Je, mwanamke anaweza akampa mimba mwanamke mwenzie??

Kauli yako na isiwe ya mwisho katika hili mkuu

Nitaendelea kulifanyia utafiti zaidi kupata ushahidi wa kisayansi na pia wa kidini
 
Hivi haiwezekani mtu akiwa amezaliwa na jinsia mbili akaishi kwanza kama mwanaume na akapata watoto kwa kuingiliana na wanawake halafu akaja akaja akaishi kama mwanamke akapata watoto kwa kuingiliwa na wanaume?
Jinsia moja inakuwa na mhimili uliojikita zaidi ya nyingine
 
bila picha uzi haueleweki vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…