Je, mtu anaofuta usajili, records zinabaki kuwa laini ilitumika na mtu fulani?

Je, mtu anaofuta usajili, records zinabaki kuwa laini ilitumika na mtu fulani?

King Sae

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2018
Posts
3,282
Reaction score
6,471
Yaani mfano…

Mtu akisajili laini then akaamu KUFUTA usajili.

Je, records zinabaki kwamba hii laini ilitumika na mtu fulani kusajiliwa au?
 
Afu pia una hii namba moja mnamiliki watu wawili tofauti hii imekaaje kiufundi
 
Kwa uelewa wangu sidhani kama itakua na kumbukumbu hizo kwa mfano halotel usipotumia line yao kwa kipindi fulani unakuta namba imeuzwa na ukiangalia usajili hauikuti hiyo namba kwenye namba zilizosajiliwa kwa jina lako.
Labda waje wenye ujuzi zaidi kutoa ufafanuzi
 
Lazima kumbukumbu ziwepo tu

Kama ingekuwa ukifuta usajili data zinapotea basi hata matukio ya kihalifu yangeongezeka sana maana wangekuwa wanapiga tukio then wanafuta usajili tu kupoteza ushahidi

Hata inapotokea umefuta usajili then akaja mtu akasajili akauziwa namba yako bado kuna data zinabaki kwamba wewe ulishakuwa mmiliki wa namba ile nadhani hiyo itadumu kwa kipindi fulani kabla ya kupotezwa kwenye system
 
Lazima kumbukumbu ziwepo tu

Kama ingekuwa ukifuta usajili data zinapotea basi hata matukio ya kihalifu yangeongezeka sana maana wangekuwa wanapiga tukio then wanafuta usajili tu kupoteza ushahidi

Hata inapotokea umefuta usajili then akaja mtu akasajili akauziwa namba yako bado kuna data zinabaki kwamba wewe ulishakuwa mmiliki wa namba ile nadhani hiyo itadumu kwa kipindi fulani kabla ya kupotezwa kwenye system
Kuna tukio limefanywa na mtu afu akafuta usajili…..sasa ndo nikawa nawaza apa je, mpelelezi akienda kwenye mitandao ya simu hatokuta taarifa zake?
 
Kuna tukio limefanywa na mtu afu akafuta usajili…..sasa ndo nikawa nawaza apa je, mpelelezi akienda kwenye mitandao ya simu hatokuta taarifa zake?
Wanaofuta taarifa zako ni watu wa mtandao husika sio wewe na kutakuwa na muda maalum wa kukaa na taarifa zako kabla ya kuzifuta lazima kunamuuongozo
 
Kuna tukio limefanywa na mtu afu akafuta usajili…..sasa ndo nikawa nawaza apa je, mpelelezi akienda kwenye mitandao ya simu hatokuta taarifa zake?
iko hivi hata ukifuta usajili bado data zako zinabaki na line itaonekana kwamba bado wewe ni mmiliki halali wa line ile japokuwa kikawaida utaona umeifutia usajili hii ni ishu ya kiusalama sana sana watakaa na data zako kwa kipindi cha miezi 6 au zaidi kabla ya kuziondoa lakini still bado zinaweza kuhifadhiwa data maalumu kwa mfano sms zako au calls record zako ili hata kama ikitokea jambo huko mbele likahitaji upelelezi upande wa mtandao basi wanafanya kurejea huko
 
Back
Top Bottom