Kinkunti El Perdedo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 5,200
- 12,762
- Thread starter
-
- #21
Kupitia mchango wako una maana kwamba bado Mh.Mbowe anahitajika sana katika nafasi ya uenyekiti wa CDM kwa ajili ya kukijenga na kukipa ukomavu zaidi ?Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alikiongoza Chama cha TANU kwa miaka 23 kuanzia mwaka tarehe 7/7/1954 mpaka 5/2/1977.
Akaendelea kukiongoza Chama cha Mapinduzi, CCM kwa miaka 13.
Amekuwa Mwenyekiti kwa jumla ya miaka 36.
Matokeo yake ni kukomaa cha Chama cha CCM.
Yeyote anayetaka Kiongozi wa Chama Kikuu cha Upinzani Tanzania, CHADEMA, aondoke madarakani, haijui Historia ya ukombozi wa Nchi yetu
Soma Uzi na uelewe kilicho andikwa badala ya kuandika mambo ya ajabu.Tumpatie Mather yako, au unaonaje wewe?
Kwanini John Heche ?Heche
Hata wewe una wajibu wa kuandaa fagioAdaa fagio wewe acha kubwabwaja hapa.
DIRA inasemaje kiasi kwamba imepotea?wakati huo haufanani na sasa, changamoto za wakati huo sio za sasa! MBOWE atoke tu chama kimepoteza Dira.
Kuongea Ukiwa nje ya mfumo ni kubahatisha.Kupitia mchango wako una maana kwamba bado Mh.Mbowe anahitajika sana katika nafasi ya uenyekiti wa CDM kwa ajili ya kukijenga na kukipa ukomavu zaidi ?
Sumu haionjwi nani anaeweza kuleta shinikizo la Mh Mbowe kujiuzulu?Kutokana na kupanda kwa joto la siasa nchi, hasa ukizingatia ujio wa chaguzi, mabadiliko ya Sheria ya uchaguzi na madai ya tume huru kutoka kwa wadau mbalimbali wa siasa.
Pia mfupa mgumu ambao umekuwa kama hadithi isiyo na mwisho. Maana mpaka sasa haijajulikana nani atakuwa na wajibu wa kumfunga paka kengele juu ya hitaji la katiba mpya ukizingatia mchakato unakwenda kwa mwendo wa konokono, huku hali ya kupoteza uaminifu kwa viongozi wa kisiasa ikipanda juu, kutokana na matukio kadhaa kutokea kwa pande zote mbili.
Mwisho upande mmoja tayali umesha toa la moyoni kupoteza imani ya mchakato wote.
Kwa sasa ni ukweli ulio wazi kwamba baadhi ya wanachama wa Chama Cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA), wameanza kupoteza matumaini kwa kiongozi wao mkuu wa chama Mh. Mbowe jua ya siasa zake za kistaarabu ambazo chama Cha mapinduzi (CCM), kimetumia fursa hiyo kisiasa kuhujumu michakato ya mabadiliko mbalimbali ili kufanya usawa katika siasa kuwa mgumu na usio leta majawabu ya mkwamo wa kisiasa wa muda mrefu.
Baadhi ya matukio yaliyo sababisha Mh. Mbowe kuanza kutiliwa mashaka zaidi kulinganisha na lile la kumpokea Mh. Lowasa kwa sasa ni haya matatu.
Mosi, kitendo cha Mh. Mbowe kutoka gerezani kutokana na mashitaka ya ugaidi kufutwa na serikali kupitia DPP na kwenda moja kwa moja kuonana na mtesi wake Rais Samia Ikulu Dar es salaam.
Kitendo hiki kiliwakwaza sana baadhi ya wanachama wa CHADEMA na wadau wengine wataka mabadiliko ya kweli ya demokrasia ukizingatia Rais Samia tayali alisha onesha nia na dhamira ya kumfunga kupitia mahojiano na BBC.
Pili, Maridhiano Mh. Mbowe na Rais Samia pamoja waliasisi agenda ya Maridhiano kwa lengo la kuondoa mkwamo wa kisiasa ulio kuwepo nchi kipindi cha awamu ya tano chini ya Hayati Magufuli.
Matunda ya maridhiano yaleleta kufunguliwa kwa mikutano ya hadhara na baadhi ya watu waliokuwa na kesi za kisiasa kuachiwa huru, ruzuku nk. lakini jambo hili lilileta mpasuko ndani ya chama kwa maana kwamba ilitafsiriwa kama mbinu ya CCM ya kununua muda pia uhuru wa vyama vya siasa kufanya shughuli zao unalindwa na katiba sio matakwa ya mtu mfano wa wanachama walio tilia mashaka maridhiano ni Lema, Lissu nk.
Tatu, Agenda za maridhiano kufanywa siri, mambo mbalimbali yaliyo jadiliwa kwenye maridhiano yalifanywa siri, na hata pale alipo ulizwa kuhusu agenda muhimu hakutoa majibu yaliyo lizisha, hivyo kufanya watu na wadau mbalimbali kuona jambo hili linafanywa kibinafsi zaidi na kupuuzia umma, ambao ndo walegwa na wadau wakuu na muhimu wa kutoa hamasa kwa serikali ili kutoa motisha kwa serikali kukubali matakwa kwa maslahi ya taifa.
Hivyo basi tayali imani ndani ya chama na wadau mbalimbali wa demokrasia imepotea juu ya Mh. Mbowe ambaye alikuwa karata muhimu ya kuleta mageuzi ya kisiasa nchini.
Ikitokea kama kukawa na shinikizo ndani ya chama kumtaka Mh. Mbowe ajiuzulu, naye akaona ni vema ili kukinusuru chama ili kuresha imani na motisha zaidi kwa umma.
Swali la msingi linaibuka hapa nani atafaa kuwa mrithi wa Mh. Mbowe kwa kipindi hiki kigumu cha mkwamo wa siasa nchini na kwenye chama na kwa sababu zipi mtu huyo anafaa kukalia kitu hicho muhimu.
Nakubali na maneno yako,lakini hauja jibu maswali yangu ya msingi mkuuKuongea Ukiwa nje ya mfumo ni kubahatisha.
Siri ya ngoma aijuaye ni Mwamba ngoma.
Chama ni taasisi sio mali ya mtu binafsi,hivyo basi taasisi lazima iwe na mifumo imara sio mtu imara.Sumu haionjwi nani anaeweza kuleta shinikizo la Mh Mbowe kujiuzulu?
Yepi hayoNakubali na maneno yako,lakini hauja jibu maswali yangu ya msingi mkuu
kwa miaka ya hivi karibuni hakuna mbadala wa mwamba wa kaskazini F.A.MBOWE as a chairman of Chadema, mpaka baadae sana miaka ijayo 🐒Kutokana na kupanda kwa joto la siasa nchi, hasa ukizingatia ujio wa chaguzi, mabadiliko ya Sheria ya uchaguzi na madai ya tume huru kutoka kwa wadau mbalimbali wa siasa.
Pia mfupa mgumu ambao umekuwa kama hadithi isiyo na mwisho. Maana mpaka sasa haijajulikana nani atakuwa na wajibu wa kumfunga paka kengele juu ya hitaji la katiba mpya ukizingatia mchakato unakwenda kwa mwendo wa konokono, huku hali ya kupoteza uaminifu kwa viongozi wa kisiasa ikipanda juu, kutokana na matukio kadhaa kutokea kwa pande zote mbili.
Mwisho upande mmoja tayali umesha toa la moyoni kupoteza imani ya mchakato wote.
Kwa sasa ni ukweli ulio wazi kwamba baadhi ya wanachama wa Chama Cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA), wameanza kupoteza matumaini kwa kiongozi wao mkuu wa chama Mh. Mbowe jua ya siasa zake za kistaarabu ambazo chama Cha mapinduzi (CCM), kimetumia fursa hiyo kisiasa kuhujumu michakato ya mabadiliko mbalimbali ili kufanya usawa katika siasa kuwa mgumu na usio leta majawabu ya mkwamo wa kisiasa wa muda mrefu.
Baadhi ya matukio yaliyo sababisha Mh. Mbowe kuanza kutiliwa mashaka zaidi kulinganisha na lile la kumpokea Mh. Lowasa kwa sasa ni haya matatu.
Mosi, kitendo cha Mh. Mbowe kutoka gerezani kutokana na mashitaka ya ugaidi kufutwa na serikali kupitia DPP na kwenda moja kwa moja kuonana na mtesi wake Rais Samia Ikulu Dar es salaam.
Kitendo hiki kiliwakwaza sana baadhi ya wanachama wa CHADEMA na wadau wengine wataka mabadiliko ya kweli ya demokrasia ukizingatia Rais Samia tayali alisha onesha nia na dhamira ya kumfunga kupitia mahojiano na BBC.
Pili, Maridhiano Mh. Mbowe na Rais Samia pamoja waliasisi agenda ya Maridhiano kwa lengo la kuondoa mkwamo wa kisiasa ulio kuwepo nchi kipindi cha awamu ya tano chini ya Hayati Magufuli.
Matunda ya maridhiano yaleleta kufunguliwa kwa mikutano ya hadhara na baadhi ya watu waliokuwa na kesi za kisiasa kuachiwa huru, ruzuku nk. lakini jambo hili lilileta mpasuko ndani ya chama kwa maana kwamba ilitafsiriwa kama mbinu ya CCM ya kununua muda pia uhuru wa vyama vya siasa kufanya shughuli zao unalindwa na katiba sio matakwa ya mtu mfano wa wanachama walio tilia mashaka maridhiano ni Lema, Lissu nk.
Tatu, Agenda za maridhiano kufanywa siri, mambo mbalimbali yaliyo jadiliwa kwenye maridhiano yalifanywa siri, na hata pale alipo ulizwa kuhusu agenda muhimu hakutoa majibu yaliyo lizisha, hivyo kufanya watu na wadau mbalimbali kuona jambo hili linafanywa kibinafsi zaidi na kupuuzia umma, ambao ndo walegwa na wadau wakuu na muhimu wa kutoa hamasa kwa serikali ili kutoa motisha kwa serikali kukubali matakwa kwa maslahi ya taifa.
Hivyo basi tayali imani ndani ya chama na wadau mbalimbali wa demokrasia imepotea juu ya Mh. Mbowe ambaye alikuwa karata muhimu ya kuleta mageuzi ya kisiasa nchini.
Ikitokea kama kukawa na shinikizo ndani ya chama kumtaka Mh. Mbowe ajiuzulu, naye akaona ni vema ili kukinusuru chama ili kuresha imani na motisha zaidi kwa umma.
Swali la msingi linaibuka hapa nani atafaa kuwa mrithi wa Mh. Mbowe kwa kipindi hiki kigumu cha mkwamo wa siasa nchini na kwenye chama na kwa sababu zipi mtu huyo anafaa kukalia kitu hicho muhimu.
Halima James Mdee
Mwenyekiti wa maisha huyoKutokana na kupanda kwa joto la siasa nchi, hasa ukizingatia ujio wa chaguzi, mabadiliko ya Sheria ya uchaguzi na madai ya tume huru kutoka kwa wadau mbalimbali wa siasa.
Pia mfupa mgumu ambao umekuwa kama hadithi isiyo na mwisho. Maana mpaka sasa haijajulikana nani atakuwa na wajibu wa kumfunga paka kengele juu ya hitaji la katiba mpya ukizingatia mchakato unakwenda kwa mwendo wa konokono, huku hali ya kupoteza uaminifu kwa viongozi wa kisiasa ikipanda juu, kutokana na matukio kadhaa kutokea kwa pande zote mbili.
Mwisho upande mmoja tayali umesha toa la moyoni kupoteza imani ya mchakato wote.
Kwa sasa ni ukweli ulio wazi kwamba baadhi ya wanachama wa Chama Cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA), wameanza kupoteza matumaini kwa kiongozi wao mkuu wa chama Mh. Mbowe jua ya siasa zake za kistaarabu ambazo chama Cha mapinduzi (CCM), kimetumia fursa hiyo kisiasa kuhujumu michakato ya mabadiliko mbalimbali ili kufanya usawa katika siasa kuwa mgumu na usio leta majawabu ya mkwamo wa kisiasa wa muda mrefu.
Baadhi ya matukio yaliyo sababisha Mh. Mbowe kuanza kutiliwa mashaka zaidi kulinganisha na lile la kumpokea Mh. Lowasa kwa sasa ni haya matatu.
Mosi, kitendo cha Mh. Mbowe kutoka gerezani kutokana na mashitaka ya ugaidi kufutwa na serikali kupitia DPP na kwenda moja kwa moja kuonana na mtesi wake Rais Samia Ikulu Dar es salaam.
Kitendo hiki kiliwakwaza sana baadhi ya wanachama wa CHADEMA na wadau wengine wataka mabadiliko ya kweli ya demokrasia ukizingatia Rais Samia tayali alisha onesha nia na dhamira ya kumfunga kupitia mahojiano na BBC.
Pili, Maridhiano Mh. Mbowe na Rais Samia pamoja waliasisi agenda ya Maridhiano kwa lengo la kuondoa mkwamo wa kisiasa ulio kuwepo nchi kipindi cha awamu ya tano chini ya Hayati Magufuli.
Matunda ya maridhiano yaleleta kufunguliwa kwa mikutano ya hadhara na baadhi ya watu waliokuwa na kesi za kisiasa kuachiwa huru, ruzuku nk. lakini jambo hili lilileta mpasuko ndani ya chama kwa maana kwamba ilitafsiriwa kama mbinu ya CCM ya kununua muda pia uhuru wa vyama vya siasa kufanya shughuli zao unalindwa na katiba sio matakwa ya mtu mfano wa wanachama walio tilia mashaka maridhiano ni Lema, Lissu nk.
Tatu, Agenda za maridhiano kufanywa siri, mambo mbalimbali yaliyo jadiliwa kwenye maridhiano yalifanywa siri, na hata pale alipo ulizwa kuhusu agenda muhimu hakutoa majibu yaliyo lizisha, hivyo kufanya watu na wadau mbalimbali kuona jambo hili linafanywa kibinafsi zaidi na kupuuzia umma, ambao ndo walegwa na wadau wakuu na muhimu wa kutoa hamasa kwa serikali ili kutoa motisha kwa serikali kukubali matakwa kwa maslahi ya taifa.
Hivyo basi tayali imani ndani ya chama na wadau mbalimbali wa demokrasia imepotea juu ya Mh. Mbowe ambaye alikuwa karata muhimu ya kuleta mageuzi ya kisiasa nchini.
Ikitokea kama kukawa na shinikizo ndani ya chama kumtaka Mh. Mbowe ajiuzulu, naye akaona ni vema ili kukinusuru chama ili kuresha imani na motisha zaidi kwa umma.
Swali la msingi linaibuka hapa nani atafaa kuwa mrithi wa Mh. Mbowe kwa kipindi hiki kigumu cha mkwamo wa siasa nchini na kwenye chama na kwa sababu zipi mtu huyo anafaa kukalia kitu hicho muhimu.
Nakumbuka Nyarandu aliwahi kugombea uenyekiti , na baada ya miezi michache akalamba ulabu wa ccm..Kutokana na kupanda kwa joto la siasa nchi, hasa ukizingatia ujio wa chaguzi, mabadiliko ya Sheria ya uchaguzi na madai ya tume huru kutoka kwa wadau mbalimbali wa siasa.
Pia mfupa mgumu ambao umekuwa kama hadithi isiyo na mwisho. Maana mpaka sasa haijajulikana nani atakuwa na wajibu wa kumfunga paka kengele juu ya hitaji la katiba mpya ukizingatia mchakato unakwenda kwa mwendo wa konokono, huku hali ya kupoteza uaminifu kwa viongozi wa kisiasa ikipanda juu, kutokana na matukio kadhaa kutokea kwa pande zote mbili.
Mwisho upande mmoja tayali umesha toa la moyoni kupoteza imani ya mchakato wote.
Kwa sasa ni ukweli ulio wazi kwamba baadhi ya wanachama wa Chama Cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA), wameanza kupoteza matumaini kwa kiongozi wao mkuu wa chama Mh. Mbowe jua ya siasa zake za kistaarabu ambazo chama Cha mapinduzi (CCM), kimetumia fursa hiyo kisiasa kuhujumu michakato ya mabadiliko mbalimbali ili kufanya usawa katika siasa kuwa mgumu na usio leta majawabu ya mkwamo wa kisiasa wa muda mrefu.
Baadhi ya matukio yaliyo sababisha Mh. Mbowe kuanza kutiliwa mashaka zaidi kulinganisha na lile la kumpokea Mh. Lowasa kwa sasa ni haya matatu.
Mosi, kitendo cha Mh. Mbowe kutoka gerezani kutokana na mashitaka ya ugaidi kufutwa na serikali kupitia DPP na kwenda moja kwa moja kuonana na mtesi wake Rais Samia Ikulu Dar es salaam.
Kitendo hiki kiliwakwaza sana baadhi ya wanachama wa CHADEMA na wadau wengine wataka mabadiliko ya kweli ya demokrasia ukizingatia Rais Samia tayali alisha onesha nia na dhamira ya kumfunga kupitia mahojiano na BBC.
Pili, Maridhiano Mh. Mbowe na Rais Samia pamoja waliasisi agenda ya Maridhiano kwa lengo la kuondoa mkwamo wa kisiasa ulio kuwepo nchi kipindi cha awamu ya tano chini ya Hayati Magufuli.
Matunda ya maridhiano yaleleta kufunguliwa kwa mikutano ya hadhara na baadhi ya watu waliokuwa na kesi za kisiasa kuachiwa huru, ruzuku nk. lakini jambo hili lilileta mpasuko ndani ya chama kwa maana kwamba ilitafsiriwa kama mbinu ya CCM ya kununua muda pia uhuru wa vyama vya siasa kufanya shughuli zao unalindwa na katiba sio matakwa ya mtu mfano wa wanachama walio tilia mashaka maridhiano ni Lema, Lissu nk.
Tatu, Agenda za maridhiano kufanywa siri, mambo mbalimbali yaliyo jadiliwa kwenye maridhiano yalifanywa siri, na hata pale alipo ulizwa kuhusu agenda muhimu hakutoa majibu yaliyo lizisha, hivyo kufanya watu na wadau mbalimbali kuona jambo hili linafanywa kibinafsi zaidi na kupuuzia umma, ambao ndo walegwa na wadau wakuu na muhimu wa kutoa hamasa kwa serikali ili kutoa motisha kwa serikali kukubali matakwa kwa maslahi ya taifa.
Hivyo basi tayali imani ndani ya chama na wadau mbalimbali wa demokrasia imepotea juu ya Mh. Mbowe ambaye alikuwa karata muhimu ya kuleta mageuzi ya kisiasa nchini.
Ikitokea kama kukawa na shinikizo ndani ya chama kumtaka Mh. Mbowe ajiuzulu, naye akaona ni vema ili kukinusuru chama ili kuresha imani na motisha zaidi kwa umma.
Swali la msingi linaibuka hapa nani atafaa kuwa mrithi wa Mh. Mbowe kwa kipindi hiki kigumu cha mkwamo wa siasa nchini na kwenye chama na kwa sababu zipi mtu huyo anafaa kukalia kitu hicho muhimu.
Lizisha× ni ridhisha✓Kutokana na kupanda kwa joto la siasa nchi, hasa ukizingatia ujio wa chaguzi, mabadiliko ya Sheria ya uchaguzi na madai ya tume huru kutoka kwa wadau mbalimbali wa siasa.
Pia mfupa mgumu ambao umekuwa kama hadithi isiyo na mwisho. Maana mpaka sasa haijajulikana nani atakuwa na wajibu wa kumfunga paka kengele juu ya hitaji la katiba mpya ukizingatia mchakato unakwenda kwa mwendo wa konokono, huku hali ya kupoteza uaminifu kwa viongozi wa kisiasa ikipanda juu, kutokana na matukio kadhaa kutokea kwa pande zote mbili.
Mwisho upande mmoja tayali umesha toa la moyoni kupoteza imani ya mchakato wote.
Kwa sasa ni ukweli ulio wazi kwamba baadhi ya wanachama wa Chama Cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA), wameanza kupoteza matumaini kwa kiongozi wao mkuu wa chama Mh. Mbowe jua ya siasa zake za kistaarabu ambazo chama Cha mapinduzi (CCM), kimetumia fursa hiyo kisiasa kuhujumu michakato ya mabadiliko mbalimbali ili kufanya usawa katika siasa kuwa mgumu na usio leta majawabu ya mkwamo wa kisiasa wa muda mrefu.
Baadhi ya matukio yaliyo sababisha Mh. Mbowe kuanza kutiliwa mashaka zaidi kulinganisha na lile la kumpokea Mh. Lowasa kwa sasa ni haya matatu.
Mosi, kitendo cha Mh. Mbowe kutoka gerezani kutokana na mashitaka ya ugaidi kufutwa na serikali kupitia DPP na kwenda moja kwa moja kuonana na mtesi wake Rais Samia Ikulu Dar es salaam.
Kitendo hiki kiliwakwaza sana baadhi ya wanachama wa CHADEMA na wadau wengine wataka mabadiliko ya kweli ya demokrasia ukizingatia Rais Samia tayali alisha onesha nia na dhamira ya kumfunga kupitia mahojiano na BBC.
Pili, Maridhiano Mh. Mbowe na Rais Samia pamoja waliasisi agenda ya Maridhiano kwa lengo la kuondoa mkwamo wa kisiasa ulio kuwepo nchi kipindi cha awamu ya tano chini ya Hayati Magufuli.
Matunda ya maridhiano yaleleta kufunguliwa kwa mikutano ya hadhara na baadhi ya watu waliokuwa na kesi za kisiasa kuachiwa huru, ruzuku nk. lakini jambo hili lilileta mpasuko ndani ya chama kwa maana kwamba ilitafsiriwa kama mbinu ya CCM ya kununua muda pia uhuru wa vyama vya siasa kufanya shughuli zao unalindwa na katiba sio matakwa ya mtu mfano wa wanachama walio tilia mashaka maridhiano ni Lema, Lissu nk.
Tatu, Agenda za maridhiano kufanywa siri, mambo mbalimbali yaliyo jadiliwa kwenye maridhiano yalifanywa siri, na hata pale alipo ulizwa kuhusu agenda muhimu hakutoa majibu yaliyo lizisha, hivyo kufanya watu na wadau mbalimbali kuona jambo hili linafanywa kibinafsi zaidi na kupuuzia umma, ambao ndo walegwa na wadau wakuu na muhimu wa kutoa hamasa kwa serikali ili kutoa motisha kwa serikali kukubali matakwa kwa maslahi ya taifa.
Hivyo basi tayali imani ndani ya chama na wadau mbalimbali wa demokrasia imepotea juu ya Mh. Mbowe ambaye alikuwa karata muhimu ya kuleta mageuzi ya kisiasa nchini.
Ikitokea kama kukawa na shinikizo ndani ya chama kumtaka Mh. Mbowe ajiuzulu, naye akaona ni vema ili kukinusuru chama ili kuresha imani na motisha zaidi kwa umma.
Swali la msingi linaibuka hapa nani atafaa kuwa mrithi wa Mh. Mbowe kwa kipindi hiki kigumu cha mkwamo wa siasa nchini na kwenye chama na kwa sababu zipi mtu huyo anafaa kukalia kitu hicho muhimu.
Kuhusu baraza la usalama wa chama kuundwa na CDM ni ushauri bora kabisa maana hii ya kulamba asali inakatisha tamaa sana.Nakumbuka Nyarandu aliwahi kugombea uenyekiti , na baada ya miezi michache akalamba ulabu wa ccm..
Kina upendo peneza walikuwa moto kuliko hata kina halima mdee na kina bulaya wakiwa viongozi wa bavicha na kanda lakini wote wamelamba ulabu wa ccm.
Hivyo Mbowe apewe maua yake, si kila anaye jua kuongea anaweza kuwa mwenyekiti wa chadema
Nashauri chadema wabadiri muundi wa uongozi ili kuwa na baraza la usalama la chama litakalo fuatilia nyendo za viongozi