Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 402
Wakuu,
Kumekuwa na ubishani kati ya makundi mawili kuhusu mavazi wanayovaa wanawake. Kundi la kwanza linaunga mkono kwamba wanawake waachwe wavae kadri wanavyojisikia isipokuwa wanaume waache tamaa zao. Kundi la pili linasisitiza juu ya uvaaji wa heshima ili kuzuia tamaa za ngono kwa wanaume.
Kama wengi wetu tunavyofahamu, kuna uvaaji wa wanawake ambao umezidi kliwango kiasi kwamba hata anapopita mitaani, vijana wa kiume hupiga miluzi kuashiria jambo fulani. Swali langu ni je, mwanamke hata akiwa na umbo la kuvutia akivaa kwa heshima na kupita katikati ya vijana anaweza akapigiwa miluzi???
Kumekuwa na ubishani kati ya makundi mawili kuhusu mavazi wanayovaa wanawake. Kundi la kwanza linaunga mkono kwamba wanawake waachwe wavae kadri wanavyojisikia isipokuwa wanaume waache tamaa zao. Kundi la pili linasisitiza juu ya uvaaji wa heshima ili kuzuia tamaa za ngono kwa wanaume.
Kama wengi wetu tunavyofahamu, kuna uvaaji wa wanawake ambao umezidi kliwango kiasi kwamba hata anapopita mitaani, vijana wa kiume hupiga miluzi kuashiria jambo fulani. Swali langu ni je, mwanamke hata akiwa na umbo la kuvutia akivaa kwa heshima na kupita katikati ya vijana anaweza akapigiwa miluzi???