consigliori
JF-Expert Member
- Mar 29, 2010
- 392
- 89
Ndugu wanasheria, naomba nisaidiwe kwenye suala hili hapa chini;
Nilifanya inteview ya kazi ( 4 rounds) kwa mwajiri fulani, na akanitaarifu kuwa nimeshinda na kwa hiyo nipange lini tukane kwa ajili ya negotiations za offer.
Baadaye, kabla ya kukutana kwa ajili ya kujadiliana kuhusu hiyo offer, nikaambiwa ati, wameambiwa na HQ yao kuwa kabla ya kunipa offer, inabidi niwe interviewed na afisa mwingine ( yaani round ya 5 ambayo haikuwepo katika utaratibu wa mwanzo).
Je? nina haki yoyote ninayoweza kuidai mahakamani ikiwa mwisho wa siku sitaipata hiyo kazi?
Asante
Nilifanya inteview ya kazi ( 4 rounds) kwa mwajiri fulani, na akanitaarifu kuwa nimeshinda na kwa hiyo nipange lini tukane kwa ajili ya negotiations za offer.
Baadaye, kabla ya kukutana kwa ajili ya kujadiliana kuhusu hiyo offer, nikaambiwa ati, wameambiwa na HQ yao kuwa kabla ya kunipa offer, inabidi niwe interviewed na afisa mwingine ( yaani round ya 5 ambayo haikuwepo katika utaratibu wa mwanzo).
Je? nina haki yoyote ninayoweza kuidai mahakamani ikiwa mwisho wa siku sitaipata hiyo kazi?
Asante