Je, nahitaji kibali kumiliki silaha hii?

Huyu jamaa hajielewi kabisa...
 
Upinde unaonekana hapo ni modern bow, na unatumika hata vitani, michezo na kuwindia, nahitaji kuwa assured na sheria za nchi unaweza agiza ukaishia bandarini. Kama umesoma maelezo yangu ninalo panga ndani, ninayo Pr24, issue ni kwamba hawajamaa hawakuingia ndani na walikata nindo ka sehemu nne hivi. Na nilikuwa nawaona kabisa manake wakati wanakata ilikuwa inatoa mlio. Ningekuwa na hiyo kitu ningemalizana nao. Hata kama nikiikosa hii kwa sababu za kisheria naenda kuchukuwa teaser pale tanganyika arms. Hawa washenzi mpaka nimlaze mmoja chini. Najua watarudi kwa sababu ni maeneo ambayo ndo tumeamia hamia na nyimba nyingi wameshavunjiwa na kichukuwa simu na TV. Mi nataka niwe mfano nikisema nianze process za silaha ya moto nitachelewa.
 
Huyu jamaa hajielewi kabisa...
Umekariri vitu na itakuchukuwa muda kufahamu ninachokiongelea hapo nini. Huo siyo upinde kama ule wa babu yako kule kijijini. Huo ni upinde wa kisasa ambao unatimika vitani. Kabla ya kununua kitu chochote lazima ujiridhishe. Unafikiri kwa nini printer za 3D zinazuiwa kuingia baadhi ya nchi ili hali ni printer tu? Kabla ya kufanya maamuzi fanya utafti. Lakini kwa kuwa unataka kuchangamsha jukwaa na uonekane na wewe humo basi twende kazi.
 
Kama unaona utakusaidia ni rahisi kwenda polisi kuthibitisha hilo, vinginevyo huhitaji kuongelea watu maneno ya kashfa ndugu milionea....
 
Kama unaona utakusaidia ni rahisi kwenda polisi kuthibitisha hilo, vinginevyo huhitaji kuongelea watu maneno ya kashfa ndugu milionea....
Una ujuaji wa kishamba kashifa unaijua wewe, siyo kila jambo usijifanye unajua ndo kinachomuumiza binamu yako msiba kwa sasa. We unahisi kwamba mimi sijui kama upinde, panga, shoka, rungu, mukuki naweza kuwa navyo pasipo kibali? Usikurupuke tafakari kwanza. Sheria zinazohusiana na ulinzi na usalama zinabadilika kila siku
 
kaka wa mkuu wa wale jamaa si aliuliwa ni kitu kama hii,ukikutwa nayo hiyo!!!!
 
U

Ukikuwa utaelewa kwa sasa malizia kucheza game hapo sebuleni kwa shemeji yako. Ila kumbuka ulipaswa kumwonea dadako huruma anapofunga mlango usiku yanayompata huko yeye ndo anajua.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamaa una maneno sana
 
Kwa hiyo unataka sisi ndo tukupe majibu kama hiyo silaha inaruhusiwa au laa, hujui mahala pa kupata maelezo..........wee jamaa utakuwa na matatizo.
 
Kwa hiyo unataka sisi ndo tukupe majibu kama hiyo silaha inaruhusiwa au laa, hujui mahala pa kupata maelezo..........wee jamaa utakuwa na matatizo.
Bwege kama wewe huwezi na majibu ya vitu vya msingi kama hivi. Wapo wenye majibu na si wewe zuzu.
 
Me mwenyewe nataman I sana kujua. Ukipata majibu naomba nijulishe Mkuu.
 
Sawa mama...
Vyovyote vile kama umehisi nina hadhi sawa mamako basi mimi ni mtu mhimu kwako, kinyume chake pia ni sahihi, tuendelee. Mi bundle langu si la kupima na nina uhakika wa kula. Angalia rekodi zangu za hapa jf nina zaidi ya mwaka bila kusain off hata dk moja, online 24/7, 30 days per month, 12 months, 365days
 
Mshale hata jambazi awe na silaha ya moto akiona tu mwenzake kala mshale lazima alale mbele mshale sio poa kabisa.

Kwanza hauna sauti alafu ukizama hautoki kwa kuvutwa na unapenya kweli kweli.
 
Yote, kwani hata yeye anapoamua kuruka ukuta na kuingia kwenye eneo langu, na akavunja mlango amedhamiria
Yeye ndiyo fani yake yaani yuko kazini na anatoa ajira nyingi sana kuliko wewe, kuua ni baada ya mahakama kuthibitisha kosa. Zipo sheria na haki zinazomlinda huyo unayedhania ni mhalifu, siku ukikutana na anayezijua sheria utajikuta wewe ndiye mtuhumiwa.
 
Nimesoma zaidi ya mara tatu sijakuelewa labda urudie tena, sijaelewa marehem anawezaje kujua sheria? Lakini pia naamini kuna sheria inayonipa kinga ya kujilinda, wakati trespass inapofanyika. Yaani upande ukuta, uje uvunje mlango bado uwe na sheria inayokulinda? Hii sheria inatumika ile nchi ya kusadikika ambayo pande zote imepakana na upepo
 
Njoo kwetu uruke ukuta, uvunje mlango au ukate dirisha, uingie ndani kisha nikuchape risasi ufe tuone ni sheria gani unazojua zitakulinda.

Kwa mfano wewe ukivamiwa kwa style hiyo unajificha uvunguni ili usivunje sheria ukawa mtuhumiwa?
 
Mkuu yaani seriously utaacha kujitetea mbele ya mtu mwenye nia ya kutoa uhai wako kwa sababu unaogopa kuvunja sheria?
Inaonekana ni muoga sana mkuu.

Kiufupi hakuna kitu kama hicho.
 
Nnavyochukia wezi vibaka, juzi kati wamekwarua nyaya zote za kwenye nyumba yetu aisee! Hawa umbwaaaaaaaaa...naombeni mganga
Vibaka na wezi upewa nguvu na waganga wa kienyeji,tungeanza wasafisha waganga wote wa kienyeji kwenye makazi yetu vibaka,wezi na majambazi watatoweka.Awaibi bila ushauri wa waganga hawa.
 
Unavaa facial mask.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…