Je, na hawa dagaa wa kwenye pakiti wachungu kama klorokwini wanahifadhiwa na nini?

Je, na hawa dagaa wa kwenye pakiti wachungu kama klorokwini wanahifadhiwa na nini?

UZUSHI MTUPU.

HII KIKI MAKAMU WA RAIS IMEMSHUSHIA SANA HESHIMA
 
Kuna samaki wameletwa kutoka mwanza Toka mwezi wa Saba wKo ktk friji nataka mchna wa leo nikandamize mmoja je Kuna shida au niwarupe
JPEG_20220917_132806_1187992609821497998.jpg


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo Samaki zinazosafirishwa nje zenu Eee haziwekewi?maana lazima zipimwe
 
Back
Top Bottom