Je, mwamba wa Lusaka ( Chama) alikwenda kuomba maji kwa bahati mbaya au alikwenda Kama undercover kupeleleza vinywaji vya waarabu?

Je, mwamba wa Lusaka ( Chama) alikwenda kuomba maji kwa bahati mbaya au alikwenda Kama undercover kupeleleza vinywaji vya waarabu?

Mchina[emoji28]
Hio product ya mchina na mtu mweusi sijui itakuaje aisee.
[emoji23] wapo ila wanachekesha ukiwatazama,
Kule wilaya ya mkuranga kuna viwanda vingi vya wachina na wamezaa sana mademu wa kule hasa wafanyakazi wao wa viwandani.
Product nyingi zinakua na ngozi nyeusi ila macho na nywele ni za kichina.

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Akili ndogo wanamkejeli Chama kunyimwa maji/juice na waarabu (Al ahly) baada ya mchezo kusimama.

Hilo tukio lilitokea Chama kuwasogelea waarabu na kutaka kupata walau maji lakini ikawa tofauti kidogo baada ya wachezaji wa Al ahly kugoma kumpa/kumpotezea.

Akili kubwa Kama NALIA NGWENA imenifanya nifikiri kwa undani nakudhani kuwa Chama alitumwa/alikwenda Kama undercover kutest Radha ya kinywaji Kama siyo contained na madawa ya kuongeza nguvu.

Lakini kwa akili ya waarabu nao walilijua Hilo waliamua kumkwepa Chama na kujifanya hawamuoni kabisa Kama ingekua ni maji/kinywaji Cha kawaida wasingeoogopa wangempa bila wasi wasi wowote hivyo ndivyo wanavyofanya katika michezo mingi kwa wachezaji kushea maji ndani ya pichi ni jambo la kawaida tu.

Tukio Kama hili linatoa funzo kubwa sana katika timu zetu za Tanzania haswa Simba na Yanga Sc zinazoshiriki michuano ya kimataifa.

View attachment 2789119
Watachapika kwao pale Cairo
We subiri tu
 
Me nahic hata perce tau kashaona mengi anavumilia tu
Hawana ujanja kwa Tau ndani ya uwanja.

Ushahidi wa hili ni pindi mipira mingi mirefu walimpigia Tau lakini Tshabalala alijitahidi kukaa naye karibu. Hii linaonesha ni kwa jinsi gani wanamtegemea Tau ndani ya uwanja.

Wangekuwa hawamtaki Tau ndani ya uwanja wasingekuwa wanaonesha kumtegemea.
 
Back
Top Bottom