1. kwani umeshajua matokeo ya round 5? - Issue ni hii round 5 ambayo haikowepo, na ndo maana nilishajulishwa kuwa nimeshinda baada ya kumaliza round ya 4
2. Unasababu yoyote ya kufikiri hautendewi haki? - Nadhani hili tuliache kwanza
3. unajua referee wako -kama wametafutwa wamesema nin? inaweza kuwa sababu pia..... (kama nilisema hapo juu, tulishatoka huko ndo maana tulikuwa tunajadili issue ya offer
kimsing hata ukishapewa offer bado kuna probation period within which eather side can terminate contract - Najua kuna probation period, lakini hata katika kipindi cha probation mwajiri hawezi ku terminate mkataba bila sababu ya msingi, normally grounds zinakuwa performance
HUNA CHA KUDAI. Sina hakika[/QU