Elections 2010 Je, Mtanzania gani anafaa kuwa Rais wetu 2010?

Nani anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2010-2015?

  • Jakaya Mrisho Kikwete (CCM)

    Votes: 591 23.9%
  • Willibrod Slaa (CHADEMA)

    Votes: 1,785 72.1%
  • Ibrahim Lipumba (CUF)

    Votes: 89 3.6%
  • Hashim Rungwe (NCCR-Mageuzi)

    Votes: 7 0.3%
  • Mutamwega Mugahywa (TLP)

    Votes: 7 0.3%

  • Total voters
    2,475
  • Poll closed .
Sasa si muamue mumtoe ebo, tangu mwaka 1995 mpaka leo story ni zile zile wagombeaji ni wale wale what does that tell you kuhusu siasa zetu?

Uncle I

Inabidi tuanze na wewe uliishachukua formza kugombea? ama kuhamasisha wenzako kuelekea magogoni na mawe, marungu, makombeo, tofari, mikuki, pinde ..you mention them. Binafsi sijawahi hata piga kura wa kujiandikisha ila this time yes....I can not wait for the change..my single vote will make a difference
 
2010 atakuwa JMK tena. ccm wataleta jina lake. cuf wataleta la mtu wao, chadema na wengine wataleta watu wao. ccm itatumia maguvu yao etc kama kawa na watanyakua urais

kama kuna mtu hapa anadhani jkm hafai hivyo sivyo waonavyo wale jamaa wachache wa ccm wanao decide nani agombee kupitia ccm. mpaka wale wachache akiwaudhi ndipo tutaona sura mpya pale 'white house' 2010

ili tz isonge mbele inahitaji si tu mtu asiye fisad na ambaye hawalei mafisad bali pia ayajuae matatizo yetu na jins ya kutuongoza kuyatatua. mtu ambaye anaweza kutuongoza kikamilifu tukatumia resources za ndani na nje ya tz tukasonga mbele

magufuli? shein? dr. salim ahmed salim? pinda? nani?
 

... wewe uliishachukua form ama kuhamasisha wenzako kuelekea magogoni na mawe, marungu, makombeo, tofari, mikuki, pinde ..you mention them. ...

Acha kuchochea vurugu wewe, talk of forensics!
 
OK,Tuanze na Mama Killango na Anna Makinda kwasababu ndio wanawake walioko kwenye position ya kugombea nafasi za juu....How are they going to do it different?
 
hahahhhaah...i knew you will second that....well i guess.

Mengine utakuwa unalazimisha....just stick to facebook, party, babyshower etc. etc.....siasa...hhhhhmmm.....waachie wengine
 
OK,Tuanze na Mama Killango na Anna Makinda kwasababu ndio wanawake walioko kwenye position ya kugombea nafasi za juu....How are they going to do it different?


Hilo swali inabidi wajibu wenyewe...waje na sera zao lakini syo sisi kuwapangia kama wako tayari kubadilisha nchi...which i know they are ready kama mpo nao bega kwa bega....trust me on this!
 
Mengine utakuwa unalazimisha....just stick to facebook, party, babyshower etc. etc.....siasa...hhhhhmmm.....waachie wengine

what's wrong with facebook?...do you happen to have bad experience nini?....talk to me and i am a good listner.
 

What, are you kidding me? sijawahi na sintowahi, mie sio mwanasiasa na sijawahi kupiga kura.
 
Hilo swali inabidi wajibu wenyewe...waje na sera zao lakini syo sisi kuwapangia kama wako tayari kubadilisha nchi...which i know they are ready kama mpo nao bega kwa bega....trust me on this!

Kama wanaume wenyewe hatuwezi kuwazungumzia from nowhere..Whats the difference with women?
Kwasababu mgombea binafsi bado kukubaliwa,then tunaweza kabisa kuona wanaume na wanawake gani wataweza kugombea based on their political parties,na ndio maana pia nasisitiza kuwa what difference are they going to make?
So kwasababu mjadala hapa ni mwanamke,then tuangalie wale waliko kwenye rank za juu ndani ya vyama vyao.
 
What, are you kidding me? sijawahi na sintowahi, mie sio mwanasiasa na sijawahi kupiga kura.

Ndo tatizo tulilonalo hapa...walau sisi wenye uelewa kidogo huwa hatukaribii hata polling ballout unategemea mwanakijiji wa Mwanakelekwe akuwekee kiongozi....kuna usemi fulani "do not ignore the power of ignorant people especially when they are in a mob" all da tyme utakuwa na viongozi usiwataka sababu hushiriki zoezi zima la kuweka viongozi....
 

ooh i got your point so unataka sisi as wanawake tujaribu kuelezea what will they do to change the country?...in women perspective?ok subiri ngoja niweke point zangu sawa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…