Je, mwamba wa Lusaka ( Chama) alikwenda kuomba maji kwa bahati mbaya au alikwenda Kama undercover kupeleleza vinywaji vya waarabu?

Je, mwamba wa Lusaka ( Chama) alikwenda kuomba maji kwa bahati mbaya au alikwenda Kama undercover kupeleleza vinywaji vya waarabu?

waarabu ndivyo walivyoo wabaguzi sana. dp siwanakuja hao wafanyakazi wa bandarini hamna rangi wataacha kuona. wasiwe upande wa dp bora wawe chini TPA. maana wamepewa uchaguzi.
 
Kumbuka hapa ni JF akili kubwa. Watakaokusapot kwamba alienda ku-spay vinywaji vya waarabu ni mikia wenzio,ili kujaribu kufunika aibu ya huyo mchezaji wenu omba omba.
 
Kumbuka hapa ni JF akili kubwa. Watakaokusapot kwamba alienda ku-spay vinywaji vya waarabu ni mikia wenzio,ili kujaribu kufunika aibu ya huyo mchezaji wenu omba omba.
UNAJUA MPIRA KWELI NA ULISHAWAHI KUCHEZA HATA NGAZI YA KATA??

FIKIRI KABLA YA KULOPOKA.
 
Akili ndogo wanamkejeli Chama kunyimwa maji/juice na waarabu (Al ahly) baada ya mchezo kusimama.

Hilo tukio lilitokea Chama kuwasogelea waarabu na kutaka kupata walau maji lakini ikawa tofauti kidogo baada ya wachezaji wa Al ahly kugoma kumpa/kumpotezea.

Akili kubwa Kama NALIA NGWENA imenifanya nifikiri kwa undani nakudhani kuwa Chama alitumwa/alikwenda Kama undercover kutest Radha ya kinywaji Kama siyo contained na madawa ya kuongeza nguvu.

Lakini kwa akili ya waarabu nao walilijua Hilo waliamua kumkwepa Chama na kujifanya hawamuoni kabisa Kama ingekua ni maji/kinywaji Cha kawaida wasingeoogopa wangempa bila wasi wasi wowote hivyo ndivyo wanavyofanya katika michezo mingi kwa wachezaji kushea maji ndani ya pichi ni jambo la kawaida tu.

Tukio Kama hili linatoa funzo kubwa sana katika timu zetu za Tanzania haswa Simba na Yanga Sc zinazoshiriki michuano ya kimataifa.

View attachment 2789119
Vitu vingine acheni tu vipite.....hajazingua ata sema watu kupenda kiki watasema kakosea Fair play ilitakiwa itumike sema hawa waarabu Wana imani zao.....
 
Sio kosa lako. Mlisha SEMA Yanga wenye akili ni wawili tu Kikwete na baba yake MANARA.
 
Akili ndogo wanamkejeli Chama kunyimwa maji/juice na waarabu (Al ahly) baada ya mchezo kusimama.

Hilo tukio lilitokea Chama kuwasogelea waarabu na kutaka kupata walau maji lakini ikawa tofauti kidogo baada ya wachezaji wa Al ahly kugoma kumpa/kumpotezea.

Akili kubwa Kama NALIA NGWENA imenifanya nifikiri kwa undani nakudhani kuwa Chama alitumwa/alikwenda Kama undercover kutest Radha ya kinywaji Kama siyo contained na madawa ya kuongeza nguvu.

Lakini kwa akili ya waarabu nao walilijua Hilo waliamua kumkwepa Chama na kujifanya hawamuoni kabisa Kama ingekua ni maji/kinywaji Cha kawaida wasingeoogopa wangempa bila wasi wasi wowote hivyo ndivyo wanavyofanya katika michezo mingi kwa wachezaji kushea maji ndani ya pichi ni jambo la kawaida tu.

Tukio Kama hili linatoa funzo kubwa sana katika timu zetu za Tanzania haswa Simba na Yanga Sc zinazoshiriki michuano ya kimataifa.

View attachment 2789119
waarabu huwa wanaishiwa nguvu mapema sana, si ukute kwenye juisi waliweka vitia nguvu na waliogopa chama angegundua.
 
Wasio jua mpira wataita shobo. Ila kwa sisi Watu wa mpira inaitwa fair play, na sio maji tu hata madaktari wanaruhusiwa kutibu mchezaji wa timu pinzani.
Fair play au fair drinking?
 
Acha kukumbatia mambo ya aibu

Inawezekana kikawaida ni sawa ila cha muhimu ni wachezaji wajifunze kubalance shobo kwa timu pinzani

Waarabu wana roho mbaya na nimuhimu kwenda nao kwa tahadhari
Kuna mpirani kinaitwa fair unakifahamu
 
Akili ndogo wanamkejeli Chama kunyimwa maji/juice na waarabu (Al ahly) baada ya mchezo kusimama.

Hilo tukio lilitokea Chama kuwasogelea waarabu na kutaka kupata walau maji lakini ikawa tofauti kidogo baada ya wachezaji wa Al ahly kugoma kumpa/kumpotezea.

Akili kubwa Kama NALIA NGWENA imenifanya nifikiri kwa undani nakudhani kuwa Chama alitumwa/alikwenda Kama undercover kutest Radha ya kinywaji Kama siyo contained na madawa ya kuongeza nguvu.

Lakini kwa akili ya waarabu nao walilijua Hilo waliamua kumkwepa Chama na kujifanya hawamuoni kabisa Kama ingekua ni maji/kinywaji Cha kawaida wasingeoogopa wangempa bila wasi wasi wowote hivyo ndivyo wanavyofanya katika michezo mingi kwa wachezaji kushea maji ndani ya pichi ni jambo la kawaida tu.

Tukio Kama hili linatoa funzo kubwa sana katika timu zetu za Tanzania haswa Simba na Yanga Sc zinazoshiriki michuano ya kimataifa.

View attachment 2789119
Yale maji ya Dua mkuu. Chama apewe muda wa Dua alikuwepo?
 
Back
Top Bottom