Je mwanamke uko tayari?

ntakupa pipi uthinune bathi...mi apenda dole ako wewe..mh!!!!!!
ujichoooooooooooo....jamani ujiiiicooooooooo....hkyanani hata toto linalolia ukilitazama tu lanyamaza:welcome😛ipi ntakuwa kibogoyo...nimigoma!!
 

Nakubaliana na wewe Rose, ndio maana na mimi nimesema sihitaji mwenye makuu mengi.
 
Nakubaliana na wewe Rose, ndio maana na mimi nimesema sihitaji mwenye makuu mengi.

uko makazini katika pitapita yako hujakutana nao kaka, maana kwa wanaume ni rahisi si kama kwa wadada wao mpaka wafuantwe, humu ni keyboard tu hizi ila kila la kheri
 
Rose, maty,michele, afrodenzi,husninyo nk nadhani bado mko single hamwezi jua kwanini mmejiungaJF huenda Mungu kapanga mtapata wachumba humu humu hivo jaribuni kupanga kukutana na huyu bwana.nawapa mbinu za kukutana. .unaweza kuwasiliana na huyu bwana mkutane pahala fulani grocery,bar au popopte pa wazi,jitambulishe umevaa vazi fulani na umekaa karibia na counter au meza ya mafichoni lakini usiwe umevaa vazi ulomwambia na wala usikae sehemu ulipomwagiza we kaa meza ambayo utamwona kila anaengia hapo bar ,weka simu yako vibration na iweke juu ya meza, na jifanye unasoma gazeti, wkt huyu bwana anakuja lazima atakupigia ajue kama ww ndo anakutafuta we angalia anaengia akizungusha zungusha shingo huku kashika simu atakuwa ndo yeye,kama ukimwona anafanana na Idd amin au pablo escobar basi sepa kimya kimya, kama ukimwona ana mweleko wa kueleweka basi mpungie mkono kiaina akufuate ulipo.hakuna kuogopa dada zangu.
 
Mura, lazima ajue kufuga kuku pia! umesahau mayai ndo zao lenu la biashara?
 

Kutafuta mchumba kwa staili hii kuna haya ya kuangalia :-
1) Utashawishika kumjaribu kila mwanamke atakae jitokeza kama ana sifa unazotaka, kwahiyo unaweza usionekane mwaminifu kwa kila unaempata
2) Ni wazi kwamba huwezi kuanza kumpenda mwanamke papo hapo, badala yake utamchunguza kwanza, kwa hiyo mwanamke anaweza kuhisi kupotezewa muda
 
haha hahah umenichekesha....dah mbona km akiwa kafanana na PABLO ESCOBER itakuwa mzuka sana...
haya bwna mungu labda kapanga tupate wenza jf...basi ntamwambia tumit eneo...ntakupa repot kamil km ni mjukuu wa remy ongala au ana undugu na masud masud...
 

Tulioachika na sie tunaweza kuapply???
 
uko makazini katika pitapita yako hujakutana nao kaka, maana kwa wanaume ni rahisi si kama kwa wadada wao mpaka wafuantwe, humu ni keyboard tu hizi ila kila la kheri


Hujasoma post yangu vizuri, nilisema hapa ni mojawapo ya sehemu nayotumia kutafutia ila siyo sehemu pekee.
 

Duh, ushauri huo kina dada mshindwe wenyewe. Mhhh! lakini mbona bora kutumiana picha ili ukiona huridhiki na mwenzako unamwambia huko huko kuliko kupeana miadi hewa?
 
Duh, ushauri huo kina dada mshindwe wenyewe. Mhhh! lakini mbona bora kutumiana picha ili ukiona huridhiki na mwenzako unamwambia huko huko kuliko kupeana miadi hewa?

kaka m2 anaweza kuku2mia picha ukaiona mbaya ila ukimuona tofauti anavutia na anaweza kuku2mia picha nzuri kumbe do salale ukimuöna ki2ko so usipende kuamini picha nakushauri pendelea kuona m2 live not just a picture kutoka kwa facebook or whatever. Be careful mpenzi ndoa sio mchezo
 

Asante Maty kwa ushauri.
 
Dah nimekosa nafasi naona Rose kaniwahi:Cry::Cry::Cry::Cry::Cry:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…