Je, mwenye dread anaruhusiwa kufunga Ramadhani?

Je, mwenye dread anaruhusiwa kufunga Ramadhani?

Joined
Nov 22, 2020
Posts
25
Reaction score
6
Wakuu habari zenu poleni na kazi mimi ni kijana wa Kiislam ila nimefuga nywele maana yake na dread kichwani sasa kwa wale ambao wanajua je wenye dread wanaruhusiwa kufunga?

Naombeni mnijuze nimeuliza watu kadhaa wameniambia haifai yaani nikifunga na hizi nywele kichwani nitakuwa nakaa na njaa tu, bado sijaridhika na majibu yao ndio maana nimeleta hapa

Naombeni mnifafanulie
 
wakuu habari zenu poleni na kazi mm ni kijana wa kiislam ila nimefuga nywele maan yake na dread kichwani sas kwa wale ambao wanajuwa je wenye dread wanaruhusiwa kufunga naombeni mnijuze nimeuliza watu kadhaa wameniambia haifai yaan nikifunga na hiz nywele kichwani ntakuwa nakaa na njaa 2 bad sijaridhika na majibu yao ndo maana nimeleta hap naombeni mnifafanulie


Na mtu aliyenyoa upara (tako) naye asifunge??, hii maana yake ni kwamba nywele hazihusiani na funga.

-----hata hivyo kama unaona hizo dreads zitazuia funga yako basi zikate kwani funga ni bora kuliko hizo dreads.
 
wakuu habari zenu poleni na kazi mm ni kijana wa kiislam ila nimefuga nywele maan yake na dread kichwani sas kwa wale ambao wanajuwa je wenye dread wanaruhusiwa kufunga naombeni mnijuze nimeuliza watu kadhaa wameniambia haifai yaan nikifunga na hiz nywele kichwani ntakuwa nakaa na njaa 2 bad sijaridhika na majibu yao ndo maana nimeleta hap naombeni mnifafanulie

Mkuu, huwa unaswali lakini?
 
wakuu habari zenu poleni na kazi mm ni kijana wa kiislam ila nimefuga nywele maan yake na dread kichwani sas kwa wale ambao wanajuwa je wenye dread wanaruhusiwa kufunga naombeni mnijuze nimeuliza watu kadhaa wameniambia haifai yaan nikifunga na hiz nywele kichwani ntakuwa nakaa na njaa 2 bad sijaridhika na majibu yao ndo maana nimeleta hap naombeni mnifafanulie
Unaruhusika kufunga na hata kuswali nazo. Muhimu usiwe umeongezea nywele za maiti. Na ziwe safi.
 
wakuu habari zenu poleni na kazi mm ni kijana wa kiislam ila nimefuga nywele maan yake na dread kichwani sas kwa wale ambao wanajuwa je wenye dread wanaruhusiwa kufunga naombeni mnijuze nimeuliza watu kadhaa wameniambia haifai yaan nikifunga na hiz nywele kichwani ntakuwa nakaa na njaa 2 bad sijaridhika na majibu yao ndo maana nimeleta hap naombeni mnifafanulie
Dogo viporo vya mikate mikavu iliyochacha mnayoparamia na kubhugia inawafanya mnawakati mgumu chooni nakuwafanya mnakuwa na mtindio wa ubongo
 
Mimi ni mkristo ila niliona swali kama hili sehemu na jibu lilikuja kwamba inaruhusiwa plus mtume alipata kufunga nywele zake kwa mafungu so siyo kesi kama ni safi
 
Mimi mbona nimemwelewa anamaana kuvuta 'Joint' ilihali umefunga inajuzu?
 
wakuu habari zenu poleni na kazi mm ni kijana wa kiislam ila nimefuga nywele maan yake na dread kichwani sas kwa wale ambao wanajuwa je wenye dread wanaruhusiwa kufunga naombeni mnijuze nimeuliza watu kadhaa wameniambia haifai yaan nikifunga na hiz nywele kichwani ntakuwa nakaa na njaa 2 bad sijaridhika na majibu yao ndo maana nimeleta hap naombeni mnifafanulie

Mkuu, ebu fafanua basi, ni nywele za bandia kama za afande sele ama nywele halisi kwa maana zakwako?
 
Unatafuta kichaka cha kuacha kufunga siyo?
hmn mkuu natafuta uhakika
Mkuu, huwa unaswali lakini?

Unatafuta kichaka cha kuacha kufunga siyo?
hmn mkuu natafuta uhakika
Unatafuta kichaka cha kuacha kufunga siyo?

Mimi ni mkristo ila niliona swali kama hili sehemu na jibu lilikuja kwamba inaruhusiwa plus mtume alipata kufunga nywele zake kwa mafungu so siyo kesi kama ni safi
shukrani mkuu
 
Makobe utayajua tuu,.hili swali lilitakiwa kuulizwa before ramadan kuanza,we unauliza leo wakati ishaanza ili iwaje,unatafuta because tuu....
 
Back
Top Bottom