Je, mungu ni shetani na shetani ni mungu?

Je, mungu ni shetani na shetani ni mungu?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
Ukitafakari bila woga wala uzwazwa dhana mbili yaani mungu na shetani, unagundua yafuatayo:
Mosi, wote wawili waliumbwa au kufinyangwa na binadamu.
Pili, shetani ana nguvu sana kuliko mungu.

Tatu, shetani ana akili sana kuliko mungu. Kwa sababu, pamoja na kupigwa vita na kila mmoja, hana mtetezi kama mungu alivyo na bado ana nguvu na anatisha.
Nne, mungu na shetani wote ni wakatili. Shetani anasababishe uingie motoni na mungu anakuchoma motoni.

Tano, wote ni woga kwa kiasi fulani, kwani hawajawahi kuonekana.
Sita, bila imani siyo uhakika wala ushahidi, ngano, visa, uongo na vitisho, wawili hawa hawajawahi kuwapo.

Saba, shetani anawapenda wanawake na mungu anawachukia wanawake. Nane, shetani na mungu wote ni wanawake.

Tisa, shetani na mungu na dini mbili yaani wote ni waislam na wakristo.
Kumi, wote wanapenda ngono.
Kumi na moja, wote ni wadandiaji kwani, bila kumtumia binadamu, hakuna wanachoweza.

Kumi na mbili, wawili hawa wanapenda kutawala wenzaona lao ni moja ukiachia mbali kuwa wote ni mapacha na baba yao ni mzungu na mama yao ni mwarabu.
 
Ukitafakari bila woga wala uzwazwa dhana mbili yaani mungu na shetani, unagundua yafuatayo:
Mosi, wote wawili waliumbwa au kufinyangwa na binadamu.
Pili, shetani ana nguvu sana kuliko mungu.

Tatu, shetani ana akili sana kuliko mungu. Kwa sababu, pamoja na kupigwa vita na kila mmoja, hana mtetezi kama mungu alivyo na bado ana nguvu na anatisha.
Nne, mungu na shetani wote ni wakatili. Shetani anasababishe uingie motoni na mungu anakuchoma motoni.

Tano, wote ni woga kwa kiasi fulani, kwani hawajawahi kuonekana.
Sita, bila imani siyo uhakika wala ushahidi, ngano, visa, uongo na vitisho, wawili hawa hawajawahi kuwapo.

Saba, shetani anawapenda wanawake na mungu anawachukia wanawake. Nane, shetani na mungu wote ni wanawake.

Tisa, shetani na mungu na dini mbili yaani wote ni waislam na wakristo.
Kumi, wote wanapenda ngono.
Kumi na moja, wote ni wadandiaji kwani, bila kumtumia binadamu, hakuna wanachoweza.

Kumi na mbili, wawili hawa wanapenda kutawala wenzaona lao ni moja ukiachia mbali kuwa wote ni mapacha na baba yao ni mzungu na mama yao ni mwarabu.
It does not matter whether you are right or wrong. The important thing is you have used your brain to think, unlike most of us robotic morons who blindly accept evry garbage that is thown onto us. Kudos father
 
Ukitafakari bila woga wala uzwazwa dhana mbili yaani mungu na shetani, unagundua yafuatayo:
Mosi, wote wawili waliumbwa au kufinyangwa na binadamu.
Pili, shetani ana nguvu sana kuliko mungu.

Tatu, shetani ana akili sana kuliko mungu. Kwa sababu, pamoja na kupigwa vita na kila mmoja, hana mtetezi kama mungu alivyo na bado ana nguvu na anatisha.
Nne, mungu na shetani wote ni wakatili. Shetani anasababishe uingie motoni na mungu anakuchoma motoni.

Tano, wote ni woga kwa kiasi fulani, kwani hawajawahi kuonekana.
Sita, bila imani siyo uhakika wala ushahidi, ngano, visa, uongo na vitisho, wawili hawa hawajawahi kuwapo.

Saba, shetani anawapenda wanawake na mungu anawachukia wanawake. Nane, shetani na mungu wote ni wanawake.

Tisa, shetani na mungu na dini mbili yaani wote ni waislam na wakristo.
Kumi, wote wanapenda ngono.
Kumi na moja, wote ni wadandiaji kwani, bila kumtumia binadamu, hakuna wanachoweza.

Kumi na mbili, wawili hawa wanapenda kutawala wenzaona lao ni moja ukiachia mbali kuwa wote ni mapacha na baba yao ni mzungu na mama yao ni mwarabu.
Ebu zima kwanza ya leo imetosha mkuu ukiendelea tutakupoteza
 
Hii ni Darby na haina mshindi - unachowaze huenda / sio sahihi
 
Jamani tusimkemee huyu punda, hajamtaja Mungu tunayemjua anasema "mungu" na shetani. Yuko sahihi!
 
Ndugu yangu ukiweza futa huu uzi. Usifanye masihara na Mwenyezi Mungu. Unaweza ukalaanika wewe na kizazi chako chote.
Soma Quran ikiwa kweli unataka kumjùa Mwenyezi Mungu wa kweli aliyeumba mbingu na dunia. Unaweza pia kusoma Taurati, Injili na Zaburi japo vitabu hivi (vya kwenye Biblia) vimeongezewa au kupunguzwa baadhi ya maneno lakini still ukitaka kumjua Mwenyezi Mungu wa kweli kupitia vitabu hivyo pia utamjua.

Tafadhali sana muheshimu Mwenyezi Mungu upate baraka katika maisha yako.
 
Mleta mada,Embu jitahidi onana na psychiatrist. Utanishukuru.
 
Nachojua Shetani na Mungu ni washkaji ..

Rejea Mungu akamtuma shetani amjaribu Ayubu
 
Ukitafakari bila woga wala uzwazwa dhana mbili yaani mungu na shetani, unagundua yafuatayo:
Mosi, wote wawili waliumbwa au kufinyangwa na binadamu.
Pili, shetani ana nguvu sana kuliko mungu.

Tatu, shetani ana akili sana kuliko mungu. Kwa sababu, pamoja na kupigwa vita na kila mmoja, hana mtetezi kama mungu alivyo na bado ana nguvu na anatisha.
Nne, mungu na shetani wote ni wakatili. Shetani anasababishe uingie motoni na mungu anakuchoma motoni.

Tano, wote ni woga kwa kiasi fulani, kwani hawajawahi kuonekana.
Sita, bila imani siyo uhakika wala ushahidi, ngano, visa, uongo na vitisho, wawili hawa hawajawahi kuwapo.

Saba, shetani anawapenda wanawake na mungu anawachukia wanawake. Nane, shetani na mungu wote ni wanawake.

Tisa, shetani na mungu na dini mbili yaani wote ni waislam na wakristo.
Kumi, wote wanapenda ngono.
Kumi na moja, wote ni wadandiaji kwani, bila kumtumia binadamu, hakuna wanachoweza.

Kumi na mbili, wawili hawa wanapenda kutawala wenzaona lao ni moja ukiachia mbali kuwa wote ni mapacha na baba yao ni mzungu na mama yao ni mwarabu.
Ahueni umetumia neno "mungu", badala ya "Mungu". Ungetumia neno "Mungu" hakika ningekuona wewe ni mtu confused!
 
mungu ni shetani ndio kwan wewe huoni dunia nzima wanatamani mambo ya shetani?
 
Back
Top Bottom