Je, Mtoto wa kambo ana haki ya kurithi mali?

Huyo mtoto hana chake mkuu,,,mwache aende POPOTE,,,,mtoto huyo sio DAMU yako,,,na hakuna mahakama itakayompa ushindi huyo mama,,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo haki za kuinjoy mali alizozikuta umempa wewe au reference ni ipi kisheria?
 
Huyo dogo mwehu! Wanakuwaga bitter sababu mama zao hawajaolewaga!
 
Kwa hii hati ni kuwa jamaa mwenye watoto mapenzi nae huna kabisaaaa πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜œ
 
Na wewe waambie watoto wako huyu si ndugu yenu sawa bro.
 
Hiyo haki mke anayo kisheria au hayo ni maoni yako kutokana na uelewa wako?

Na wanaume vipi tuna haki na Mali ambazo wake zetu wamerithishwa na wazazi wao?
Sisi kwa Tamaduni zetu mtoto wakike hana urithi kwa wazazi wake, Watoto wakiume ndiyo wana rithi kwa wazazi wao, Mtoto wakike ana rithi mali za mume wake na siyo mali za wazazi wake.
 
Hapana., baba mwenyewe hana mbele wala nyuma so hanishtui.
Kwa hiyo ukiona mzazi mwenzio hana mbele wala nyuma wwe ndiyo furahaa yako, ila angekua na mbele pamoja na nyuma ndiyo rohoo yako ingestuka!? Wanawake Mungu anawaona mnavyotamani na kufurahia ma ex wenu wakiwaa wanataabika na maisha!!
 
Kwa hiyo ukiona mzazi mwenzio hana mbele wala nyuma wwe ndiyo furahaa yako, ila angekua na mbele pamoja na nyuma ndiyo rohoo yako ingestuka!? Wanawake Mungu anawaona mnavyotamani na kufurahia ma ex wenu wakiwaa wanataabika na maisha!!
Sio furaha yangu. Lkn ukweli ndo huo hashtui kwa lolote. Atafute pesa alee mrtoto wale maana hampi hata senti hata akipata, ni mchoyo thats why habarikiwi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…