Je, namba zinazoandikwa nyuma ya jezi za wachezaji zina maana gani?

king suleman

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2014
Posts
1,749
Reaction score
1,149
Habari wana jamvi, najua kuna jukwaa la sport ila pia lakin umu wanaolitembelea hili jukwaa ni wengi , nna swali huwa linanitatiza sana , wachezaji huwa wanapewa no nyuma ya jez 1-11 lakini kuna wengine wanapata namba zaidi ya 11 mfano wachezaji wa simba, kichuya ana 25 , manula ana jez no 28, pia kuna wengine wengi wana namb kubwa kama 13, 15 ,19 , au zaidi .je hii ina maana gani.
 
Namba ya jezi ya Samatta unaijua?
 
Nikiwa mdogo niliambiwa eti 1.- 11 ni kwa ajili y'all First Eleven.

Lakini baadae nimekuja kuona first eleven wakiwa na namba nje ya hizo.

Inawezekana ni vile aliyekuwa starter anapoteza kiwango, aliyekuwa bench anaanza na namba haibadiliki.

Ila kiuhalisia swali la jamaa ni la msingi, sema watu wanajoke.
 
Zile namba huwa zinatolewa kama una shida na mchezaji unaandika namba ya jezi yake kwenye simu kisha unaandika na timu hapo utampigia simu moja kwa moja.
 
Hapo umeshamjibu tayari. Hizo number kwa lugha nyingine zinaitwa namba za kikosi kazi (squad numbers). Kazi yake ni utambulisho. Mara nyingi 1-11 zimekuwa zikitumika sambamba na nafasi ya mchezaji uwanjani.
 
Kwa kawaida, watu wamempira wamekubaliana namba zitumike kuanzia 1 mpaka 11. Namba hizi kuanzia 1 mpaka 11 maana yake ni kila namba inakazi yake maalum au position yake maalum. Namba yeyote ile ambayo mcheza anakuwa amevaa, lakin mwisho kabisa lazima position yake iwe kuanzia namba 1 mpaka 11. Kwa mfano Samata namba yake ya mgongono ni 77, lakini kiPosition namba yake ya uwanjani ni 9, na mfano mwingine diego costa alikuwa chelsea namba yake ya mgongoni n 19, lakin position yake anayocheza ni 9. Kwa kifupi **** wacheza namba zao zinaendana na position zao, kwa mfano ronaldo namba yake ya mgongoni ni 7 na position yake ni 7. In short namba n usajili tu kwa mgongoni lakin haima maana ya moja kwa moja na position ya mchezaji uwanjani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…