Maty
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 2,167
- 727
Huyo dena mwacheni jama daktari amesema april 1 ilimuathiri sana na inaweza ikaendelea hivyo mpaka april 1 ya 2012 so msameheni bure tu.MATY, lol, SIYO SIKU TISA NI MIAKA TISA (9).... huyu dena sidhani kama anamaanisha nahisi anatania na haya majibu yake.
Ila huyo dada miaka tisa kha!