Je! Mungu ni yule yule?

They can't give me the logic.

There is no logic to give.

Because, that God does not exist.

It's like trying to explain a triangle that has six angles in one dimensional Euclidean geometry!

The very definition of that "triangle that has six angle" is self contradictory.

Such a piece of geometrical contradiction cannot exist in reality.

The idea of an omnipotent, omniscient and all benevolent god (triangle) who also created this world which allows so much evil (with six angles) is self contradictory.

Such a God does not exist!
 
Huna akili kwanin asiwe kibonde wako?
 
Mbona umerukia kote huko?

Anza mwanzo.

Hapa.

GE 1:3-5 On the first day, God created light, then separated light and darkness.
GE 1:14-19 The sun (which separates night and day) wasn't created until the fourth day.

Pia hujajibu swali la msingi.

Imekuwaje Mungu mwenye uwezo wote,ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani kutendeka wala kufikirika?
 
what rojic? you are fooling your self.
 
what rojic? you are fooling your self.
Rojic?

The idea of your God has an inherent contradiction, therefore he cannot exist.

The idea of your God existing is like "a triangle with six angles" existing in one dimensional Euclidean geometry.

An impossibility.
 
Ntakuuliza swali, upepo ni nin? Je unaijua nguvu ya upepo?

Hata nikikwambia siujui upepo na siijui nguvu ya upepo, hilo halithibitishi kuwapo kwa Mungu.

Kinachotakiwa ni wewe uondoe contradiction iliyopo katika dhana ya kuwepokwa Mungu.

Nimekuuliza hivi, imekuwaje Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu huu ambao viumbe wake wanapata mateso makubwa,una mabaya mengi sana,wakati alikuwa na uwezo wote, ujuziwote na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Hujajibu swalihili.
 
Rojic?

The idea of your God has an inherent contradiction, therefore he cannot exist.

The idea of your God existing is like "a triangle with six angles" existing in one dimensional Euclidean geometry.

An impossibility.
Huna unachojua na hizi ni coments za watu unaodhan ni wa maaana. Soma elewa njoo na mtizamo ako usituchoshe na C&P . Huna ujualo. Narudia tena soma elewa na njoo na mtizamo wako utasaidiwa. As it has been said kumcha Mungu ni chanzo cha maarifa, mnaangamia kwa kukosa maarifa.
 
1. Hujathibitisha Mungu yupo, kwa namna yoyote ile.

2. Hujaondoa contradiction ya dhana ya Mungu mwenye uwezo wote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote kuumba ulimwengu unaoruhusu maovu kufanyika.

3. Hujajibu contradictions zilizopo katika Biblia.

Kwa sababu Mungu huyo hayupo na hicho kitabu unachosema kitakatifu,kimeandikwa na watu tu, kina makosa kibao yanayoonesha hilo.
 
Kiranga, they can’t give you logic, that’s correct, but hakuna logic that’s incorrect.

What most of them avoid telling you is God is perceived only and only by faith. Mark you, I didn’t say He exists by faith, I said He is perceived by faith meaning He is meaningful to those who perceive Him by belief.

Biblia ndio true account of what was managed to be recorded kuhusu mambo yanayomhusu Mungu. Maneno mengi mpaka leo yakisomwa kwa kutumia logics tunazojifunza kwenye madarasa ya hesabu hayatupi mantiki. Namna pekee ya kupata mantiki ambayo mimi ni mmoja wanaoamini yapo ni kwa kuomba msaada kwa Mungu huyo anayeaminiwa ameyaleta hayo maneno. So far I have no regrets. Nitaendelea wakati mwingine lakini jaribu kwa mbali kutoka kwenye comfort zone ya collection ya logics ulizojifunza ujaribu kuinvite new horizons of thinking labda utasogea.
 
Sion hoja ya maana hapa
 
Nikikwambia kuna pembetatu yenye pembe sita (one dimensional Euclidean geometry) huwezi kuielewa kwa logic, wala kuiona kwa macho, uiamini kwa imani tu, ipo, utaamini kwamba ipo?
 
Sion hoja ya maana hapa
Hoja ya maana ni kwamba, unaamini Mungu ambaye dhana ya kuwepo kwake inajipinga yenyewe.

Unaamini kwamba kuna "pembe tatu yenye pembe sita" katika one dimensional Euclidean geometry.

Hiyo definition ya "pembe tatu yenye pembe sita" tu inakataza dubwana hilo kweza kuwepo kwa uhalisi.

Wewe unaamini Mungu ambaye ni sawa sawa kabisa na hiyo dhana ya "pembe tatu yenye pembe sita".

Unaamini contradiction. Unasema Mungu wa contradiction yupo katika uhalisi.
 
Nikikwambia kuna pembetatu yenye pembe sita (one dimensional Euclidean geometry) huwezi kuielewa kwa logic, wala kuiona kwa macho, uiamini kwa imani tu, ipo, utaamini kwamba ipo?
Sasa kiranga hapo ndipo logic inapokwama. Ukishasema pembe tatu huwezi kwenda mbele kuipa pembe zingine sita. Ni sawa na argument ya Mungu kutengeneza jiwe asiloweza kuliinua na kama hawezi kulitengeneza sio omnipotent. Vitu vya hivyo haviwezi kuexist kwa mpigo. Yani kitu kiwe chini hapo hapo kiwe juu au mtu mweusi aliye mweupe. Ndiko logic inakokomea. What if God can see tufe lote la dunia kwa mpigo. What if he has that power? I may be back inshallah
 
Muda si mali yangu I have given you what i have.

Am done here.
 
Ukikataa pembe tatu yenye pembe sita, halafu ukakubali Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote (pembe tatu) ambaye anaumba ulimwengu unaoruhusu maovu licha ya kuwa na uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote wa kuumba ulimwengu usioruhusu maovu (pembe sita) unakataa nini na unakubali nini?

Huyu Mungu anatofautianaje na "pembe tatu yenye pembe sita" wakati dhana mbili zote hizi zina contradiction by definition?

Mbona unakubali contradiction moja, na kukataa nyingine?
 
Kitabu kinami contradictions kibao, left right and center. Halafu mtu anakwambia hiki kitabu cha Mungu mjuziwa yote,mwenye uwezo wote na upendo wote.

Mungu huyo angekuwepo asingehitaji hata kitabu kumuelezea.

Ukweli kwamba kuna kitabu hicho unaonesha Mungu huyo katungwa na watu tu.
 
Kuruhusu maovu yaendelee sio kushindwa kuyafutilia mbali. Kama umewahi kusikia kuhusu pambano alilonalo sasa hivi na mkuu wa ulimwengu huu(pole kwa hii contradiction ) linalotazamwa na viumbe tusiowaona ( hili ni kwa imani) Mungu anaendelea kuthibitisha kwa wanadamu na viumbe wengine ambao hawajaasi haki ya hukumu zake. Accusation ya shetani ni kama yako kuwa Mungu ni tyrant na wanaomfuata ni automatons au wanamwogopa. Mungu anataka kuthibitisha kuwa anaweza kuwapa viumbe wanaochagua kumwamini na kumsikiliza uwezo wa kuishi vile inavyowafaa na kupata gift ya kuishi bila kufa pale wakati utakapotimia wakati huyo ibilisi atakapofutiliwa mbali milele na kurhibitisha uwezo wa Mungu in all fronts. So just because God has not yet shown unbelievers uwezo wake wote it doesn’t mean He does not have the power to do what He wants. The Bible has these insights only when read objectively and not when read by its critics.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…