Je Mwanadamu atafufuliwa akiwa na Umri Gani?

Je Mwanadamu atafufuliwa akiwa na Umri Gani?

Kwa maelezo uliyotoa nataka kujua unaamini mungu yupo?? Au dunia imekuwepo tu bila sababu
Ukisema Mungu, kuna watu wanaelewa ni mti, wengine mawe, wengine milima, wengine jua, wengine sayari n.k. Kila mtu ana kitu anacho kimaanisha pindi usemapo Mungu.

Sasa ndo nimekuuliza unaposema Mungu una maanisha nini?
 
Ukisoma ufunuo 20:12 nanukuu.
Nikawaona wafu,wakubwa kwa wadogo,wamesimama mbele ya hicho kiti cha enzi;na vitabu vikafunguliwa;na kitabu kingine kikafunguliwa,ambacho ni cha uzima;na hao wafu wakahukumiwa katika mambo hayo yaliyoandikwa katika vile vitabu,sawasawa na matendo yao.
UMENENA NA UMEJIBU
 
Mkuu hizo issue si za kweli ni mistori ya kutunga tu.

Hivi unajua Yesu ali wahidi wale watu walioishi kipindi chake kuwa angerudi kabla wao hawajafa?.......yaani angerudi kabla ya kufa kwa wale waliokuwa wakimsikiliza.

Mat. 16:27-28, Kwa maana mwana wa Adam atakuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika zake, naye ndipo atakapomlipa kila mtu kadiri ya matendo yake. Nawaambia kweli, baadhi yenu hapa hamtaonja mauti kabla ya kumwona mwana wa Adam akija katika ufalme wake.

Huu utabiri wa Yesu kwenye Mathayo 16:27-28, ulifeli mara baada ya vifo vya waliokuwa wakimsikiliza unless kama kuna watu walioishi nyakati za Yesu ambao watukuwa hai hadi hivi sasa.

Kuna watu walioishi nyakati za Yesu walioamini kuwa angerudi kabla wao hawajafa lakini hadi leo ni miaka 2000 hajarudi.
Ufufuo plus ujio wa pili ni kama hekaya za Abunuasi, endeleeni kusubiri mkiamini atakuja.,.....lakini kaeni mkijua hakuna kitu kama hicho.
Endelea kutoamin hivyo hivyo na kipindi cha Nuhu wakati anatengeneza safina ile,watu walimdhihaki ooh mvua yenyewe Niko wapi baadae cha mtema makuni walikiona...Yesu anarudi ndugu na kwa tayar kumbuka SAA ya wokovu ni sasa
 
Endelea kutoamin hivyo hivyo na kipindi cha Nuhu wakati anatengeneza safina ile,watu walimdhihaki ooh mvua yenyewe Niko wapi baadae cha mtema makuni walikiona...Yesu anarudi ndugu na kwa tayar kumbuka SAA ya wokovu ni sasa
Hivi unaamini kabisa kuwa mafuriko ya Nuhu yalikuwa kweli?
 
Mkuu hizo issue si za kweli ni mistori ya kutunga tu.

Hivi unajua Yesu ali wahidi wale watu walioishi kipindi chake kuwa angerudi kabla wao hawajafa?.......yaani angerudi kabla ya kufa kwa wale waliokuwa wakimsikiliza.

Mat. 16:27-28, Kwa maana mwana wa Adam atakuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika zake, naye ndipo atakapomlipa kila mtu kadiri ya matendo yake. Nawaambia kweli, baadhi yenu hapa hamtaonja mauti kabla ya kumwona mwana wa Adam akija katika ufalme wake.

Huu utabiri wa Yesu kwenye Mathayo 16:27-28, ulifeli mara baada ya vifo vya waliokuwa wakimsikiliza unless kama kuna watu walioishi nyakati za Yesu ambao watukuwa hai hadi hivi sasa.

Kuna watu walioishi nyakati za Yesu walioamini kuwa angerudi kabla wao hawajafa lakini hadi leo ni miaka 2000 hajarudi.
Ufufuo plus ujio wa pili ni kama hekaya za Abunuasi, endeleeni kusubiri mkiamini atakuja.,.....lakini kaeni mkijua hakuna kitu kama hicho.
Hakuwa na maana hiyo.
 
Ndio,na acha kumpinga Yesu na neno lake huwez kulizuia mana ni linakimbia kuliko chochote
Hivi akili zako zinakutosha kweli?
Mimi nimeandika maoni yangu na nikatoa reference, nashangaa unakuja kubwabwaja maneno tu.
 
Hivi akili zako zinakutosha kweli?
Mimi nimeandika maoni yangu na nikatoa reference, nashangaa unakuja kubwabwaja maneno tu.
Naona umepanic ni wazi huna Roho wa Mungu bali Roho mchafu..Roho Mtakatifu akufunulie kwa wakati wake.Pia jua bible haisomwi only one verse tu..bible verses support each other,ka reference kako hako hakajisupot...Roho wa Mungu akukemee
 
Back
Top Bottom