Je, mwamba wa Lusaka ( Chama) alikwenda kuomba maji kwa bahati mbaya au alikwenda Kama undercover kupeleleza vinywaji vya waarabu?

Je, mwamba wa Lusaka ( Chama) alikwenda kuomba maji kwa bahati mbaya au alikwenda Kama undercover kupeleleza vinywaji vya waarabu?

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Akili ndogo wanamkejeli Chama kunyimwa maji/juice na waarabu (Al ahly) baada ya mchezo kusimama.

Hilo tukio lilitokea Chama kuwasogelea waarabu na kutaka kupata walau maji lakini ikawa tofauti kidogo baada ya wachezaji wa Al ahly kugoma kumpa/kumpotezea.

Akili kubwa Kama NALIA NGWENA imenifanya nifikiri kwa undani nakudhani kuwa Chama alitumwa/alikwenda Kama undercover kutest Radha ya kinywaji Kama siyo contained na madawa ya kuongeza nguvu.

Lakini kwa akili ya waarabu nao walilijua Hilo waliamua kumkwepa Chama na kujifanya hawamuoni kabisa Kama ingekua ni maji/kinywaji Cha kawaida wasingeoogopa wangempa bila wasi wasi wowote hivyo ndivyo wanavyofanya katika michezo mingi kwa wachezaji kushea maji ndani ya pichi ni jambo la kawaida tu.

Tukio Kama hili linatoa funzo kubwa sana katika timu zetu za Tanzania haswa Simba na Yanga Sc zinazoshiriki michuano ya kimataifa.

Screenshot_20231022-135330~2.jpg
 
Akili ndogo wanamkejeli Chama kunyimwa maji/juice na waarabu (Al ahly) baada ya mchezo kusimama.

Hilo tukio lilitokea Chama kuwasogelea waarabu na kutaka kupata walau maji lakini ikawa tofauti kidogo baada ya wachezaji wa Al ahly kugoma kumpa/kumpotezea.

Akili kubwa Kama NALIA NGWENA imenifanya nifikiri kwa undani nakudhani kuwa Chama alitumwa/alikwenda Kama undercover kutest Radha ya kinywaji Kama siyo contained na madawa ya kuongeza nguvu.

Lakini kwa akili ya waarabu nao walilijua Hilo waliamua kumkwepa Chama na kujifanya hawamuoni kabisa Kama ingekua ni maji/kinywaji Cha kawaida wasingeoogopa wangempa bila wasi wasi wowote hivyo ndivyo wanavyofanya katika michezo mingi kwa wachezaji kushea maji ndani ya pichi ni jambo la kawaida tu.

Tukio Kama hili linatoa funzo kubwa sana katika timu zetu za Tanzania haswa Simba na Yanga Sc zinazoshiriki michuano ya kimataifa.View attachment 2789119

Chama nae ni kiherehere we unaombaje maji ya Adui yako af punde tu katoka kuchera rafu
 
TUKIZUNGUMZIA UBAGUZI MBONA WAPO NA PERCY TAU.

INAMAANA HAYO MAJI/JUICE HANYWI
[emoji3] mkuu hao akina Dieng na Tau wamewekwa hapo na mwajiri wao na hawabaguliwi kwasababu wana-deliver kile walichotumwa mwajiri, ila vinginevyo yangewakuta ya Miquisson kibonge.

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom