sweetheart hiyo namba siyo kwa mimi..
umesahau yule rafiki yangu,ambaye anatafuta mchumba???
mimi na wewe ni inseparable.......
Tena huyo amefanya kosa kubwa sana katika maisha yake huyo jamaa anamapenzi ya kweli kabisa na huyo dada anamapenzi ya pesa amekaa naye miaka tisa leo ndo ubahili unamshinda ana lake jambo huyo.
Wanawake tujifunze kujitegemea ana pesa halafu anataka za mwenzie za nini???
amejitahidia sana kuvumilia, 9 yrs! mie ningeshachoka zamani sana
dah kweli?
kwaiyo ulikuwa umpiu ata sh kumi?
na ulkuwa unamuomba yeye daily?
cm mpk akuanze ....?
tupe swaga ulikuwa unafanyaje?
ili tukion skuingne tujue mhh i ni dalili za malaria
Goooooood avatared mom Dena.....ubahili na uchoyo ni tabia ambapo
bila mtu kuwa nazo hatuwezi kujifunza kama kuna watu wachoyo na
wabahili... halafu kikubwa zaidi ''they are theological God's creations'' hapa
nadhani ''religious philosophers'' watanielewa zaidi......
'labda unaweza kumwona mtu mchoyo na bahili ni kwasabau hata wewe
ni mroho hivyo labda wewe ndiyo kero zaidi.''
Huyu jamaa anafaa sana maana nahisi uchoyo wake uko ktk damu.
Na kwa uchoyo wake huyu hawezi hata kumgawia penzi mwanamke wa nje maana jamaa ni mchoyo kikweli.
naona huyo dada amebahatika amng'ang'anie huyuhuyu.
Unajua wanaume vimwaga hachelei kugawia na wengine wa nje.
Nakushauri endelea naye na uchoyo wake ni faida kwako na mshukuru Mungu wapo wachache sana wa aina hii
JIBU LAKO NAONA LIMEMKUNA KWELI DENA ,,lol,
HONGERA DENA KWA KUPATA SUPPORT......
njema DENA, habari ? ,nafurahi umepata support japo mwanzo haukupata support hata moja
nilishindwa kutoa salaam ksb sikufahamu kama upo on line muda huu, SAMAHANI KWA HILI.