LAMBOFGOD
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 1,561
- 1,319
Wana JF karibuni kwa mjadala huu
Napenda kujua kama watoto wachanga wawapo tumboni kwa mama zao {kabla ya kuzaliwa} wanaweza kuugua {ugonjwa wa aina yeyote}?
Na kama huwa wanaugua nini hutumika kama dawa kuwaponesha? Au mechanism gani hutumika kumponesha kutoka kwa mama yake?
Na kama hawaugui wawapo tumboni takribani miezi tisa kwa nini mara tu wazaliwapo na kuanza kuishi huku duniani huandamwa na magonjwa tangu utoto hadi umati?
Magonjwa yanaexist katika ulimwengu gani?
Na kama hawaugui je dawa tunazotumia ni sahihi kwa miili yetu?
Napenda kujua kama watoto wachanga wawapo tumboni kwa mama zao {kabla ya kuzaliwa} wanaweza kuugua {ugonjwa wa aina yeyote}?
Na kama huwa wanaugua nini hutumika kama dawa kuwaponesha? Au mechanism gani hutumika kumponesha kutoka kwa mama yake?
Na kama hawaugui wawapo tumboni takribani miezi tisa kwa nini mara tu wazaliwapo na kuanza kuishi huku duniani huandamwa na magonjwa tangu utoto hadi umati?
Magonjwa yanaexist katika ulimwengu gani?
Na kama hawaugui je dawa tunazotumia ni sahihi kwa miili yetu?