jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
ooh i got your point so unataka sisi as wanawake tujaribu kuelezea what will they do to change the country?...in women perspective?ok subiri ngoja niweke point zangu sawa....
Exactly,na ndio maana nikawataja kina Mama Kilango kwasababu ndiyo wanawake pekee walioko kwenye position ya kuweza kugombea uraisi....Nina amini kama sheria ya mgombea binafsi ingepitishwa then labda kuna wanawake na wanaume wengi tu tofauti ambao hawako kwenye ranks za vyama vya kisiasa ambao wana uwezo wa kutuongoza.