Mimi takujibu kwa Logic hata akija Mjerumani na vibao vyake tambishia.....
Kwangu mimi inabidi kwenye mpaka wa Sehemu inayoitwa mkoa A ndio inabidi iwe Zero kwahio kama Mji A unapakana na Mji B basi mpakani ndio pawe O kwahio kutoka Mji A mpaka C , Zero iwe kwenye A inapoishia na kufika C iwe Urefu wa B ukimaliza B tu unaingia C (Unless mtu akuulize kutoka Mji A Mjini mpaka Mji B Mjini, ila Sio Kutoka Mji A mpaka Mji B ni KM ngapi hapo jibu arguably litakuwa ni Zero)
Labda kama unamaanisha centre ya Mji ni wa wapi yaani katikatika kabisa (City Centre) hapo ndio nitakuelewa ukipaita distance Zero; na ili kurahisha nadhani tupime distance Zero Stand mpaka Stand....
Waite hao wajerumani na vibao vyao niwabishie....🥳