Je, mwanaume anaweza kumbaka mke wake wa ndoa?

Je, mwanaume anaweza kumbaka mke wake wa ndoa?

Asante ila naomba nikujulishe kuwa kuna vipimo vya kubaini kama kuna penetration. Vilevile penetration is not the only element or evidence of rape kuna circumstantial evidence kuna collaborative evidence na kuna the issue of consent...nnacho taka kusema nikuwa marital rape ipo, inatokea na kuna uwezo wakulibaini kisheria tatizo linakuja pale sheria yenyewe haitambui kabisa jambo hili. Tatizo lingine ni mawazo ya jamii kuwa mwanaume anayo haki juu ya mke wake bila kujali her consent.
Wanasheria na wabunge wakikaa pamoja na wananchi inawezekana kabisa kutengeneza parameters zitakazo ongelea marital rape kwa ufanisi ili sheria iweze kuchukua mkondo wake!
Ahsante kwa ufafanuzi na maelezo mazuri..hapo kwenye evidence nakubaliana na wewe kwamba siyo penetration peke yake can amount to rape...ila wale wanaosema eti usioge for the purpose of evidence , Je si wanaweza Pima hata mtu akishaoga? Au hakuna kipimo cha semen kuingia kama ambavyo kuna kipimo cha penetration?

Kwenye issue ya sheria kuitambua ni suala la jamii kushirikiana na law makers na mahakama maana kuna dhana ya nina mamlaka juu ya mke wangu na pia wanawake ni kama wamelikubali bila kutambua Kuwa wana haki ya kuhoji...ila issue inakuwa ngumu pale sheria hailitambui. But kama litakuwa linatambulika kisheria basi na jamii ijue kwamba ni crime kama crimes nyingine...in short we need to educate the society first ili zile dhana za Nina mamlaka juu ya mke wangu na wanawake kulichukulia LA kawaida ziondoke kwanza.
 
Mambo ya kujamiiana ndani ya ndoa hayahitaji nguvu nyng, ukiona mwanandoa yyte analalamika kulazimishwa ngono na mme/mke wake basi ujue something is wrong in that marriage.
 
Nikitaka tendo mke akikataa nikimwambia
Nitamnunulia Dela akakubali itahesabika nimembaka kwa ushawishi?
 
Ulichoandika ni kweli kabisa.
Wabunge wetu[vyama vyote], hivi sasa tunapigana na gender violence na moja ya udhalilishaji mkubwa kwa wake zetu ni hili la kulazimisha tendo la ndoa hata kama mke hataki. Ukweli uliodhahiri ni kwamba hili kosa moja kubwa ambalo linaonekana kama la kawaida.
Hadi sasa ,Ghana,India,Indonesia,Jordan,Lesotho,Nigeria,Oman,Singapore, Sri lanka na Tanzania ndiyo nchi pekee zilizohalalisha kitendo hiki.
Wabunge kina mama, huu ndiyo wakati wenu wa kulisimamia hili [bila kujali itikadi] hadi hii sheria ya kishenzi iondolewe.
Unawashauri upuuzi dada zako. Ukininyima tumbua lako nikamuomba mwingine akanipa utanilaumu kweli?? Msimezeshwe kila kinacholetwa. Huu ndio mwanzo wa migogoro kuongezeka katika ndoa
 
Ulichoandika ni kweli kabisa.
Wabunge wetu[vyama vyote], hivi sasa tunapigana na gender violence na moja ya udhalilishaji mkubwa kwa wake zetu ni hili la kulazimisha tendo la ndoa hata kama mke hataki. Ukweli uliodhahiri ni kwamba hili kosa moja kubwa ambalo linaonekana kama la kawaida.
Hadi sasa ,Ghana,India,Indonesia,Jordan,Lesotho,Nigeria,Oman,Singapore, Sri lanka na Tanzania ndiyo nchi pekee zilizohalalisha kitendo hiki.
Wabunge kina mama, huu ndiyo wakati wenu wa kulisimamia hili [bila kujali itikadi] hadi hii sheria ya kishenzi iondolewe.
Mimi sielewi mume anawezaje kumbaka mkewe !!, msipende kuwa mnaiga mambo eti kwa sababu wengine wamefanya, mambo ya ndani ya nyumba hasahasa bedroom waachiwe mke na mme, kwanza ni aibu kuanza eti kusikiliza kesi ya mtu amembaka mkewe, hivi kuna mtu anaweza kujua kila kinachofanyika ndani ya chumba cha kulala cha mtu ?, Jibu ni hakuna isipokuwa wenye chumba hicho, ndio maana wanawake huulizwa kwanza kama wamekubali kuolewa kabla Mchungaji hajawafungisha ndoa, na huwa wanshauriwa kutunza siri za ndani, kuna mambo mengi sana ya kufanya ambayo hao wabunge wanatakiwa kuanza nayo
 
Mkuu,by necessary implication,ukiamua kuolewa umetoa general -consent ya kugegedwa. Sasa issue inakuja from general rule kuna exceptions kama vile mkiwa kwenye separation, au ndoa yenu imekua declared irreparable broken down na mahakama. Ila ukiwa ndani ya ndoa, toa tu ushirikiano mama hakuna namna.
 
Nashukuru kwa mchango wako, ila inatupasa kutatua matatizo kwa ustaarabu na hekima hasa hasa inapogusa haki za mwanadamu. Nakusihi kuto toa vipigo wala kuchukua sheria mkononi bali kuanzisha maongezi na kuchukua hatua yakinifu kutatua matatizo ni hapo tuu tutapata maendeleo. Asante.
Unawashauri upuuzi dada zako. Ukininyima tumbua lako nikamuomba mwingine akanipa utanilaumu kweli?? Msimezeshwe kila kinacholetwa. Huu ndio mwanzo wa migogoro kuongezeka katika ndoa
Mimi naomba wanawake wachangie kwa uwazi mada hii, maana tunaweza kuwa tunabishana sisi wanaume kumbe walengwa wala hawana hata habari, wadada fungukeni tusikie toka kweni tuupate ukweli
 
Hata me hii issue japo ipo naona ni complicated aisee..to prove it is hard
Mimi sielewi mume anawezaje kumbaka mkewe !!, msipende kuwa mnaiga mambo eti kwa sababu wengine wamefanya, mambo ya ndani ya nyumba hasahasa bedroom waachiwe mke na mme, kwanza ni aibu kuanza eti kusikiliza kesi ya mtu amembaka mkewe, hivi kuna mtu anaweza kujua kila kinachofanyika ndani ya chumba cha kulala cha mtu ?, Jibu ni hakuna isipokuwa wenye chumba hicho, ndio maana wanawake huulizwa kwanza kama wamekubali kuolewa kabla Mchungaji hajawafungisha ndoa, na huwa wanshauriwa kutunza siri za ndani, kuna mambo mengi sana ya kufanya ambayo hao wabunge wanatakiwa kuanza nayo
 
Mimi sielewi mume anawezaje kumbaka mkewe !!, msipende kuwa mnaiga mambo eti kwa sababu wengine wamefanya, mambo ya ndani ya nyumba hasahasa bedroom waachiwe mke na mme, kwanza ni aibu kuanza eti kusikiliza kesi ya mtu amembaka mkewe, hivi kuna mtu anaweza kujua kila kinachofanyika ndani ya chumba cha kulala cha mtu ?, Jibu ni hakuna isipokuwa wenye chumba hicho, ndio maana wanawake huulizwa kwanza kama wamekubali kuolewa kabla Mchungaji hajawafungisha ndoa, na huwa wanshauriwa kutunza siri za ndani, kuna mambo mengi sana ya kufanya ambayo hao wabunge wanatakiwa kuanza nayo
Unafahamu kuwa sisi wanaume tunajifanya tunaelewa kila kitu na hilo ndiyo tatizo kubwa kwenye mahusiano.

Tunadhani tunawaelewa wenzetu lakini mara nyingi hatuelewi na hatuheshimu hisia zao hadi mambo yanapoharibika ndiyo pale tunapotanabahi lakini tunakuwa tumechelewa.

Wengi hufanya hicho kitendo na hasa pale unapokuwa umepiga mvinyo unaona ni haki yako kupata bila kujali hali na utashi wa mwenzako.
 
Unafahamu kuwa sisi wanaume tunajifanya tunaelewa kila kitu na hilo ndiyo tatizo kubwa kwenye mahusiano.
tunadhani tunawaelewa wenzetu lakini mara nyingi hatuelewi na hatuheshimu hisia zao hadi mambo yanapoharibika ndiyo pale tunapotanabahi lakini tunakuwa tumechelewa.
Wengi hufanya hicho kitendo na hasa pale unapokuwa umepiga mvinyo unaona ni haki yako kupata bila kujali hali na utashi wa mwenzako.
Abunwasi, Usilete hadithi za kwamba sisi wanaume tunajifanya tunaelewa kila kitu, Mimi niliwahi kumuuliza mama mmoja mtu mzima sana kuhusu tabia za mke wangu za kujifanya hana hisia kila mara, Yule mama akaniambia wewe muolee mke mwingine ndio atatia akili, Tafiti zinaonesha Ndoa za waislam (ambazo huwa ni mke zaidi ya mmoja) huwa zina amani na zina dumu mda mrefu, kwa sababu mwanamke wa kiislam aliyeolewa anajuwa fika kwamba akimwambia mmewe Sijisikii mwanaume ataenda kwa mke mwingine, na huwa wanajitahidi kujiweka vizuri muda wote (Usafi na Utanashati) ili kumvutia mme tofauti na ndoa za kikristo ambazo wanawake huwa wanajua yuko peke yake kwa hiyo anaweza kutumia hayo maneno yako kwamba sijisikii akijua kwamba ni yeye tu unamtegemea, na wengi wanaishi kwenye ndoa wakiwa na mitafuruku ya kila siku, na ndio hupelekea sisi kutumia nguvu kwa sababu ukisubiri mpaka siku ajisikie, wengi wanaweza kumaliza hata miezi wakiwa hawajisikii, kama ilivyotokea kwangu usiku wa kuamkia leo, hamna jinsi inabidi kufosi tu
 
Abunwasi, Usilete hadithi za kwamba sisi wanaume tunajifanya tunaelewa kila kitu, Mimi niliwahi kumuuliza mama mmoja mtu mzima sana kuhusu tabia za mke wangu za kujifanya hana hisia kila mara, Yule mama akaniambia wewe muolee mke mwingine ndio atatia akili, Tafiti zinaonesha Ndoa za waislam (ambazo huwa ni mke zaidi ya mmoja) huwa zina amani na zina dumu mda mrefu, kwa sababu mwanamke wa kiislam aliyeolewa anajuwa fika kwamba akimwambia mmewe Sijisikii mwanaume ataenda kwa mke mwingine, na huwa wanajitahidi kujiweka vizuri muda wote (Usafi na Utanashati) ili kumvutia mme tofauti na ndoa za kikristo ambazo wanawake huwa wanajua yuko peke yake kwa hiyo anaweza kutumia hayo maneno yako kwamba sijisikii akijua kwamba ni yeye tu unamtegemea, na wengi wanaishi kwenye ndoa wakiwa na mitafuruku ya kila siku, na ndio hupelekea sisi kutumia nguvu kwa sababu ukisubiri mpaka siku ajisikie, wengi wanaweza kumaliza hata miezi wakiwa hawajisikii, kama ilivyotokea kwangu usiku wa kuamkia leo, hamna jinsi inabidi kufosi tu
RAPIST
 
Kwa Mimi mpaka leo naona ni ngumu ku-prove marital rape hata kama sheria inaitambua.utajuaje kama kweli mke amebakwa na mumewe au mke amembaka mumewe kama wakati wanafanya hivo walikuwa wawili tu? Je mhusika akikataa akasema sikubaka utakuwa na ushahidi?
Kimsingi maswali hayo yote yana majibu endapo sheria itaweka wazi, zipo baadhi ya common law jurisdictions ambazo sheria zao zinatambua 'marital rape' sasa twaweza azima uzoefu wa huko tuone wanafanyaje ktk masuala ya triability of cases, investigation nk.

Kwakuwa kuna 'Lacuna' kwenye sheria zetu maswali hayo logically yanaonekana magumu ila legally ni rahisi endapo sheria ikiwepo inayojitosheleza.
 
Ulichoandika ni kweli kabisa.
Wabunge wetu[vyama vyote], hivi sasa tunapigana na gender violence na moja ya udhalilishaji mkubwa kwa wake zetu ni hili la kulazimisha tendo la ndoa hata kama mke hataki. Ukweli uliodhahiri ni kwamba hili kosa moja kubwa ambalo linaonekana kama la kawaida.
Hadi sasa ,Ghana,India,Indonesia,Jordan,Lesotho,Nigeria,Oman,Singapore, Sri lanka na Tanzania ndiyo nchi pekee zilizohalalisha kitendo hiki.
Wabunge kina mama, huu ndiyo wakati wenu wa kulisimamia hili [bila kujali itikadi] hadi hii sheria ya kishenzi iondolewe.
African jurisprudence haikubaliani na haya mambo.Kama hutaki kunjunjwa kaa kwenu na wazazi wako.
 
African jurisprudence haikubaliani na haya mambo.Kama hutaki kunjunjwa kaa kwenu na wazazi wako.
Very old fashioned gentleman. One thing you have to understand is that women have feelings too and relations must be a two way street to enjoy it to the fullest
 
Very old fashioned gentleman. One thing you have to understand is that women have feelings too and relations must be a two way street to enjoy it to the fullest
Hiyo ni according to western matango pori. Mnamezeshwa tuu. We unajua baba yako kambaka mara ngapi mama yako kwenye ndoa miaka yote waliyoishi tena wakakulea na wewe hadi umri huo ulio nao ukawa na akili hiyo ya kujamba jamba tu na bado wapo wote tu? Mbona mama yako hakuwahi kumshitaki baba ako kambaka? Mbona na nyie mmeishi na kukua vizuri tu bila kuathiriwa? Mbona wana heshima mbele ya jamii??

Acheni kumezeshwa upupu na nyor mkawa mavuvuzela tu. Ndo nyie mnaulizwa "Tuambie your best couple unakimbila kutaja ya Jay Z na Beyonce ama Macron na bibi kizee wake ama Kanye na Kim" unasahau kama kuna best couple imekulea miaka zaidi ya 20 na bado inazidi kukulea na haijawahi kutengana regardless challenges nyingi walizokumbana nazo. Hopeless
 
Hiyo ni according to western matango pori. Mnamezeshwa tuu. We unajua baba yako kambaka mara ngapi mama yako kwenye ndoa miaka yote waliyoishi tena wakakulea na wewe hadi umri huo ulio nao ukawa na akili hiyo ya kujamba jamba tu na bado wapo wote tu? Mbona mama yako hakuwahi kumshitaki baba ako kambaka? Mbona na nyie mmeishi na kukua vizuri tu bila kuathiriwa? Mbona wana heshima mbele ya jamii??

Acheni kumezeshwa upupu na nyor mkawa mavuvuzela tu. Ndo nyie mnaulizwa "Tuambie your best couple unakimbila kutaja ya Jay Z na Beyonce ama Macron na bibi kizee wake ama Kanye na Kim" unasahau kama kuna best couple imekulea miaka zaidi ya 20 na bado inazidi kukulea na haijawahi kutengana regardless challenges nyingi walizokumbana nazo. Hopeless
Stereotype
 
Back
Top Bottom