Je, mwamba wa Lusaka ( Chama) alikwenda kuomba maji kwa bahati mbaya au alikwenda Kama undercover kupeleleza vinywaji vya waarabu?

Je, mwamba wa Lusaka ( Chama) alikwenda kuomba maji kwa bahati mbaya au alikwenda Kama undercover kupeleleza vinywaji vya waarabu?

Vitu vingine acheni tu vipite.....hajazingua ata sema watu kupenda kiki watasema kakosea Fair play ilitakiwa itumike sema hawa waarabu Wana imani zao.....
Eti yeye ndio anaujua mpira walipanga wote na Chama kufanya ile aibu. Hivi dunia ya sasa ndio ya kulazimisha kuigeuza nyeusi iwe nyeupe?..
Ni kweli wangekutulia tu ipite. Kutumia nguvu kuwalazimisha watu waamini ulichoplan ghafla muelekeo uwe,ndio unajiunguza zaidi.

Wana bahati tu mashabiki wa YANGA hawana habari na mambo ya simba. Tofauti na ingekuwa kile kitendo angekifanya mchezaji wa YANGA,wangeleta mpaka vibonzo vya chama akibembeleza juice kwa waarabu
 
Eti yeye ndio anaujua mpira walipanga wote na Chama kufanya ile aibu. Hivi dunia ya sasa ndio ya kulazimisha kuigeuza nyeusi iwe nyeupe?..
Ni kweli wangekutulia tu ipite. Kutumia nguvu kuwalazimisha watu waamini ulichoplan ghafla muelekeo uwe,ndio unajiunguza zaidi.

Wana bahati tu mashabiki wa YANGA hawana habari na mambo ya simba. Tofauti na ingekuwa kile kitendo angekifanya mchezaji wa YANGA,wangeleta mpaka vibonzo vya chama akibembeleza juice kwa waarabu
[emoji16]
 
Mna lalamika lakini kesho mnaenda kununua vitu kwenye biashara zao. Kama Kwa kauli Moja tunasema Hawa jamaa ni mavi tuanze kuwatenga kwenye uchumi Hata hapa uswazi.
Punguza chuki kijana utapata presha Bure. Mambo ya kususia biashara yanakujaje hapa.

Hilo unalolitaka haliwezekani. Watz hawako hivyo.

Kwani mmiliki wa timu SI anauza majuisi ya Kila aina, waende nazo uwanjani wawape wachezaji waache kuomba omba Kwa wapinzania wao.
 
Uzi huu umejaa washamba wengi sana.Kitendo cha mchezaji wa timu pinzani kunywa maji ama juice ya timu nyingine ni cha kawaida sana.

Tatizo hapa kumwandama Chama kuwa alikosea ni kwa sababu ya ushamba na ulimbukeni wa kuja mjini juzi na kujidai mnapenda mpira.Unaweza kushangaa comment za kumnanga Chama zinatolewa na watoto wa kiume kabisa na wengi wana fake life.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Mambo mengine ni ya kutumia akili tu, watu wamekuja na kila kitu chao hawataki ku share unaendaje kuomba maji yao?
 
Akili ndogo wanamkejeli Chama kunyimwa maji/juice na waarabu (Al ahly) baada ya mchezo kusimama.

Hilo tukio lilitokea Chama kuwasogelea waarabu na kutaka kupata walau maji lakini ikawa tofauti kidogo baada ya wachezaji wa Al ahly kugoma kumpa/kumpotezea.

Akili kubwa Kama NALIA NGWENA imenifanya nifikiri kwa undani nakudhani kuwa Chama alitumwa/alikwenda Kama undercover kutest Radha ya kinywaji Kama siyo contained na madawa ya kuongeza nguvu.

Lakini kwa akili ya waarabu nao walilijua Hilo waliamua kumkwepa Chama na kujifanya hawamuoni kabisa Kama ingekua ni maji/kinywaji Cha kawaida wasingeoogopa wangempa bila wasi wasi wowote hivyo ndivyo wanavyofanya katika michezo mingi kwa wachezaji kushea maji ndani ya pichi ni jambo la kawaida tu.

Tukio Kama hili linatoa funzo kubwa sana katika timu zetu za Tanzania haswa Simba na Yanga Sc zinazoshiriki michuano ya kimataifa.

View attachment 2789119
Manara yeye anachukulia kila kitu mzaha tu hlo tukio wangefanya simba media zote zingeponda ila kafanya mwarabu wanachekelea.
 
Akili ndogo wanamkejeli Chama kunyimwa maji/juice na waarabu (Al ahly) baada ya mchezo kusimama.

Hilo tukio lilitokea Chama kuwasogelea waarabu na kutaka kupata walau maji lakini ikawa tofauti kidogo baada ya wachezaji wa Al ahly kugoma kumpa/kumpotezea.

Akili kubwa Kama NALIA NGWENA imenifanya nifikiri kwa undani nakudhani kuwa Chama alitumwa/alikwenda Kama undercover kutest Radha ya kinywaji Kama siyo contained na madawa ya kuongeza nguvu.

Lakini kwa akili ya waarabu nao walilijua Hilo waliamua kumkwepa Chama na kujifanya hawamuoni kabisa Kama ingekua ni maji/kinywaji Cha kawaida wasingeoogopa wangempa bila wasi wasi wowote hivyo ndivyo wanavyofanya katika michezo mingi kwa wachezaji kushea maji ndani ya pichi ni jambo la kawaida tu.

Tukio Kama hili linatoa funzo kubwa sana katika timu zetu za Tanzania haswa Simba na Yanga Sc zinazoshiriki michuano ya kimataifa.

View attachment 2789119
Kibaya zaidi tumepunguza matumizi ya maji ya ziwa Victoria ili Misri ipate maji ya kutosha.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Ndo maana naiombea Israel iendelee kushusha mvua ya missiles pale Gaza. Japo wote ni wabaguzi, ila Miarabu imezidi.
 
Back
Top Bottom