Je, mwisho wa wana mgambo wa Houthi nchini Yemen unakaribia..?

Ritz Webabu Sir John Roberts Malaria 2 njooni tuangalie hapa inakuwaje na tutoe tamko maana hali inazidi kuwa tete. Tulitegemea Irani naona wamefyta mkia. Tukategemea Hamas nao the same wamechapwa. Hizbullah wanapokea kipondo, Syria mpaka Assad amekimbia nchi. Houthis nao wanachapwa na Yemeni. Yaani ni TAFRAN MASHEIKH ZANGU MOJA HAISIMAMI MBILI HAIKAI. NI KIPIGO MBELE NA NYUMA.... NAUMIA SANA. TULIJITAHIDI SANA HUMU NDANI LAKINI WENZETU WANATUANGUSHA. HASA RITZ NAONA MPAKA UMEKATA TAMAA
 
Mhh! Na wewe ujitulize tu kwaani wenzako wamebaini na kuzingatia: "La kuvunda halina ubani" Wamejichokea choki. Huyu mHouth atafinywa mpaka aseme baasi kwani hakuna aliyebaki ambaye walau atamwambia pole ya kumliwaza japokuwa kinafk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…