Mundungus Fletcher
JF-Expert Member
- Jun 7, 2009
- 327
- 79
Jana nilikuwa naangalia TV katika kubadilisha Badilisha station nikajikuta Mliman Tv. walikuwa na kipindi maalum kwa ajili ya David Mwangosi kwenye safari yake ya maisha. Wakawa wana wahoji waandishi waliokuwa kwenye tukio, hadi yule jamaa aliomgongea RPC kumuambia kwamba Polisi wako wanampiga mwandishi.
Katika hao wote waliohojiwq na kutoa ushuhuda, wote wali sema kwamba waliona kwa macho Polisi wakimpiga Mwangosi na hata yule askari alioshika ile bunduki. Na walidhibitisha kumuona RPC akishuhudia tukio bila kufanya lolote. Wamekuwa wakilalamika RPC ajiuzulu, Polisi watuhumiwa washtakiwe etc, mimi swali langu
Je kisheria, wahandishi wa habari hawawezi kuwashtaki Polisi walio kuwa pale na RPC wao?
Kwani ni lazima polisi wafikishwe mahakani na polisi wenzao? Meaning hakuna mtu mwengine au taasisi(LHRC, CHADEMA MCT nk nk) wanao weza kuwashtaki wale polisi ukiangalia ushahidi wote upo..?
Wataalamu wa sheria embu tusaidieni
Katika hao wote waliohojiwq na kutoa ushuhuda, wote wali sema kwamba waliona kwa macho Polisi wakimpiga Mwangosi na hata yule askari alioshika ile bunduki. Na walidhibitisha kumuona RPC akishuhudia tukio bila kufanya lolote. Wamekuwa wakilalamika RPC ajiuzulu, Polisi watuhumiwa washtakiwe etc, mimi swali langu
Je kisheria, wahandishi wa habari hawawezi kuwashtaki Polisi walio kuwa pale na RPC wao?
Kwani ni lazima polisi wafikishwe mahakani na polisi wenzao? Meaning hakuna mtu mwengine au taasisi(LHRC, CHADEMA MCT nk nk) wanao weza kuwashtaki wale polisi ukiangalia ushahidi wote upo..?
Wataalamu wa sheria embu tusaidieni