Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea yupo wapi na shughuli gani, kuna kazi inakaba ni zaidi ya miezi hiyoWakuu
Mimi si member mpya kama inavyojieleza ni mwenyeji haswa humu ndani.Ningependa kufahamishwa inawezekana mwanaume kukutana na mwenza wake mara tano tu ndani ya miez mitatu ilhali mwalala kitanda kimoja kila siku?au kuko na shida mahali?
Ana kisukari.Wakuu
Mimi si member mpya kama inavyojieleza ni mwenyeji haswa humu ndani.Ningependa kufahamishwa inawezekana mwanaume kukutana na mwenza wake mara tano tu ndani ya miez mitatu ilhali mwalala kitanda kimoja kila siku?au kuko na shida mahali?
Jela wanaruhusu smartphone kuingia hadi jf?We unasema miez mitatu ni hapa nagonga mwaka sijakutana na wife na nipo jera sitoki leo mpaka lissu awe raisi
Kama unasubiri tu kuangushwa muda wote hujiongezi, na mazingira yako hayana mvuto inawezekana kabisa hata mwaka ukapita, lakini ukijua thamani na wajibu wa mwanamke na ukaandaa mazingira yako yakawa "sexy" utapigwa kitu deile tu!Wakuu
Mimi si member mpya kama inavyojieleza ni mwenyeji haswa humu ndani.Ningependa kufahamishwa inawezekana mwanaume kukutana na mwenza wake mara tano tu ndani ya miez mitatu ilhali mwalala kitanda kimoja kila siku?au kuko na shida mahali?
Ukiwa na hela.Jela wanaruhusu smartphone kuingia hadi jf?
Endelea kutoa, punguza kuangalia movie saba,toka nje ukwanywe chai.Ukiwa na hela.
Uchafu ndio shida kubwa! Wanaume wengi wanajuta wakishaoa then limama linajisahau sasa linajua lishamiliki mashine ambayo ni mechanical itafanya kazi tu, vilivyomvutia akakuoa vinapotea anakua wa kawaida hamna ubunifu tena. Na akipata na mtoto/watoto ndio basi tena anasubiri akutengee tu kitandani!Kaa chini na mwenzako huenda kuna shida na inahitaji faraja yako.
Si unajua sisi matajiri tuna jera zetuJela wanaruhusu smartphone kuingia hadi jf?
Tajir hujui tofauti ya jela na jera? Amka kwnywe chaiSi unajua sisi matajiri tuna jera zetu
Wazingatie usafiUchafu ndio shida kubwa! Wanaume wengi wanajuta wakishaoa then limama linajisahau sasa linajua lishamiliki mashine ambayo ni mechanical itafanya kazi tu, vilivyomvutia akakuoa vinapotea anakua wa kawaida hamna ubunifu tena