Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,211
- 3,611
Taswira kwa hisani ya Google
Hii haiwezekani Tanzania? Kwanini isiwezekane? Nadhani hii ya juu tunaweza ila ya chini ya bahari ndiyo hatuwezi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1. Miundombinu ya kurahisisha usafirishaji kwa bei nafuu kuliko anga na majini.Lina faida gani kiuchumi?
Mgodi mmoja tu unajenga Dar/Tanga-Pemba-Unguja. Tanzania tuna migodi inayofanyakazi na iliyolala zaidi ya 50.Nasikia wataalamu wa Japan walisema itatugharimu bajeti ya nchi ya miaka 20 kujenga daraja hilo! Faida zake ni nini labda.
Suez Canal inaiingizia Misri fedha lukuki sambamba na mapiramidi.Hamna tija yeyote hapo,
Kwan mizigo sasa hv haisafirishwi! Hela za kuwekeza kwenye project za hovyo kama hzi kwa nn zisitumikr kujenga viwanda vya kimkakati Tanzania! Hela ya kujenga hilo daraja itajenga viwanda vingapi Tanzania ambavyo vitakuwa na tija kubwa na kuinua uchumi wa Tanzania!!?
Sioni sababu ya kuendelea kuwekeza kwenye project zisizogusa maisha ya Watanzania! Unajivunia daraja refu then halina faida kwa nchi, ni uwekezaji wa kijinga!!
Lile la Australia walijenga mwaka gani!Hamna mtu anayejenga madaraja ya aina hii siku hizi.
Amandla...
Hiyo migodi yote pamoja na Gas sio mali yetu. Tusingekimbizana na Tozo.Mgodi mmoja tu unajenga Dar/Tanga-Pemba-Unguja. Tz tuna migodi inayofanyakazi na iliyolala zaidi ya 50.
Sydney Harbour bridge lilifunguliwa 1932.Lile la Australia walijenga mwaka gani!
Anasa za kijinga hizi. Hilo daraja litarahisisha vipi usafiri kwa kipimo cha kiasi cha nauli, muda na usalama?View attachment 1972256
Taswira kwa hisani ya Google
Hii haiwezekani Tanzania? Kwanini isiwezekane? Nadhani hii ya juu tunaweza ila ya chini ya bahari ndiyo hatuwezi.
Basi angalikuwa magu hawaa......kusifia tu. Hapo mleta mada kaleta ndoto yake tu tayari mashambulizi utafikiri limetangazwa linatekelezwaHamna tija yeyote hapo,
Kwan mizigo sasa hv haisafirishwi! Hela za kuwekeza kwenye project za hovyo kama hzi kwa nn zisitumikr kujenga viwanda vya kimkakati Tanzania! Hela ya kujenga hilo daraja itajenga viwanda vingapi Tanzania ambavyo vitakuwa na tija kubwa na kuinua uchumi wa Tanzania!!?
Sioni sababu ya kuendelea kuwekeza kwenye project zisizogusa maisha ya Watanzania! Unajivunia daraja refu then halina faida kwa nchi, ni uwekezaji wa kijinga!!