NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
- #21
Kweli kabisa Mkuu siyo kitendo Cha kuvumilia wale mbwaIla haikuwa uungwana maana aliondoka kinyonge kuja kunywa uhai huku kwa wenzake
Kifupi haikuwa poa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa Mkuu siyo kitendo Cha kuvumilia wale mbwaIla haikuwa uungwana maana aliondoka kinyonge kuja kunywa uhai huku kwa wenzake
Kifupi haikuwa poa
DAH KWELI KABISA AISE.Acha kukumbatia mambo ya aibu
Inawezekana kikawaida ni sawa ila cha muhimu ni wachezaji wajifunze kubalance shobo kwa timu pinzani
Waarabu wana roho mbaya na nimuhimu kwenda nao kwa tahadhari
MIMI NILIHISI HIVYO MAANA CHAMA SIYO MGENI NA HAO AMECHEZA MOROCCO ANAWAJUA VIZURI SANA.We Simba nini? Hakuna cha intelligence Wala nini
Halafu wanajiona watu wa swala 5HATARI SANA HII KATIKA SOCCER HLAFU HAO JAMAA WANAJIFANYA WATU WA MUNGU SANA
Ila waarabu wamezidi hata ukaoe kwao ni shidaMtu mweusi anabaguliwa na kila mtu mwenye ngozi nyeupe sio mwarabu tuu.
Mchina😅Ila waarabu wamezidi hata ukaoe kwao ni shida
Ila kuoa mzungu au mchina ni kawaida tu
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Nadhani unatakiwa uangalie kwa upeo mpana zaidi ya kile unachoona kama 'aibu'aliondoka kwa aibu sana pale baada ya kukosa kinywaji
[emoji23] wapo ila wanachekesha ukiwatazama,Mchina[emoji28]
Hio product ya mchina na mtu mweusi sijui itakuaje aisee.
Hakutegemea hilo, maana huwa wanachukua popote tu, tena wengine wanashea hadi chupa wanakunywa kwa kupokezana na hakuna shida. Ni event ya kipekeeAliyataka mwenyewe watu wamejaa wenyewe unawafata wa nini. Liwe funzo kwake
Mwarabu na swala tano wapi na wapi!Halafu wanajiona watu wa swala 5
Mtu mweusi anabaguana hata yeye kwa yeye. Usije ukashangaa wewe kwa Madelu au Marope ukaonekana kama takataka tu 😁😁🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️Mtu mweusi anabaguliwa na kila mtu mwenye ngozi nyeupe sio mwarabu tuu.
Halafu akili ndogo zinaongelea eti apunguze shobo au kaondoka kwa aibu wakati alifanya lile jambo kimkakati kuwaexpose mbele ya uso wa duniaHaikuwa fair play. Tena mbele ya Viongozi wakuu wa FIFA wanaosisitiza fair play.
Hata rangi nyeupe nao wanabaguana tuu vilevile.Mtu mweusi anabaguana hata yeye kwa yeye. Usije ukashangaa wewe kwa Madelu au Marope ukaonekana kama takataka tu 😁😁🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️
Watachapika kwao pale CairoAkili ndogo wanamkejeli Chama kunyimwa maji/juice na waarabu (Al ahly) baada ya mchezo kusimama.
Hilo tukio lilitokea Chama kuwasogelea waarabu na kutaka kupata walau maji lakini ikawa tofauti kidogo baada ya wachezaji wa Al ahly kugoma kumpa/kumpotezea.
Akili kubwa Kama NALIA NGWENA imenifanya nifikiri kwa undani nakudhani kuwa Chama alitumwa/alikwenda Kama undercover kutest Radha ya kinywaji Kama siyo contained na madawa ya kuongeza nguvu.
Lakini kwa akili ya waarabu nao walilijua Hilo waliamua kumkwepa Chama na kujifanya hawamuoni kabisa Kama ingekua ni maji/kinywaji Cha kawaida wasingeoogopa wangempa bila wasi wasi wowote hivyo ndivyo wanavyofanya katika michezo mingi kwa wachezaji kushea maji ndani ya pichi ni jambo la kawaida tu.
Tukio Kama hili linatoa funzo kubwa sana katika timu zetu za Tanzania haswa Simba na Yanga Sc zinazoshiriki michuano ya kimataifa.
View attachment 2789119
Hawana ujanja kwa Tau ndani ya uwanja.Me nahic hata perce tau kashaona mengi anavumilia tu
Mwanga akikuwangia lazima aje kuomba kitu. Waarabu wamestuka.Ila waarabu wanatufundisha roho mbaya sanaa hakikuwa kitendo cha kiungwana kabisa
FIFA wanasisitiza FAIR PLAY sio FAIR DRINKING.Haikuwa fair play. Tena mbele ya Viongozi wakuu wa FIFA wanaosisitiza fair play.