Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Basi mama unielekeze unapokaa niwe napitia tambiMakobe utayajua tuu,.hili swali lilitakiwa kuulizwa before ramadan kuanza,we unauliza leo wakati ishaanza ili iwaje,unatafuta because tuu....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi mama unielekeze unapokaa niwe napitia tambiMakobe utayajua tuu,.hili swali lilitakiwa kuulizwa before ramadan kuanza,we unauliza leo wakati ishaanza ili iwaje,unatafuta because tuu....
Safi ccta nmekuelew ata Samson alikuwa na rasta.Unafunga bila wasiwasi wowote, sababu hizo dread ni nywele zako mwenyewe
Kwa kifupi hapo unaweza funga na hata swala pia unaweza swali, ili hilo jambo la dread lina hukmu yake tofauti, ila ngoja nikijaaliwa nitalihakiki kwa wajuvi wa elimu halafu nitakuletea inshaallah, lakini kumbuka wewe na wengineo funga si nguzo pekee katka uislam, kuna Shahada ambayo ndio nguzo mama na Swala Hija na Zaka, basi tusikae tukisubir Ramadhan ndio tuanze kufanya ibada Ramadhan ikipita tunarejea katika yetu, hii si sawawakuu habari zenu poleni na kazi mm ni kijana wa kiislam ila nimefuga nywele maan yake na dread kichwani sas kwa wale ambao wanajuwa je wenye dread wanaruhusiwa kufunga naombeni mnijuze nimeuliza watu kadhaa wameniambia haifai yaan nikifunga na hiz nywele kichwani ntakuwa nakaa na njaa 2 bad sijaridhika na majibu yao ndo maana nimeleta hap naombeni mnifafanulie
wakuu habari zenu poleni na kazi mm ni kijana wa kiislam ila nimefuga nywele maan yake na dread kichwani sas kwa wale ambao wanajuwa je wenye dread wanaruhusiwa kufunga naombeni mnijuze nimeuliza watu kadhaa wameniambia haifai yaan nikifunga na hiz nywele kichwani ntakuwa nakaa na njaa 2 bad sijaridhika na majibu yao ndo maana nimeleta hap naombeni mnifafanulie
Dini unaifuata upendavyo wewe.Ndio maana uislam wa saudia ni tofauti na ule wa iran,lakini kitabu ni kimoja. Kuna shia, suni na hamadia, kitabu kimoja lakini kila dhehebu linafuata lipendavyo.wakuu habari zenu poleni na kazi mm ni kijana wa kiislam ila nimefuga nywele maan yake na dread kichwani sas kwa wale ambao wanajuwa je wenye dread wanaruhusiwa kufunga naombeni mnijuze nimeuliza watu kadhaa wameniambia haifai yaan nikifunga na hiz nywele kichwani ntakuwa nakaa na njaa 2 bad sijaridhika na majibu yao ndo maana nimeleta hap naombeni mnifafanulie
Mgambo sele kapigwa biti kidogo tu kawa mdogo na kuomba radhi juuKwa iyo na yule mfalme seleman wa morogoro nae kafunga?
Kwan CAG anasemaje???Swali gumu.