sinachangu
Member
- Nov 4, 2014
- 47
- 17
bila ku-du unamanisha nin usije ukawa hau du ila unashiriki oral sex???
Je, madakatari na wengineo mtu anaweza kuambukizwa magonjwa ya zinaa bila ya kushiriki tendo la ndoa na mtu yeyote?
Kiukweli hili jambo lanichanganya sana. Mtu waweza pata magonjwa ya zinaa kama kaswende na mengineyo hata kama hujafanya ngono?
Hii ni mara ya pili napimwa naambiwa nina magonjwa ya zinaa hali ya kuwa sikushiriki tendo la ndoa. Je, madakatari na wengineo mtu anaweza kuambukizwa magonjwa ya zinaa bila ya kushiriki tendo la ndoa na mtu yeyote? kama ndio kivipi?
Asanteni, naombeni ufafanuzi zaidi.
Ndiyo inawezekana kabisa kwa mtu hususani KE kupata magonjwa ya zinaa pasipo hata kushiriki tendo la ndoa. Kwa mwanamke anaweza akaambukizwa gonjwa la zinaa mfano kaswende au kisosono kwa kupitia kutumia sehemu za kujisaidia ikiwa ni vyoo vya kukaa na vyombo vya kujitawadha iwapo hali ya usafi wake utakuwa duni. Mwanamume japo naye anaweza kuambukizwa kupitia njia hizo uwezekano ni finyu sana. Ila kwa KE uwezekano ni mkubwa sana. Wanawake wanapaswa kuwa makini sana na usafi wa vyoo jumuiya(public toilets). Na inapowezekana waepuke kutumia vyoo hivyo na vyombo vya kujitawadha na inapowalazimu kutumia public toilets watumie kwa tahadhari.
Mkuu samahani japokuwa swali langu halitakusaidia...ina maana tangu 2011 huja... kabisa!!??? Una umri gani mkuu na jinsia gani?!
Ni zaidi ya huo mwaka.umri wangu ni above 25.
Majini ya Mahaba hayawezi kumuambukiza mtu Maradhi ya Zinaa FoundationHivi majini mahaba yana uwezo wa kumuambukiza mtu magonjwa ya zinaa? MziziMkavu
Mmmm..
Una shida gani mkuu?
Hukupata karatasi yoyote yenye matokeo yavipimo vyako?
Ni very rare kupata ugonjwa wa zinaa bila kufanya ngono, kinachoweza kuwa kimetokea ni vipimo vimekosewa (kawaida sana na vipimo vyetu) au ulikuwa haujapona kabisa mara ya kwanza na virus ilikuwa imejificha mwilini. Nakushauri utafute second oponion ya kitaaalamu.
Ukichangia taulo na mwenye kaswende unaweza pata maumbukizi.Kiukweli hili jambo lanichanganya sana. Mtu waweza pata magonjwa ya zinaa kama kaswende na mengineyo hata kama hujafanya ngono?
Hii ni mara ya pili napimwa naambiwa nina magonjwa ya zinaa hali ya kuwa sikushiriki tendo la ndoa. Je, madakatari na wengineo mtu anaweza kuambukizwa magonjwa ya zinaa bila ya kushiriki tendo la ndoa na mtu yeyote? kama ndio kivipi?
Asanteni, naombeni ufafanuzi zaidi.