Je, mwanaume anaweza kumbaka mke wake wa ndoa?

Je, mwanaume anaweza kumbaka mke wake wa ndoa?

indelible,

Unapozungumzia suala la kubaka ndani ya ndoa ni hali ile ya mwanaume kumlazimisha mke wake kufanya tendo la ndoa hali mkewe akiwa hayupo tayari au hajaridhia kufanya tendo hilo.

Kuna nadharia imejengwa katika jamii kwamba mke ni mali ya mume, lakini si kweli na si hivyo. Mke ni partner wako ambaye yapaswa mshirikiane kimwili na mengine kwa maridhiano toka pande zote mbili.

Hata hivyo tatizo huja pale ambapo mke hana hamu tena ya tendo la ndoa tokana na sababu mbali mbali kama vile; kuzaa mfurulizo, kuwa na kazi nyingi nyumbani na nje ya hapo nyumbani, kutojipanga vema katika shughuli zake hivyo kushindwa ku balance nafasi ya tendo la ndoa ndani ya ndoa, na mengine mengi.

Ninaamini waume wengi hawapendi wabake mke wake, walau basi amtekenye na walau kumgusa katika sehemu ambazo zitaamsha hisia kwa mke wake ili akubaliwe lile tendo. Bahati mbaya kuna wakati mke inafika hata haguswe vipi, akili yake kama haijakaa sawa psychologically ni ngumu kumpeleka mawazo yake huko. Tokana na kwamba wanaume uvumilivu ni mgumu kuliko mwanamke, inafanya wakati mwingine mume abake mke wake.

Katika hali hii inapotokea zaidi ya mara moja au mara kwa mara, ni vema sana wanandoa hao wakae na wazungumzie tendo la ndoa na nafasi yake ili kuweza kujenga na kuimarisha ndoa hiyo.

Hayo ni mawazo yangu juu ya hili.

Pamoja Saana!
 
Wewe bado mdogo mtoa mada ukikua utajua ni namna gani tunabakwa!
na kesi zipo lakini huwa sio za wazi so sio rahis kwa watu wengine kushuhudia
 
indelible,

Unapozungumzia suala la kubaka ndani ya ndoa ni hali ile ya nwanaume kumlazimisha mke wake kufanya tendo la ndoa hali mkewe akiwa hayupo tayari au hajaridhia kufanya tendo hilo.

Kuna nadharia imejengwa katika jamii kwamba mke ni mali ya mume, lakini si kweli na si hivyo. Mke ni partner wako ambaye yapaswa mshirikiane kimwili na mengine kwa maridhiano toka pande zote mbili.

Hata hivyo tatizo huja pale ambapo mke hana hamu tena ya tendo la ndoa tokana na sababu mbali mbali kama vile; kuzaa mfurulizo, kuwa na kazi nyingi nyumbani na nje ya hapo nyumbani, kutojipanga vema katika shughuli zake hivyo kushindwa ku balance nafasi ya tendo la ndoa ndani ya ndoa, na mengine mengi.

Ninaamini waume wengi hawapendi wabake mke wake, walau basi amtekenye na walau kumgusa katika sehemu ambazo zitaamsha hisia kwa mke wake ili akubaliwe lile tendo. Bahati mbaya kuna wakati mke inafika hata haguswe vipi, akili yake kama haijakaa sawa psychologically ni ngumu kumpeleka mawazo yake huko. Tokana na kwamba wanaume uvumilivu ni mgumu kuliko mwanamke, inafanya wakati mwingine mume abake mke wake.

Katika hali hii inapotokea zaidi ya mara moja au mara kwa mara, ni vema sana wanandoa hao wakae na wazungumzie tendo la ndo na nafasi yake ili kuweza kujenga na kuimarisha ndoa hiyo.

Hayo ni mawazo yangu juu ya hili.

Pamoja Saana!

Vipi kuhusu mwanamke kumlazimisha mumewe kufanya tendo hilo wakati mume hayuko tayari naona umesemea upande mmoja
 
Ikifika hapo tu ndo huwa naona raha ya ndoa... zunguka kote ila jioni lazima utakileta!!!

Na wewe si utapeleka bila kujali umezungukia wapi? Au haujui kwamba na wewe unaweza kubakwa? Namaanisha umechoka na haujisikii ila mwenzio anataka.
 
Na wewe si utapeleka bila kujali umezungukia wapi? Au haujui kwamba na wewe unaweza kubakwa? Namaanisha umechoka na haujisikii ila mwenzio anataka.

Mmh mimi mpaka kujiskia nimechoka.. labda niwe nimelazwa TMJ!!! ntapiga ata kamoja tu kumsumbua so kunbaka hawezi
 
Sisi wanaume nani anatulainisha au tuko walaini automatically!
 
Uwepo wako kwenye nyumba ya mwanaume maana yake wewe mkewe, sasa mtu anabakwa vipi ndani ya majukumu yake? Kweli waje watueleze, maana huu ni mzaha na mahari zetu

Hiyo mahari inaweza kulipa gharama yoooote ya mkeo tangu alivyozaliwa mpaka ulipokuta nae
Mahari mnazotoa isiwe kigezo cha kunyanyasa mtu kwa kubaka
 
indelible,

Unapozungumzia suala la kubaka ndani ya ndoa ni hali ile ya nwanaume kumlazimisha mke wake kufanya tendo la ndoa hali mkewe akiwa hayupo tayari au hajaridhia kufanya tendo hilo.

Kuna nadharia imejengwa katika jamii kwamba mke ni mali ya mume, lakini si kweli na si hivyo. Mke ni partner wako ambaye yapaswa mshirikiane kimwili na mengine kwa maridhiano toka pande zote mbili.

Hata hivyo tatizo huja pale ambapo mke hana hamu tena ya tendo la ndoa tokana na sababu mbali mbali kama vile; kuzaa mfurulizo, kuwa na kazi nyingi nyumbani na nje ya hapo nyumbani, kutojipanga vema katika shughuli zake hivyo kushindwa ku balance nafasi ya tendo la ndoa ndani ya ndoa, na mengine mengi.

Ninaamini waume wengi hawapendi wabake mke wake, walau basi amtekenye na walau kumgusa katika sehemu ambazo zitaamsha hisia kwa mke wake ili akubaliwe lile tendo. Bahati mbaya kuna wakati mke inafika hata haguswe vipi, akili yake kama haijakaa sawa psychologically ni ngumu kumpeleka mawazo yake huko. Tokana na kwamba wanaume uvumilivu ni mgumu kuliko mwanamke, inafanya wakati mwingine mume abake mke wake.

Katika hali hii inapotokea zaidi ya mara moja au mara kwa mara, ni vema sana wanandoa hao wakae na wazungumzie tendo la ndo na nafasi yake ili kuweza kujenga na kuimarisha ndoa hiyo.

Hayo ni mawazo yangu juu ya hili.

Pamoja Saana!

Wanaobakwa Ni wanawake tu wanaumwe hawabakwi?

Uzungu unakolea bongo hizi kesi za kubakana ndani ya ndoa zimezoeleka mbele tu saa hizi zimeanza kuja na bongo
 
indelible,

Unapozungumzia suala la kubaka ndani ya ndoa ni hali ile ya nwanaume kumlazimisha mke wake kufanya tendo la ndoa hali mkewe akiwa hayupo tayari au hajaridhia kufanya tendo hilo.

Kuna nadharia imejengwa katika jamii kwamba mke ni mali ya mume, lakini si kweli na si hivyo. Mke ni partner wako ambaye yapaswa mshirikiane kimwili na mengine kwa maridhiano toka pande zote mbili.

Hata hivyo tatizo huja pale ambapo mke hana hamu tena ya tendo la ndoa tokana na sababu mbali mbali kama vile; kuzaa mfurulizo, kuwa na kazi nyingi nyumbani na nje ya hapo nyumbani, kutojipanga vema katika shughuli zake hivyo kushindwa ku balance nafasi ya tendo la ndoa ndani ya ndoa, na mengine mengi.

Ninaamini waume wengi hawapendi wabake mke wake, walau basi amtekenye na walau kumgusa katika sehemu ambazo zitaamsha hisia kwa mke wake ili akubaliwe lile tendo. Bahati mbaya kuna wakati mke inafika hata haguswe vipi, akili yake kama haijakaa sawa psychologically ni ngumu kumpeleka mawazo yake huko. Tokana na kwamba wanaume uvumilivu ni mgumu kuliko mwanamke, inafanya wakati mwingine mume abake mke wake.

Katika hali hii inapotokea zaidi ya mara moja au mara kwa mara, ni vema sana wanandoa hao wakae na wazungumzie tendo la ndo na nafasi yake ili kuweza kujenga na kuimarisha ndoa hiyo.

Hayo ni mawazo yangu juu ya hili.

Pamoja Saana!
AshaDii umesema vema sana mkuu, ila naona kama umeegemea upande mmoja. Ila nashukuru kwa hitimisho.
 
Last edited by a moderator:
Somo zuri hili,Kubakwa kumekuja kwenye hizi zama lkn enzi zile hili alipo,Mke au Mume>Mnashutakina mmoja kambaka mwenzie na asilimia kubwa mke ndie mlalamikaji,

Hapo napata picha katoka ku duuh kwengine na kitumbua kipo legelege anataka kipunzike {Hamu ana kwa siku hiyo},
 
Ni nadra mume hubakwa. Ingawa ni kweli inawezekana. Tendo la ndoa linahusisha nani ana nguvu kati yenu, maana kubakwa kunakuja pale mmoja anapolazimishwa hadi kushiriki tendo kwa nguvu.

Ndani ya ndoa wanawake wengi hupoteza kuwa na hamu ya tendo la ndoa mara kwa mara, hasa baada ya kuzaa (ikichangiwa na pressure za majukumu), na hali wanaume hamu huwa pale pale.

CC: Biashara zote

Wanaobakwa Ni wanawake tu wanaumwe hawabakwi?

Uzungu unakolea bongo hizi kesi za kubakana ndani ya ndoa zimezoeleka mbele tu sahizi zimeanza kuja na bongo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom