Maty
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 2,167
- 727
of course baby kwa mtu mpenzi wako si ndo unawajibika jamani mazima?
mi nimeshangaa tu, miaka 9, wanaenjoy sex and the like, na mdada anataka kumove on, its kind of too late kwa mdada hasa ukizingatia suala la umri, na pili kumpata mpenzi mpya japo sio kazi kubwa lakini kumpata atakayemridhisha 100% kwenye 6x6, na ambaye sio mbahili, anayejua kucare and the like, shughuli iko hapo beib
mzima lakini sweet hebu tutete kidogo kwa PM😛oa:busu
Well said hili nalo limenigusa kweli bana hivi miaka tisa aliweza vumilia inawezekana jamaa yuko vizuri 6x6 sasa akipata mwingine anamacare ya vizawadi halafu pale 8x8 mtalimbo umelala doro ataanza kulalamika pia, kama vipi aolewe tu mengine atajuaga huko huko bana. Maana binadamu tuko tofauti jamani mungu tu atusaidie, ukibahatika kupata anaekidhi vigezo angalau 50% ya utakavyo ni jambo la kumshukuru mungu.
Kwani mwingine anaweza kuwa mbahili kunako anakuridhisha, mwingine anakupenda mpaka kukulamba na mahitaji yote anatoa lakini kunako hamna kitu, zote ngumu kumesa asee ka vipi ajitose tu