Je, mzunguko wa mwezi kuizuka dunia hua una athali katika akili za wanadamu na tabia za wanadamu?

Je, mzunguko wa mwezi kuizuka dunia hua una athali katika akili za wanadamu na tabia za wanadamu?

M2mishi

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2013
Posts
715
Reaction score
268
Nawasalimu wakuu wote.

Mara nyingi nimekua nikiona watu wenye matatizo ya akili vichaa vyao hupanda zaidi wakati wa mwezi mchanga. Nimekua nikifanya pia hata uchunguzi kwa watoto wadogo kuna kitu wanaita mchango hua unawapata zaidi wakati wa mwezi mchanga.

Pia wakati huo hata kwa watu wengi ambao hawana matatizo ya kiakili unakuta hawajatulia ndio kipindi ambacho unaweza kwenda kumuuliza au kumusemesha mtu akakujibu vibaya.

Naomba kama kuna mtaalamu wa ASTROBIOLOGY aje atueleze inakua hivyo kwa sababu gani?
 
Kuna mdg Wangu zaman alionaga Mwezi usiku ghafla malaria ikampanda alitusumbua asee km chiz
 
Mwezi ndo unazunguka na sio dunia mkuu.

Mwezi unazunguka dunia haizunguki.
 
Hata wenye vigugumizi kuna tarehe ni hatari. Mimi ninacho kidogo ila kuna tarehe huwa kinapanda kidogo, kuna maneno huwa nashindwa kutamka muda fulani.
 
Mwezi ndo unazunguka na sio dunia mkuu.

Mwezi unazunguka dunia haizunguki....
nadhani unauelewa mdogo kuhusu astronomy. wakati mwezi unaizunguka dunia hata dunia wakati huo inakua inalizunguka jua na pia inajizungusha kwenye mhimili wake. labda cha kuongezea hapo hata mwezi pia unapo kua unaizunguka dunia hujizungusha kwenye mhimili wake.

pia na jua nalo linazunguka the centre of the milk way galaxy. pamoja na kua jua namaanisha (the sun is the body of gases rotates in its axis) hujizungusha kwenye muhimili wake, na hata galaxy zote unazo ziona mpaka leo zote zina move away from each other from the formation of the universe. nadhani umeelewa
 
nadhani unauelewa mdogo kuhusu astronomy. wakati mwezi unaizunguka dunia hata dunia wakati huo inakua inalizunguka jua na pia inajizungusha kwenye mhimili wake...
Nimi nimekuelewa na hapa shida sio kuelewa,haya mambo niliyaelewa zamani tu.

Shida ni kuwa hizo ni mawazo tu ya watu ama maoni ambayo hayana uthibitisho wowote zaidi ya maneno hayo.

Una uthibitisho wowote kwamba dunia inalizunguka jua tukiachilia mbali hayo maneno uliyoyaandika hapa ?

Kwa sababu mimi ninakuambia jua linatembea kwa sababu tunaliona sote likitoka huku kwenda kule,na mweI kadhaalika ndio hivyo hivyo.

Sasa naomba wewe ushahidi wa kimazingira ambao hautaingiliana na nadharia zingine kwamba dunia nayo inamove...
 
Nimi nimekuelewa na hapa shida sio kuelewa,haya mambo niliyaelewa zamani tu.

Shida ni kuwa hizo ni mawazo tu ya watu ama maoni ambayo hayana uthibitisho wowote zaidi ya maneno hayo.

Una uthibitisho wowote kwamba dunia inalizunguka jua tukiachilia mbali hayo maneno uliyoyaandika hapa ?

Kwa sababu mimi ninakuambia jua linatembea kwa sababu tunaliona sote likitoka huku kwenda kule,na mweI kadhaalika ndio hivyo hivyo.

Sasa naomba wewe ushahidi wa kimazingira ambao hautaingiliana na nadharia zingine kwamba dunia nayo inamove...n
natambua vema kua jamiiforums inama intellectual ila nasikitika kukutana na mtu mwenye uelewa mdogo kama wewe
 
natambua vema kua jamiiforums inama intellectual ila nasikitika kukutana na mtu mwenye uelewa mdogo kama wewe
Wengi eanaishia kusema kama wewe lakini wanashindwa kutoa ithbati kama wao wana uelewa mkubwa.

Hivyo itabaki tu kuwa hoja "uelewa mdogo" lakini hii sio hoja bali ni madai ambbayo wengi mfano wako wameyyadai.
 
Nimi nimekuelewa na hapa shida sio kuelewa,haya mambo niliyaelewa zamani tu.

Shida ni kuwa hizo ni mawazo tu ya watu ama maoni ambayo hayana uthibitisho wowote zaidi ya maneno hayo.

Una uthibitisho wowote kwamba dunia inalizunguka jua tukiachilia mbali hayo maneno uliyoyaandika hapa ?

Kwa sababu mimi ninakuambia jua linatembea kwa sababu tunaliona sote likitoka huku kwenda kule,na mweI kadhaalika ndio hivyo hivyo.

Sasa naomba wewe ushahidi wa kimazingira ambao hautaingiliana na nadharia zingine kwamba dunia nayo inamove...

Haya mambo si rahisi kama unavyoyasema wewe pia. Wewe uko kwenye dunia thibitisha kuwa jua ndo linalotembea na si dunia inayotembea au vyote viwili vinatembea?. Ukiacha maneno tu.
 
Haya mambo si rahisi kama unavyoyasema wewe pia. Wewe uko kwenye dunia thibitisha kuwa jua ndo linalotembea na si dunia inayotembea au vyote viwili vinatembea?. Ukiacha maneno tu.
Yani mimi nikiona ndege agani nikikuambia anatembea na wewe unaona kabisa anatembea anatoka hapa anaenda kule sote tunaona alafu unataka ushahidi.

Ndege za usafiri zinatembea kwa sababu tunaziona sote namna zinavyotembea,huo ni ushahidi.

Na pia jua linatembea linatoka upande mmoja linaenda upande mwingine tunaona linatembea. Huu ni ushahidi kila mtu anauona.

Sasa wewe ulete ushahidi unaosema jua halitembea uwe ushahidi wa kuonekana mzee usilete maneno.

Kama ambavyo wanasaysnsi wanathamini sana kyona ndio maana leo tuna equipments kama vile microscope kwa ajili ya kuona microbes.

Sasa wewe unadhani hawa waliovumbua vifaa hivi hawana akili kwa kutaka uthibitisho kupitia macho.

Wewe lete ushahidi kwa kamba jua hiendi ili ushahidi huo upinge tunachokiona machoni petu..
 
Nawasalimu wakuu wote.

Mara nyingi nimekua nikiona watu wenye matatizo ya akili vichaa vyao hupanda zaidi wakati wa mwezi mchanga. Nimekua nikifanya pia hata uchunguzi kwa watoto wadogo kuna kitu wanaita mchango hua unawapata zaidi wakati wa mwezi mchanga.

Pia wakati huo hata kwa watu wengi ambao hawana matatizo ya kiakili unakuta hawajatulia ndio kipindi ambacho unaweza kwenda kumuuliza au kumusemesha mtu akakujibu vibaya.

Naomba kama kuna mtaalamu wa ASTROBIOLOGY aje atueleze inakua hivyo kwa sababu gani?

Kwa elimu ndogo niliyonayo, na kwa yaliyopo kwamba dunia inalizunguka jua na kujizungusha kwenye mhimili wake, kutokana na nafasi/positions ya dunia dhidi ya bodies/maumbo mengine angani na nguvu ya usumaku iliyopo duniani, pamoja na uwepo wa nguvu ya umeme kwenye ubongo na mwili. Kuna uwezekano wa haya mambo matatu kuathiri tabia na utendaji wa ubongo pamoja na viungo mbalimbali vya viumbe hai.

Hii itatokana na kiasi cha nguvu ya uvutano itakayokuwepo kati ya miili yetu na haya maumbo mengine. 20210718_125225.png

20210718_125311.png
 
Kama unafikiri vyema, kubadili kwa nafasi kunaweza kutokana na unachokiona kinajongea au anaekiona anajongea au vyote vinajongea. Ndio maana hapo ili kubaki na kimoja unatakiwa utoe uthibitisho wa kisayansi na ai maneno tu. Toa sababu kwa nini kile ndo kinajongea na si hiki.
 
Sayansi gani umesoma wewe mwezi hauathiri chochote kwenye tabia ya mwanadamu

Bali una athari hasi na chanya ktk sayari inayoizunguka of course baadhi ya sayari zina mwezi wako nyengine zina mwezi zaidi ya mmoja .mwezi mkubwa kuliko yote unaitwa Titan sikumbuki vizuri utakuwa unapatkana kwenye sayari ipi kati ya Saturn na Jupiter


Hizo athari za mwezi ktk sayari nadhani mnazijua mmesoma jiografia wengine astronomy ila kwa tabia ya binadamu ...Big No
 
Haya mambo si rahisi kama unavyoyasema wewe pia. Wewe uko kwenye dunia thibitisha kuwa jua ndo linalotembea na si dunia inayotembea au vyote viwili vinatembea?. Ukiacha maneno tu.
Mada imeshahama tena!
 
Back
Top Bottom