Ninasoma anachoandika ila nakuuliza unachokubaliana naye ni kitu gani...watu ku-network?
 
Nadhani alikosea spelling,hata hivyo definition ya wikipedia hii hapo chini...

A hermaphrodite is an organism having both male and female reproductive organs.

Teh teh teh sijakosea spelling wala nini homophrodite inatumika pia kwa watu aina ya Mr mama.....google uone!
 
Mimi nadhani ni wakati muafaka akijitokeza mwanamke hii 2010 kugombea hicho kiti cha raisi, it doesnt matter anatokea chama gani.Wako smart women kwenye Tanzanian politics wengi tuu ambao wana qualify.Mfano akina Anna Makinda (very smart and strong woman) na wala siyo FISADI.
Hakuna mwanamke anaweza kuongoza Tanzania....hakuna huyo Anna Makinda mbunge miaka zaidi ya 25 kafanya nini jimboni kwake......Mongela fisadi hana lolote...

......wanawake wamepewa vyeo wameharibu Mama Meghi na wenzake.....huwezi kumlinganisha Hilali klintoni na mwanamke yoyote tanznia.....that mama ni very strong ajabu hamna Tz.......JF kwenyewe hapa mmeshindwa kujisamamia!!!
 
Hakuna mwanamke anaweza kuongoza Tanzania....hakuna huyo Anna Makinda mbunge miaka zaidi ya 25 kafanya nini jimboni kwake......Mongela fisadi hana lolote...

......wanawake wamepewa vyeo wameharibu Mama Meghi na wenzake.....huwezi kumlinganisha Hilali klintoni na mwanamke yoyote tanznia.....that mama ni very strong ajabu hamna Tz.......JF kwenyewe hapa mmeshindwa kujisamamia!!!

Now you are talking! Hillary is a tough cookie.....
 
Back
Top Bottom