Village-in
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 2,184
- 4,517
Eti yeye ndio anaujua mpira walipanga wote na Chama kufanya ile aibu. Hivi dunia ya sasa ndio ya kulazimisha kuigeuza nyeusi iwe nyeupe?..Vitu vingine acheni tu vipite.....hajazingua ata sema watu kupenda kiki watasema kakosea Fair play ilitakiwa itumike sema hawa waarabu Wana imani zao.....
Ni kweli wangekutulia tu ipite. Kutumia nguvu kuwalazimisha watu waamini ulichoplan ghafla muelekeo uwe,ndio unajiunguza zaidi.
Wana bahati tu mashabiki wa YANGA hawana habari na mambo ya simba. Tofauti na ingekuwa kile kitendo angekifanya mchezaji wa YANGA,wangeleta mpaka vibonzo vya chama akibembeleza juice kwa waarabu