Napenda ulizia hizi kama ni moja wapo ya dalili za ukimwi!??
1.kuwa na michirizi mgongoni usawa wa tumbo ikiwa imekaa horizontal.,
2. Kichwa cha uume chini yake kuwa na vijipele vidogo vidogo
Kwa wataalamu na wajuzi wa kiafya naombeni mnisaidie
Hahahahah mkuu umenikumbusha mbali sana chuon nahapo ndo tumeingia kusoma HIV/AIDS daahhh mpaka mtu unaweza kuzimia .
BTW izo dalili hazitoshi kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaa .kumbuka HIV au AIDS inastage 3 .
Yakwanza nipale kirusi kimeingia hutokea Kwa wiki mbili mpaka miezi miwili ivi .hapa ndo mtu hupata rushes ,,kichwa kuuma balaa ,,kutoka najasho usiku bila hata sababu wala sio eti chumba kinajoto ( hata km upo iringa bado jasho litakutoka usiku ).kuchoka sanaaaaaaaa,,, rashes hutokea uson ,mabegan ,,viganjan nakifuani , homa , kutokwa na vidonda mdomon naulimi nakubwa Tezi za arm pit ,kweye groin ,nashingo zinavimbaaaaaa.
Baada ya miezi miwili hizi dalili zinapoteaaaaaaaaaaaa.
Stage yapili ...hapa hakuna dalili zakuumwa ugonjwa huyu yaan utanenepa km kawaida nahaoa ndio virusi huzaliana sana na hapa ndipo husambazwa sana kutoka mtu mmoja had I mwingine.
Hapa hutumua miaka 5-15 kama kwenu/kwako unakula vzur .
Stage yatatu ,,hapw ndipo palipo na MZEE BABA MTU MZIMA AIDS yaan hapa CD4 zimebak chache ,,sasa zile dalili zote ulizozisoma shulen ya msingi na sekondar ndipo hapa zinatokea !!hapa ni ama UMEZE MBAAZI AU RIP .
N.b dalili tajwa hapo juu zaweza sababishwa na TB ,kwaiyo nenda upime damu yako ikiwa SALAMA USIRUDIE KUUZA GEMU KAVU KAVU ..HAPA DUNIANI KUNA WATU KAZI YAO NIKUUA WENGINE NAMISIBANI HAWAHUDHURII ,, HAWA WAKISHAJUA WAMEKUUNGUZA NAWAO WANAPOTEA KTK MAISHA YAKO NAUSIWAONE TENAAAA.......ACHA KUUZA GEM KAVU KAVU .