Je, mwanaume anaweza kumbaka mke wake wa ndoa?

Je, mwanaume anaweza kumbaka mke wake wa ndoa?

Ni nadra mume hubakwa. Ingawa ni kweli inawezekana. Tendo la ndoa linahusisha nani ana nguvu kati yenu, maana kubakwa kunakuja pale mmoja anapolazimishwa hadi kushiriki tendo kwa nguvu.

Ndani ya ndoa wanawake wengi hupoteza kuwa na hamu ya tendo la ndoa mara kwa mara, hasa baada ya kuzaa (ikichangiwa na pressure za majukumu), na hali wanaume hamu huwa pale pale.

CC: Biashara zote
AshaDii Tafsiri ya kubaka inamuondoa mwanaume kwenye uwezekano wa kubakwa kwamba ili tendo la kubaka ili liwe kubaka ni pale ambapo hiyari ya upande mmoja haipo! Sasa kwa mwanaume ambaye hana hiyari yake uume wake huwa ni vigumu kuamka!

Kwa hiyo basi ikiwa amelazimishwa mpaka kufikia uume kuamka basi kuna dalili za kuridhia hivyo anakuwa hajabakwa ila ameridhia.

Labda kama mbakaji wa kike atatumia toys kubaka mwanaume, tunaweza kuweka kwenye uwezekano huo.
 
We wifi wew, mim sijui hiyo mambo, mim nachagua mtu sahih kwa wakati sahihi, sitaki kubakwa.

Hahahaaaaa mweee kumbe nishakuwa wifi tena, haya wifi wa hiari, sasa mbona unang'ang'ania mie nikabakwe?
 
We bakwa tu wifi, mmeambiwa mvumiliane kwenye shida na raha. Hahahahaha!!

Daaah!! Kweli nimeamini damu nzito kuliko uji, yaani unamtetea ndugu yako tu, wellbeing yangu haikuhusu kabisaaa!! Mie mwanamke mwenzio wifi ujue!
 
Daaah!! Kweli nimeamini damu nzito kuliko uji, yaani unamtetea ndugu yako tu, wellbeing yangu haikuhusu kabisaaa!! Mie mwanamke mwenzio wifi ujue!

Wifi jamani, wanaobakana hawapendani, watu wakipendana kila siku siku,
Wewe sisi tunakupenda nyang'anyang'a .
 
"Kupendana" oooh kumbe unajua lazima iwe two way traffic?

Hivi wifi mbona unamdomo kama chuchunge???

Nakusubiria ukisia mdogo wangu anatoka na karembo fulani, uje na chozi hadi mguuni, nitakubarasa hadi utajuta kuwa wifi. Unanitesea sana mdogo wangu.
 
Hivi wifi mbona unamdomo kama chuchunge???

Nakusubiria ukisia mdogo wangu anatoka na karembo fulani, uje na chozi hadi mguuni, nitakubarasa hadi utajuta kuwa wifi. Unanitesea sana mdogo wangu.

Hahahaaaaa!! Eti mdomo kama chuchunge!! Nilishakuambia siji ng'oooo, nitaugulia mwenyewe kimya kimya.
 
Makubaliano yashafanyika wakati wa ndoa basi kilichobaki ni kutimiza tu mwanzo mwisho labda awe katika siku zake ndo off
 
Hahahaaaaa!! Eti mdomo kama chuchunge!! Nilishakuambia siji ng'oooo, nitaugulia mwenyewe kimya kimya.


Hahahahahaha!!! Wewe ole wake nisikie anapepesa macho kwa akina rubii, nitamsema kama mzaramo, hadi atakufa.
 
Last edited by a moderator:
indelible,

Unapozungumzia suala la kubaka ndani ya ndoa ni hali ile ya nwanaume kumlazimisha mke wake kufanya tendo la ndoa hali mkewe akiwa hayupo tayari au hajaridhia kufanya tendo hilo.

Kuna nadharia imejengwa katika jamii kwamba mke ni mali ya mume, lakini si kweli na si hivyo. Mke ni partner wako ambaye yapaswa mshirikiane kimwili na mengine kwa maridhiano toka pande zote mbili.

Hata hivyo tatizo huja pale ambapo mke hana hamu tena ya tendo la ndoa tokana na sababu mbali mbali kama vile; kuzaa mfurulizo, kuwa na kazi nyingi nyumbani na nje ya hapo nyumbani, kutojipanga vema katika shughuli zake hivyo kushindwa ku balance nafasi ya tendo la ndoa ndani ya ndoa, na mengine mengi.

Ninaamini waume wengi hawapendi wabake mke wake, walau basi amtekenye na walau kumgusa katika sehemu ambazo zitaamsha hisia kwa mke wake ili akubaliwe lile tendo. Bahati mbaya kuna wakati mke inafika hata haguswe vipi, akili yake kama haijakaa sawa psychologically ni ngumu kumpeleka mawazo yake huko. Tokana na kwamba wanaume uvumilivu ni mgumu kuliko mwanamke, inafanya wakati mwingine mume abake mke wake.

Katika hali hii inapotokea zaidi ya mara moja au mara kwa mara, ni vema sana wanandoa hao wakae na wazungumzie tendo la ndo na nafasi yake ili kuweza kujenga na kuimarisha ndoa hiyo.

Hayo ni mawazo yangu juu ya hili.

Pamoja Saana!

AshaDii;
Wewe una muda gani katika ndoa? Inaonesha weye upo kwenye nadharia zaidi kuliko matendo. Kusema ukweli, kama ndoa yenu ni Sound, yaani haina mafigisufigisu yoyote. Mnapendana, hakuna kubakana.

Wengi hawavai nguo ya ndani. Mzee akimgusa tu huacha hata kupika akaenda chumbani akampa ndio arudi tena kuongeza moto sufuria isiungue. Upo hapo.

Ubakaji hutokea, pale mwenzi ke anapokuwa amepoteza mapenzi. Mke atasemaje ati hana hamu? Unataka me aende wapi? Unataka akajichue tena ka vijana wadogo? Upo pale ili kujaza choo au?

Kuna mama mmoja ameleta thread hapa kuwa pamoja na kipondo cha kila siku, alipokimbilia kwao ameenda kukuta ni mja mzito. Can you believe that? Namsifu sana huyu mama, alimpenda mwenzake kwa moyo wake wote.

Hata akikupiga, kama akiweka mkono juu ya pichu yako tayari unasahau kipigo unatamani umsikie ndani yako tu. Hakuna ubakaji ndani ya ndoa
 
Back
Top Bottom