balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Mimi nameongea kisheria wewe unaleta hisia na mambo ya morality? Chaaa!Very old fashioned gentleman. One thing you have to understand is that women have feelings too and relations must be a two way street to enjoy it to the fullest
Kawambie bunge wabadirishe sheria siyo unaleta women have feelings.Mimi nameongea kisheria wewe unaleta hisia na mambo ya morality? Chaaa!
Isitoshe huo upuuzi wao haupo kisheria.Kwetu Afrika ukiolewa unalala bila chupi ukinifanya hutaki kupigwa pumbu unalazimishwa na hakuna kosa la kubaka hapo.Waache kuwa mavuvuzelaHiyo ni according to western matango pori. Mnamezeshwa tuu. We unajua baba yako kambaka mara ngapi mama yako kwenye ndoa miaka yote waliyoishi tena wakakulea na wewe hadi umri huo ulio nao ukawa na akili hiyo ya kujamba jamba tu na bado wapo wote tu? Mbona mama yako hakuwahi kumshitaki baba ako kambaka? Mbona na nyie mmeishi na kukua vizuri tu bila kuathiriwa? Mbona wana heshima mbele ya jamii??
Acheni kumezeshwa upupu na nyor mkawa mavuvuzela tu. Ndo nyie mnaulizwa "Tuambie your best couple unakimbila kutaja ya Jay Z na Beyonce ama Macron na bibi kizee wake ama Kanye na Kim" unasahau kama kuna best couple imekulea miaka zaidi ya 20 na bado inazidi kukulea na haijawahi kutengana regardless challenges nyingi walizokumbana nazo. Hopeless
Nakubaliana na wewe.Mambo ya kujamiiana ndani ya ndoa hayahitaji nguvu nyng, ukiona mwanandoa yyte analalamika kulazimishwa ngono na mme/mke wake basi ujue something is wrong in that marriage.
Hakika Mungwana umenena vyema.Unawashauri upuuzi dada zako. Ukininyima tumbua lako nikamuomba mwingine akanipa utanilaumu kweli?? Msimezeshwe kila kinacholetwa. Huu ndio mwanzo wa migogoro kuongezeka katika ndoa
A man having canal knowledge without the consenof a woman.There has to be penetration of penis into a vagina for the offense of rape to exist.Tungeelewa kwanza nini maana ya neno Kubaka pengine tungeelewa zaidi
Kwanini uolewe wakati hutaki kufanya tendo la ndoa?Ulichoandika ni kweli kabisa.
Wabunge wetu[vyama vyote], hivi sasa tunapigana na gender violence na moja ya udhalilishaji mkubwa kwa wake zetu ni hili la kulazimisha tendo la ndoa hata kama mke hataki. Ukweli uliodhahiri ni kwamba hili kosa moja kubwa ambalo linaonekana kama la kawaida.
Hadi sasa ,Ghana,India,Indonesia,Jordan,Lesotho,Nigeria,Oman,Singapore, Sri lanka na Tanzania ndiyo nchi pekee zilizohalalisha kitendo hiki.
Wabunge kina mama, huu ndiyo wakati wenu wa kulisimamia hili [bila kujali itikadi] hadi hii sheria ya kishenzi iondolewe.
Mke Taanzania habakwi.Hiari yake huitoa Mara tu akikubali kuolewa.In halali kisheria mume kufanya naye tendo bila kumuomba.African jurisprudence iko hivyo.Mambo ya mume kumbaka mkewe yako Ulaya.Unazungumziaje ubakaji ndani ya ndoa? Je mwanandoa anaweza kumbaka mwandani wake??
Kulingana na ibara 130(2)(a) ya kanuni ya adhabu(penal code as amended by SOSPA) Ubakaji ndani ya ndoa hautambiliki isipokuwa tu pale wanandoa wanapotengana (during period of legal separation) kwa misingi mme aweza kumbaka mke wake na haitakuwa kosa mbele ya sheria.
Unalichukuliaje swala hili? Mabadiliko yapi yafanyike ili kulinda wanawake walioolewa?
Kubaka ni kitendo cha mwanaume kumlala MTU make bila ridhaa yake.Africa ridhaa huangaliwa Siku ndoa ,Je MTU mke aliridhia kuwa mke wa huyo MTU mume? Kama jibu ni ndiyo basi mume hawezi kubaka maana mke alisharidhia siku ya ndoa.Unazungumziaje ubakaji ndani ya ndoa? Je mwanandoa anaweza kumbaka mwandani wake??
Kulingana na ibara 130(2)(a) ya kanuni ya adhabu(penal code as amended by SOSPA) Ubakaji ndani ya ndoa hautambiliki isipokuwa tu pale wanandoa wanapotengana (during period of legal separation) kwa misingi mme aweza kumbaka mke wake na haitakuwa kosa mbele ya sheria.
Unalichukuliaje swala hili? Mabadiliko yapi yafanyike ili kulinda wanawake walioolewa?
Acha kuwalisha tango pori.Kwanini uolewe kama hutaka kutoo....b....wa?Ulichoandika ni kweli kabisa.
Wabunge wetu[vyama vyote], hivi sasa tunapigana na gender violence na moja ya udhalilishaji mkubwa kwa wake zetu ni hili la kulazimisha tendo la ndoa hata kama mke hataki. Ukweli uliodhahiri ni kwamba hili kosa moja kubwa ambalo linaonekana kama la kawaida.
Hadi sasa ,Ghana,India,Indonesia,Jordan,Lesotho,Nigeria,Oman,Singapore, Sri lanka na Tanzania ndiyo nchi pekee zilizohalalisha kitendo hiki.
Wabunge kina mama, huu ndiyo wakati wenu wa kulisimamia hili [bila kujali itikadi] hadi hii sheria ya kishenzi iondolewe.
Mwanaume pekee ndo hubaka.Mwanaume anabaka habakwi.Kwa Mimi mpaka leo naona ni ngumu ku-prove marital rape hata kama sheria inaitambua.utajuaje kama kweli mke amebakwa na mumewe au mke amembaka mumewe kama wakati wanafanya hivo walikuwa wawili tu? Je mhusika akikataa akasema sikubaka utakuwa na ushahidi?
Hata wakati wa separation na divorce inategemea.Haiwezi kuwa ubakaji ikiwa tumefanyia katika mazingira yanayoakis kuwa tumekubaliana .Pia mila na desturi lazma ziangaliwe refer:R v.Mpagema Chalo.Mkuu,by necessary implication,ukiamua kuolewa umetoa general -consent ya kugegedwa. Sasa issue inakuja from general rule kuna exceptions kama vile mkiwa kwenye separation, au ndoa yenu imekua declared irreparable broken down na mahakama. Ila ukiwa ndani ya ndoa, toa tu ushirikiano mama hakuna namna.
Acha character assassination.Hajabaka kala ilio halali kwake.RAPIST
Blind imitator,if women are to stick to their feelings let them stay with their parents.Pessimistic.Very old fashioned gentleman. One thing you have to understand is that women have feelings too and relations must be a two way street to enjoy it to the fullest
Siyo matango pori soma sheria vzr shida women are very quite hawataki kusema wala kushitaki make wanawaonea huruma lkn so matango poriHiyo ni according to western matango pori. Mnamezeshwa tuu. We unajua baba yako kambaka mara ngapi mama yako kwenye ndoa miaka yote waliyoishi tena wakakulea na wewe hadi umri huo ulio nao ukawa na akili hiyo ya kujamba jamba tu na bado wapo wote tu? Mbona mama yako hakuwahi kumshitaki baba ako kambaka? Mbona na nyie mmeishi na kukua vizuri tu bila kuathiriwa? Mbona wana heshima mbele ya jamii??
Acheni kumezeshwa upupu na nyor mkawa mavuvuzela tu. Ndo nyie mnaulizwa "Tuambie your best couple unakimbila kutaja ya Jay Z na Beyonce ama Macron na bibi kizee wake ama Kanye na Kim" unasahau kama kuna best couple imekulea miaka zaidi ya 20 na bado inazidi kukulea na haijawahi kutengana regardless challenges nyingi walizokumbana nazo. Hopeless