Kutokana na mazingira ya hapo juu hiyo si kubaka,
Sheria ya makosa ya jinai katika sehemu ya 130 ime elezea kubaka kama kitendo cha mtu kufanya mapenzi na mwanamke bila ridhaa yake
Lakini imeendelea kwa kusema kuwa mazingila hayo hayatokei kwa mume na mke
Hivyo basi mume hawezi kumbaka mkewe.
Sheria pia imeonyesha exception kwamba mume anaweza akachukuliwa amebaka kama kutakua na mgogoro na ikapelekea mke kuondoka kama mume atafanya mapenzi na mke wake kwa kipindi hicho bila ruksa itachukuliwa ame mbaka
Sheria ya makosa ya jinai katika sehemu ya 130 ime elezea kubaka kama kitendo cha mtu kufanya mapenzi na mwanamke bila ridhaa yake
Lakini imeendelea kwa kusema kuwa mazingila hayo hayatokei kwa mume na mke
Hivyo basi mume hawezi kumbaka mkewe.
Sheria pia imeonyesha exception kwamba mume anaweza akachukuliwa amebaka kama kutakua na mgogoro na ikapelekea mke kuondoka kama mume atafanya mapenzi na mke wake kwa kipindi hicho bila ruksa itachukuliwa ame mbaka