ngoja waje watu wa astro-biology watuelezeKuna mdg Wangu zaman alionaga Mwezi usiku ghafla malaria ikampanda alitusumbua asee km chiz
nadhani unauelewa mdogo kuhusu astronomy. wakati mwezi unaizunguka dunia hata dunia wakati huo inakua inalizunguka jua na pia inajizungusha kwenye mhimili wake. labda cha kuongezea hapo hata mwezi pia unapo kua unaizunguka dunia hujizungusha kwenye mhimili wake.Mwezi ndo unazunguka na sio dunia mkuu.
Mwezi unazunguka dunia haizunguki....
Nimi nimekuelewa na hapa shida sio kuelewa,haya mambo niliyaelewa zamani tu.nadhani unauelewa mdogo kuhusu astronomy. wakati mwezi unaizunguka dunia hata dunia wakati huo inakua inalizunguka jua na pia inajizungusha kwenye mhimili wake...
natambua vema kua jamiiforums inama intellectual ila nasikitika kukutana na mtu mwenye uelewa mdogo kama weweNimi nimekuelewa na hapa shida sio kuelewa,haya mambo niliyaelewa zamani tu.
Shida ni kuwa hizo ni mawazo tu ya watu ama maoni ambayo hayana uthibitisho wowote zaidi ya maneno hayo.
Una uthibitisho wowote kwamba dunia inalizunguka jua tukiachilia mbali hayo maneno uliyoyaandika hapa ?
Kwa sababu mimi ninakuambia jua linatembea kwa sababu tunaliona sote likitoka huku kwenda kule,na mweI kadhaalika ndio hivyo hivyo.
Sasa naomba wewe ushahidi wa kimazingira ambao hautaingiliana na nadharia zingine kwamba dunia nayo inamove...n
Wengi eanaishia kusema kama wewe lakini wanashindwa kutoa ithbati kama wao wana uelewa mkubwa.natambua vema kua jamiiforums inama intellectual ila nasikitika kukutana na mtu mwenye uelewa mdogo kama wewe
Nimi nimekuelewa na hapa shida sio kuelewa,haya mambo niliyaelewa zamani tu.
Shida ni kuwa hizo ni mawazo tu ya watu ama maoni ambayo hayana uthibitisho wowote zaidi ya maneno hayo.
Una uthibitisho wowote kwamba dunia inalizunguka jua tukiachilia mbali hayo maneno uliyoyaandika hapa ?
Kwa sababu mimi ninakuambia jua linatembea kwa sababu tunaliona sote likitoka huku kwenda kule,na mweI kadhaalika ndio hivyo hivyo.
Sasa naomba wewe ushahidi wa kimazingira ambao hautaingiliana na nadharia zingine kwamba dunia nayo inamove...
Yani mimi nikiona ndege agani nikikuambia anatembea na wewe unaona kabisa anatembea anatoka hapa anaenda kule sote tunaona alafu unataka ushahidi.Haya mambo si rahisi kama unavyoyasema wewe pia. Wewe uko kwenye dunia thibitisha kuwa jua ndo linalotembea na si dunia inayotembea au vyote viwili vinatembea?. Ukiacha maneno tu.
Nawasalimu wakuu wote.
Mara nyingi nimekua nikiona watu wenye matatizo ya akili vichaa vyao hupanda zaidi wakati wa mwezi mchanga. Nimekua nikifanya pia hata uchunguzi kwa watoto wadogo kuna kitu wanaita mchango hua unawapata zaidi wakati wa mwezi mchanga.
Pia wakati huo hata kwa watu wengi ambao hawana matatizo ya kiakili unakuta hawajatulia ndio kipindi ambacho unaweza kwenda kumuuliza au kumusemesha mtu akakujibu vibaya.
Naomba kama kuna mtaalamu wa ASTROBIOLOGY aje atueleze inakua hivyo kwa sababu gani?
Mkusanyiko wa matatizo ya afya ya akili/mental health.Mwezi mchanga kwa kingereza wanaitaje?
Mada imeshahama tena!Haya mambo si rahisi kama unavyoyasema wewe pia. Wewe uko kwenye dunia thibitisha kuwa jua ndo linalotembea na si dunia inayotembea au vyote viwili vinatembea?. Ukiacha maneno tu.
Nilitoa homework kulingana na yeye alivyoandika ujumbe wake wa kwanza.Mada imeshahama tena!