sinachangu
Member
- Nov 4, 2014
- 47
- 17
Kiukweli hili jambo lanichanganya sana. Mtu waweza pata magonjwa ya zinaa kama kaswende na mengineyo hata kama hujafanya ngono?
Hii ni mara ya pili napimwa naambiwa nina magonjwa ya zinaa hali ya kuwa sikushiriki tendo la ndoa. Je, madakatari na wengineo mtu anaweza kuambukizwa magonjwa ya zinaa bila ya kushiriki tendo la ndoa na mtu yeyote? kama ndio kivipi?
Asanteni, naombeni ufafanuzi zaidi.
Hii ni mara ya pili napimwa naambiwa nina magonjwa ya zinaa hali ya kuwa sikushiriki tendo la ndoa. Je, madakatari na wengineo mtu anaweza kuambukizwa magonjwa ya zinaa bila ya kushiriki tendo la ndoa na mtu yeyote? kama ndio kivipi?
Asanteni, naombeni ufafanuzi zaidi.