Ok,ngoja niassume umenijibu,je umenijibu wapi?Huwezi kutaka nikujibu wewe tu, hata baada ya kukujibu mara lukuki.
Utaonekana unatumia mbinu tu ya kukataa kujibu.
Sawa inawezekana,lakini vipi kuhusu anaeuliza kuhusu kisichowezekanika kuthibitishwa?Unaweza kuthibitisha kwamba mungu yupo?
Kama hakuna kinachoweza kuthibitishwa, that is an even worse indictment to the idea that god exists. It is not a vindication.
Uko vzr sana The Meek, God bless you brother (naamini you are a Man)Kiufupi, maswali yako yote nimeyajibu kiufasaha; tatizo hujaona. Na wala hauko familiar na sauti ya Mungu.
Naelewa kwamba , uko familiar na sauti ya shetani. Una judge kwa kwa hisia ( I mean kwa kile unachokisoma) . Umeona govi, ukajua unatukanwa, ... Hata Yesu alipondwa alipondwa mawe kwasababu hii.
Kwahiyo Ndugu, ili uweze kunielewa au kuzielewa post zangu, nakushauri uzisome kwa kutumia masikio yako, sio macho yako.
Asante.
Unaweza kuthibitisha mungu yupo?Ok,ngoja niassume umenijibu,je umenijibu wapi?
Kwanini usinioneshe ni hapa au pale au kule?
Sawa inawezekana,lakini vipi kuhusu anaeuliza kuhusu kisichowezekanika kuthibitishwa?
Halafu ni kwanini hakuna kinachowezekana kuthibitishwa?
Yaanbi ni rahisi sana,yaani huwezi hata kuthibitisha kuwa hapo ulipo hauoti......
Je hilo ni tatizo la nini/nani na kwanini?
Tusipotumia akili tutumie nini mkuuje unajua kuwa wewe ni nani? kwanini upo hapa duniani pia chanzo chetu sisi ni nn? tatizo unatumia akili na akili ni kitu kidogo ndio maana huwezi hata kujua kama mungu yupo tumia kitu kikubwa zaidi ya akili huwezi kujua mungu ni kitu gani kama hauko hujajitambua
Naona watu wako na mzee wa ligi hapa na naona mmoja mmoja anamuacha maana hata ukijibu unakuwa unafanya kazi bure tu maana atakuja kuuliza swali lile lile tena huko mbeleni......
Kaazi kweli kweli.....
Mpeni majibu ya maswali yake sio nnaaza kufarijianaMzee wa ligi yupo na wimbo wake "thibitisha" hiyo ndio chorus ya wimbo wake ni kama kasuku...
Lazima umuache wimbo wake wa " bado hujathibitisha" hiyo ndio default position yake mtaenda baadae anarudi default position yake...
Mkuu wengine hawa wengine wapo wapo tu kama mabogaMkuu kati ya siku nimekuelewa basi ni leo kwenye hili bandiko lako.
Kwamba huwezi kuthibitisha kitu kisichokuwepo ila unathibitisha kilichopo hii imenikaa akilini haswaa.
Asante sana
Wee mtoto wa muhammad una utindio wa ubongo sio bureKuna mtu amekuuliza wewe km mungu yupo au hayupo?
Umesoma uzi kwanza au unapayuka tu ka kikojozi aliyekosa mume.
We mtoto huna jipya la maana ?
kila uzi ukivamia "hakuna mungu:.
Nani kakuuliza hilo swali?
Hata watoto wa kike wana maneno ya maana kuliko wewe.
Au wewe ndio wale watoto wa mzazi mmoja! Usiemtambua Babako?
Vipi wewe kila uzi unakuta waungwana wanajadili masuala ya maana. Unaleta ushankupe wako wa kuvuruga Maongezi ya watu!
Shika adabu yako mjusi uliekosa maadili ya mama yako.
Haya Mbwa ana maadili mema kuliko wewe.
Pumbaf kabisa we kikojozi. Na mamako alaaniwe kukukosesha malezi.
Anajenga hoja baada ya ninyi kusema yupoSuala la mungu ni suala lenye kuhitaji imani, na suala zima lilivyo hapa ni hoja zipi zitafanya ukubali kuamini kuwa kuna mungu. Sasa anapotokea mtu na kudai kuwa hakuna mungu na kutaka athibitishiwe uwepo wa mungu nje ya imani,ni wazi huyo mtu hajui anachokitaka.
Kibaya zaidi huyo mtu ambaye hataki suala la imani,hutoa visababu vya kupinga uwepo wa mungu kwa kujenga hoja kwa jambo lenye kuhitaji imani.
Mkuu wengine hawa wengine wapo wapo tu kama maboga
Hivi hauwezi kuchangia bila kutukana watu!? Vinginevyo utakuwa ni wa kupuuzwa au unataka kuonekana na wewe humo unachangia? Na kuongeza idadi ya postWee mtoto wa muhammad una utindio wa ubongo sio bure
Kwahiyo hujaona matusi aluyomwaga hapo huyo muumini mwenzako sio? Endelea kujitoa ufahamuHivi hauwezi kuchangia bila kutukana watu!? Vinginevyo utakuwa ni wa kupuuzwa au unataka kuonekana na wewe humo unachangia? Na kuongeza idadi ya post
Licha ya hivyo haina ulazima wa kujibizana na wewe ambaye unajua mtu akishindwa kuthibitisha kitu basi hakipo, endelea na imani yako ya hakuna Mungu na wengine waache na imani yao
Kwa hiyo umekuja ku balance ama?Kwahiyo hujaona matusi aluyomwaga hapo huyo muumini mwenzako sio? Endelea kujitoa ufahamu
Kwa aluyoandika hapo lazima atakuwa na tatizo la ubongo. Kwani vipi?Kwa hiyo umekuja ku balance ama?
Haya sawaKwa aluyoandika hapo lazima atakuwa na tatizo la ubongo. Kwani vipi?
Sasa mimi sitaki kuamini nataka kuelewa, kama unao uthibitisho uweke ili nipate kuelewaSuala la mungu ni suala lenye kuhitaji imani, na suala zima lilivyo hapa ni hoja zipi zitafanya ukubali kuamini kuwa kuna mungu. Sasa anapotokea mtu na kudai kuwa hakuna mungu na kutaka athibitishiwe uwepo wa mungu nje ya imani,ni wazi huyo mtu hajui anachokitaka.
Kibaya zaidi huyo mtu ambaye hataki suala la imani,hutoa visababu vya kupinga uwepo wa mungu kwa kujenga hoja kwa jambo lenye kuhitaji imani.
mpigie simu muulize kama kabadilika! au kamuulize mtume wakoNikisoma Vitabu Vya Dini Hasa Biblia... Mungu wa Kuanzia Kitabu Cha Mwanzo Au Vitabu Vya Kale Ni Tofauti Sana kitabia na Mungu wa Agano Jipya.
Tabia za KiMungu Alizokuwa nazo Katika agano la Kale Nikilinganisha Na Agano jipya naona Tofauti Kubwa Sana
Mfano AGANO LA KALE
Mungu Alikuwa ni Wa Hasira Sana na Anayependa Sana Waumini wake Wafuate Sheria ... Kulikuwa na Sheria Za Kitakatifu Mfano Kujiosha Mwili... mavazi.. Kuhudumia Sehemu ya Kuabudia kwa usafi wa hali ya juu... kuvukisha Ubani... kujitawaza... n.k n.k
Sasa Nitapokuja Kusoma Agano jipya Mungu anakuwa Amebadilika Sana Hasa Katika Kuabudiwa.. .. Yale Mambo ya kale aliyotaka hayapo tena.. Je Mungu amebadilika Hataki Tena Ubani... Zawadi za kuteketezwa Alizosema zinamvutia?
Je Kuna Ubaya Gani Kutoa Sadaka Za hivyo.. kuna Ubaya Gani Kurudia Kule kwa Kale.. Kujisafisha Uendapo Kuabudu..... Kuwa Msafi Au kujitawaza kama kale...
Unaposema hutaki kuamini unataka kuelewa una maanisha nini?Sasa mimi sitaki kuamini nataka kuelewa, kama unao uthibitisho uweke ili nipate kuelewa