Je, mwanzo wa Ruto kutawala peke yake ndiyo umemalizika tutegemee serikali ya mseto?

Je, mwanzo wa Ruto kutawala peke yake ndiyo umemalizika tutegemee serikali ya mseto?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
1690333243297.png
Japo mambo ya Ngoswe tulipaswa kumwachia Ngoswe, rais Samia S Hassan hivi karibuni alisikika akijisifu kuwa Kenya inapoteza wawekezaji kwa Tanzania.

Sijui alipitiwa, alishauriwa vibaya au hajui diplomasia na biashara. Waingereza wanasema when you see your enemy making mistakes never interfere.

Hivi karibuni William Ruto rais aliyepitishwa na mahakama kuu ya Kenya na tume tata ya uchaguzi wa Kenya aliandika kwenye ukurusa wake wa Twitter akimuomba mpinzani wake mkuu na mwalimu wake wa siasa Raila Odinga akitaka amwambie ni lini na wapi wakutane ili kuikoa Kenya.

Je, huu ndiyo mwanzo wa mwisho wa utawala wa kipekee wa Ruto na wenzake? Je tutegemee surprise nyingine this time around? Who will laugh last? Who will bite the bullet? Who will outsmart another?
 
Back
Top Bottom