Je, mwanamke anaweza akampa mimba mwanamke mwenzie??

Snipes

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2013
Posts
9,165
Reaction score
16,791
Habari za weekend..

Niende kwenye mada direct, swali langu linaenda moja kwa moja kwa wale wanawake wenye jinsia mbili, wengi wao watu hawa wenye jinsia mbili unawezakuta jinsia moja haifanyikazi au zote zikawa zinafanyakazi kwa pamoja.

Sasa swali liko hapa yule mwanamke ambaye jinsia yake ya kiume ipo active huku ya kike ikiwa haifanyikazi anaweza kurutubisha yai la mwanamke mwenzake??

na je mwanamke huyu mwenye jinsia mbili anaweza akapata mtoto(mimba) ikiwa jinsia ya kike haifanyikazi??

madam naomba uwe wa kwanza hapa kunijibu Sky Eclat

nawasilisha.
 
Nilisimuliwa habari hii nikiwa mdogo. Kuna kijiji kimoja alizaliwa binti akiwa na jinsia mbili. Baba yake alikuwa ni wale waarabu wafanya biashara wa miaka hiyoo mama alikuwa mswahili. Binti yule aliitwa Subira, na alilelewa kama msichana.

Maisha ya kijijini ni ya kwenda kuchota maji mtoni au kisimani. Wasichana jioni walikwenda kuoga pamoja.

Subira alipofikia umri wa balehe alianza kuwabaka wasichana wakiwa wanaoga. Watu walistuka watoto wa machotara wakiongezeka kijijini.

Subira alifariki na aliacha watoto.
 
.

Sasa swali liko hapa yule mwanamke ambaye jinsia yake ya kiume ipo active huku ya kike ikiwa haifanyikazi anaweza kurutubisha yai la mwanamke mwenzake??
Unaposema ipo active una maanisha na sehemu ya kuzalisha mbegu/manii(korodani) ipo? Au unamaanisha kupanda mlima tu?
na je mwanamke huyu mwenye jinsia mbili anaweza akapata mtoto(mimba) ikiwa jinsia ya kike haifanyikazi??
Kama hawezi kuzalisha mayai ya kike basi hawezi kupata mimba
 
Aisee Dunia ina mambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama jinsia ya kiume ipo active means anaweza akampa mwanamke mimba, utambue tu mpenzi wangu kama jinsia ya kike haifanyi kaz atapata vipi mimba sasa??
 
Unaposema ipo active una maanisha na sehemu ya kuzalisha mbegu/manii(korodani) ipo? Au unamaanisha kupanda mlima tu?
Kama hawezi kuzalisha mayai ya kike basi hawezi kupata mimba
Nahisi amemaanisha uactive wa kutoa na sperms na vyote kwa ujumla
 
Inaitwa ambigous sex ila hawa watu wanafanyiwa uchunguzi mkubwa sana ili kubaini ni sehemu ipi ina nguvu na imekamilika zaidi alafu ile ya pili inadhibitiwa
Kwa maana hii hilo jambo ulilisema hapo juu haliwezekani maana ushasema kwamba ya kike haifanyi kazi.
 
sawa mkuu
 
Miaka ya nyuma hapo Dar ilitokea kesi Kati ya familia Mbili.

Kuna mabinti walikuwa wanasoma pamoja na walikuwa ni marafiki kweli kweli.

Ilikuwa ni kawaida kwa binti mmoja kumtembelea mwenzake na kulala pamoja. Wazazi wa yule binti aliyekuwa anatembelewa waliona sawa kwa sababu wote ni mabinti.

Ikaja kugundulika kwamba yule binti aliyekuwa anatembelewa ana ujauzito.

Binti alipobanwa sana, akamtaja binti mwenziwe ndiye kampa mimba. Kesi ikaenda kwa wazazi wa upande wa pili. Wale wazazi wakakiri mwanao ana jinsia mbili lakini Dr. Alisema ya kiume haina nguvu.

Sijui hii kesi iliishia wapi. Ni story ya ukweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona Umemsukuma Kwenye Jinsi ya Kike Moja Kwa Moja na Kwanini Usimwite Mwanamme?

Sasa Kama Ana Jinsi 2 zote Ziko Active Atakuaje Mwanamke bhana?
Na Kama Jinsi Ya Kiume ipo Active lakini Ya Kike Ni inactive atakuwaje Mwanamke Bhana?
Na Kama Zote Jinsi 2 zipo active Atakuwaje Mwanamke bhana?


Huyu sio Mwanamke wala Sio Mwanamme Bali Kwa Lugha Ya Kiarabu anaitwa KHUNTHA, Kwa Lugha ya Kimalkia anaitwa HERMAPHRODITE, Kwa Kiswahili Sijui anaitwaje.

By the way! Jinsi Zote Mbili Haziwezi Kuwa Active Kwa Pamoja!!

• Ikiwa Active ya ME, basi KE haiwezi Kufanya Kazi na Mtu Huyu atakuwa na Sifa Za Kiume na atakuwa na Ability ya Kuerect his Cock na Ataproduce Sperm. Lakini Hatakuwa na Sifa ya Ku-Undergo Ovulation wala Kuingia Katika Menstruation.

• Ikiwa Active ya KE, basi ME haiwezi Fanya Kazi na Mtu huyu Atakuwa na Sifa za KE na Ataingia Katika Menstruation. Na Hatakuwa na Uwezo Wa kuErect her Functionless Cock wala Kuproduce Sperm.

Conclusion:
Mtu Huyu Mwenye Jinsi 2 hawezi Kuproduce Sperm na Kuingia Katika Menstruation Kwa Wakati Mmoja.

Reason:
Wangelikuwa WanaUndergo Ovulation na Kuproduce Sperm Basi Kipindi cha Wet Dream na akawa Yupo Katika Kipindi Cha Zile Siku 13 - 14 za Kudungisha Mimba Basi Kutokana na Maumbile Yake Yalivyokaribu Nadhani Wangilekuwa Wanaongoza Kujibebesha Mimba za Wenyewe Kwa Wenyewe.
 
Hivi haiwezekani mtu akiwa amezaliwa na jinsia mbili akaishi kwanza kama mwanaume na akapata watoto kwa kuingiliana na wanawake halafu akaja akaja akaishi kama mwanamke akapata watoto kwa kuingiliwa na wanaume?
 
Hivi haiwezekani mtu akiwa amezaliwa na jinsia mbili akaishi kwanza kama mwanaume na akapata watoto kwa kuingiliana na wanawake halafu akaja akaja akaishi kama mwanamke akapata watoto kwa kuingiliwa na wanaume?

Mkuu usisikilize Hizo Stori za Paukwa Pakawa!
Mtu anaweza Kuwa Kuwa Na Jinsi Mbili lakini Hakuna Uwezekano Wowote Kuweza Kufanya Kazi Zote Mbili.
Ikifanya Kazi Ya KE basi Ya ME automatically haifanyi Kazi na Mtu Huyu atahesabiwa Kuwa Ni Mwanamke.
Ikifanya Kazi ya ME basi ya KE automatically haifanyi Kazi na Mtu huyo atahesabiwa Ni Mwanamme.

Haitowezekana Kuwa Mtu Mmoja Mwanamke Yeye na Mwanamme Yeye, Yani Anazaa na Anazalisha Kama Earthworms.

Kitu Hicho Kibaiologia (Science) Haiwezekano na Kiimani (Dini) pia Haiwezekani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…