Je mwanamke uko tayari?

Je mwanamke uko tayari?

mmmhh nilimwambia
tanze mambo hapa kwanza mpaka wageni
waondoke ndo tuingie chumbani
yeye naoana kama vile anaogopa..

mmmhh sasa weye huoni mambo yalivyokuwa magumu hapo
hahah lol

AD hapa watoto wanapita pia achilia mbali wageni ndio maana nimesisitiza twende room.
 
Katika vigezo ongeza aliyeachika na hasa ambao wameshazaa, wanafaa sana hao wakimpata mume wanatulia kwani wameshajifunza makosa ya ndoa.

nitaufanyia kazi ushauri wako.
 
heheeh wewe usiwe na waswas , mimi washkaji wote ambao nimewakalia ulawyer wa kutafta mchumba basi wameondoka na vitu made in brazil. hii ni kes ndogo sana, nitahakikisha jaluo nyeupe anaondoka na half kasti la kitusi within no time. wewe anza kuandaa sredi la michango ya harusi kabisa.

Itabidi ufungue ofisi ili uwe agent wa haya mambo au we unaonaje?
 
ahhh! Huku kuna baridi kipindi hiki kwa hiyo hakuna umuhimu ila nina radio ya picha unaweza kuanza kutuma pm kabisa.

ai,hata kama baridi ile lazima iwepo just fir show off ili ikuongezee credits bana
 
ai,hata kama baridi ile lazima iwepo just fir show off ili ikuongezee credits bana

Hakuna taabu basi nitapitia pale kwa fundi friji nichukue hata mbovu.
fungua macho,utajikuta harusi imekudodea maana pesa yooote imepaaa.. Labda cha kufanya umfunge mnyororo halafu ushikilie nchani full tym
Aisee, ikiwa hivyo waliokuchangia si wanaweza kukutoa uhai? hii mambo ya kuamini watu ngumu sana.
 
usimuharibu mtoto wa watu kwanza huyo ana mwenyewe ... au nikamshtue finest aje hapa??napata uchungu wifi yangu unavyo mshawishi wewe jaluo...:Cry::Cry::Cry:

Hivi hata mkataba wa ndoa ukiisha uwifi unabaki pale pale? Mi vigezo nilivyopewa ni kwenda kupima tu, haya ya kwamba ana mtu ndo napata habari sasa hivi. Inawezekana sio muaminifu eeeh?
 
nani kasema mkataba wa ndoa.... muaminifu 1000% ndio maana akwambia kidudu cha pm hana sijui hana machine kubwa hakioni.... anajilinda tuu na kumcheat finest jaluo amka babu wa watu huyo angaza kwengine.... :coffee::dance::dance:
Hivi hata mkataba wa ndoa ukiisha uwifi unabaki pale pale? Mi vigezo nilivyopewa ni kwenda kupima tu, haya ya kwamba ana mtu ndo napata habari sasa hivi. Inawezekana sio muaminifu eeeh?
 
hakuna taabu basi nitapitia pale kwa fundi friji nichukue hata mbovu.

Aisee, ikiwa hivyo waliokuchangia si wanaweza kukutoa uhai? Hii mambo ya kuamini watu ngumu sana.

gud,sasa hapa naanza kukukonsida kidogooo na umeshasema una vipick up tenaa.
 
Back
Top Bottom