Iyerdoy
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,755
- 1,939
Hawashauriki hawa Jamaa, hawasikii la muadhini wala mchota maji wanapoikumbuka ile ahadi ya mabikra 72 na mito ya pombe.Baada ya miezi 2 kuanzia tarehe 21 mwezi huu watakiwa ni historia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawashauriki hawa Jamaa, hawasikii la muadhini wala mchota maji wanapoikumbuka ile ahadi ya mabikra 72 na mito ya pombe.Baada ya miezi 2 kuanzia tarehe 21 mwezi huu watakiwa ni historia
Ritz Webabu Sir John Roberts Malaria 2 njooni tuangalie hapa inakuwaje na tutoe tamko maana hali inazidi kuwa tete. Tulitegemea Irani naona wamefyta mkia. Tukategemea Hamas nao the same wamechapwa. Hizbullah wanapokea kipondo, Syria mpaka Assad amekimbia nchi. Houthis nao wanachapwa na Yemeni. Yaani ni TAFRAN MASHEIKH ZANGU MOJA HAISIMAMI MBILI HAIKAI. NI KIPIGO MBELE NA NYUMA.... NAUMIA SANA. TULIJITAHIDI SANA HUMU NDANI LAKINI WENZETU WANATUANGUSHA. HASA RITZ NAONA MPAKA UMEKATA TAMAAMapigano kati ya vikosi vya serikali ya Yemen na Houthis waripotiwa katika majimbo 3.
Jeshi la Yemen lilitangaza Jumamosi jioni kwamba vikosi vyake vilipambana na wapiganaji wa Houthi katika majimbo matatu nchini Yemen katika muda wa saa 24 zilizopita.
Kwa mujibu wa tovuti ya Wizara ya Ulinzi ya Septemba Net, mapigano hayo yalizuka katika muda wa saa 24 zilizopita "kufuatia mashambulizi ya Wahouthi kwenye maeneo ya jeshi katika majimbo" ya Marib katikati mwa Yemen, Al-Jawf kaskazini mwa Yemen, na Taiz kusini magharibi mwa Yemen.
![]()
Clashes between Yemeni gov't forces, Houthis reported in 3 provinces
Yemeni army claims to have inflicted heavy human, material losses on Houthi rebels - Anadolu Ajansıwww.aa.com.tr
Mhh! Na wewe ujitulize tu kwaani wenzako wamebaini na kuzingatia: "La kuvunda halina ubani" Wamejichokea choki. Huyu mHouth atafinywa mpaka aseme baasi kwani hakuna aliyebaki ambaye walau atamwambia pole ya kumliwaza japokuwa kinafk.Ritz Webabu Sir John Roberts Malaria 2 njooni tuangalie hapa inakuwaje na tutoe tamko maana hali inazidi kuwa tete. Tulitegemea Irani naona wamefyta mkia. Tukategemea Hamas nao the same wamechapwa. Hizbullah wanapokea kipondo, Syria mpaka Assad amekimbia nchi. Houthis nao wanachapwa na Yemeni. Yaani ni TAFRAN MASHEIKH ZANGU MOJA HAISIMAMI MBILI HAIKAI. NI KIPIGO MBELE NA NYUMA.... NAUMIA SANA. TULIJITAHIDI SANA HUMU NDANI LAKINI WENZETU WANATUANGUSHA. HASA RITZ NAONA MPAKA UMEKATA TAMAA