Je! Mungu ni yule yule?

Nimependa sana maelezo yako Mungu akubariki atleast hapo nimeelewa
 
Sasa kama kaumba huo ulimwengu wenye shida ndio hayupo?
 
Kwa nini niamini hivyo? Kwa nini nithamini kuamini katika ulimwengu unaotaka kujua?

Kwa nini niamini contradiction?

Kwa nini niamini kuna pembetatu yenye pembe sita?

Hujaondoa contradiction katika idea ya kuwepo kwa Mungu wako.
Hujajibu swali
 
Kulingana na swali lako, ni yuleyule kwa binadamu wote? Mf. Aliyemtoa mwanae kafara na huyu wa Waislam ni yuleyule? Tuingie kipengele kimoja, wanaoamini Yesu ni Mungu, Wakatoliki na Wasabato wanaabudu Mungu yuleyule? Ni kwa nini kusiwe na kitu kimoja?
 
kuhusu mungu.ukweli ulio mchungu ni kwamba . sisi viumbe wake hatumjui.tunahisi tuu kwamba yupo miongoni mwetu.kazi na malengo yake haswaaa hatujayajua.tunamtafsiri ki dunia zaidi .wakati dunia ni moja ya mamilioni ya sayari za ulimwengu wake.kumbuka mungu wa wajinga ni tofauti na mungu wa werevu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…