Mtemi mpambalioto JF-Expert Member Joined Aug 23, 2015 Posts 3,436 Reaction score 7,955 Nov 5, 2023 Thread starter #21 kopites said: Labda anapata kiburi kutokana na mke wake kua spika ana ukaribu na Rais samia Click to expand... hapa ndipo dhambi za ufisadi ukiburi umajivuno zinapochipukiaga! Mungu atawaonyesha adhabu yao soon
kopites said: Labda anapata kiburi kutokana na mke wake kua spika ana ukaribu na Rais samia Click to expand... hapa ndipo dhambi za ufisadi ukiburi umajivuno zinapochipukiaga! Mungu atawaonyesha adhabu yao soon
Mtemi mpambalioto JF-Expert Member Joined Aug 23, 2015 Posts 3,436 Reaction score 7,955 Nov 7, 2023 Thread starter #22 troiker said: Umesikika vyema,tusubiri Click to expand... kwa Serikali hii ya kifisadi mbona hatutatoboa
troiker said: Umesikika vyema,tusubiri Click to expand... kwa Serikali hii ya kifisadi mbona hatutatoboa
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Nov 7, 2023 #23 Mkurugenzi ni mume wa Spika wa mchongo anasubiri mafao ya wenza, unadhani Dotto atafanya nini?
FabNXTzqEtcgazfbjjfo JF-Expert Member Joined Jan 17, 2019 Posts 1,486 Reaction score 1,874 Nov 7, 2023 #24 Sasa Gesi Ikiwa Nyingi Vituo vya Mafuta si Vitafungwa na Huko Kwenye Mafuta Kuna Vigogo lazima Waweke Nongwa
Sasa Gesi Ikiwa Nyingi Vituo vya Mafuta si Vitafungwa na Huko Kwenye Mafuta Kuna Vigogo lazima Waweke Nongwa
U Undu JF-Expert Member Joined May 18, 2013 Posts 3,527 Reaction score 1,892 Nov 7, 2023 #25 Nchi ngumu kutoa maamuzi ya jambo dogo Je ingekuwa vita.
P pilipili kichaa JF-Expert Member Joined Sep 3, 2013 Posts 18,406 Reaction score 14,643 Nov 7, 2023 #26 Mtemi mpambalioto said: Kuna kampuni ya Dalbit tunaona imekamilisha kujenga kituo cha kisasa pale Airport lakini tunaambiwa EWURA WANANYIMA VIBALI! sasa najiuliza je Mkurugenzi EWURA ni mkubwa kuliko NAIBU WAZIRI MKUU? Click to expand... Kwanza huyu ni mgeni ktk eneo hili, anabebwa na my... wake
Mtemi mpambalioto said: Kuna kampuni ya Dalbit tunaona imekamilisha kujenga kituo cha kisasa pale Airport lakini tunaambiwa EWURA WANANYIMA VIBALI! sasa najiuliza je Mkurugenzi EWURA ni mkubwa kuliko NAIBU WAZIRI MKUU? Click to expand... Kwanza huyu ni mgeni ktk eneo hili, anabebwa na my... wake